- Thread starter
- #501
BADO, wao wanacelebrate 3yrs aniversaryVp rest hawajaachana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BADO, wao wanacelebrate 3yrs aniversaryVp rest hawajaachana?
*Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman Baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana.
Tulizoea kuona akipost picha za mumewe huyo na yeye na mtoto. Alimpa sifa zoote. Huyu dada ni kioo cha jamii na Wanawake wengi yeye ndo 'role model' wao.
Mara ghafla naona tena Kafunga Ndoana kijana mwingine.
Je ni nini kilimpata yule Mume wake Baba Iman, Daktari wake wa maradhi yote?
Cc: warumi
View attachment 1525868
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakua uliongea kitu hakipendiItakuwa asee, simpati kabisa huyu bonge
Last month nafkr alisema anahitaji gauni la harusi kwa ajili ya March.Pole upendo, this time chukua muda kabla hujaanzisha mahusiano mengine,
Ndo zake kumbe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakua uliongea kitu hakipendi
Ndio watu wengine hawapend kuambiwa kitu tofautiNdo zake kumbe?
[emoji23][emoji23][emoji23] dah jamani..ndo kusema wanasubiriwa na wao waachane?Vp rest hawajaachana?
Mbona kavimba Kama wakwetu Tukuyu?Hapana mhaya na Mbena. Sasa cjui mama ni yupi au baba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea wee unamwaga tyuuuh upupu,
Miss San u moaah
Ukishajijua Hali yako unajiepusha na mahusiano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaah nimecheka had mbavu zinauma, eti havitaki kutembea nae barabarani. Khaaaah
Menina kafanyaje tena hebu dadavuaMenina. AKA mama wa madeni mjini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Dunia in a vituko hii. Lol
Uko sahihi kabisaHaya matinginya inabidi yaelewe kuwa hakuna serengeti boy anayapenda from the heart ila ni pesa tu ndo inasababisha. So kama wanapatwa na miwasho watafute vijana wa kuwasugua tu, lakini wasiwafuge kama umbwa. Watapata tabu sana.
miaka mitatu unasema kakurupuka ulitaka akae mpake buibui aweke utandu...maisha ni haya haya mapenzi ni kubeti hayanaga formula unaweza kaa miaka hata 20 ukaja okota kapiYaani aliona ana mrusha roho mmewe aliyeachana naye kumbe ndio analikoroga ,naunga mkono hoja ilitakiwa atulie aje kupata mtu sahihi huko mbele na sio kukurupuka tu.
mama mhayaHapana mhaya na Mbena. Sasa cjui mama ni yupi au baba
ila wale watadumu maana ile ndo mikato ya ben10 full bata sa huyu alikuwa anampeleka shamba ben10 anataka kuchafuka? huku kakata panki kama limepimwa na ruler nzi akitua lazima afeBADO, wao wanacelebrate 3yrs aniversary