Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman Baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana.

Tulizoea kuona akipost picha za mumewe huyo na yeye na mtoto. Alimpa sifa zoote. Huyu dada ni kioo cha jamii na Wanawake wengi yeye ndo 'role model' wao.

Mara ghafla naona tena Kafunga Ndoana kijana mwingine.

Je ni nini kilimpata yule Mume wake Baba Iman, Daktari wake wa maradhi yote?

Cc: warumi


View attachment 1525868
*
 
Haya matinginya inabidi yaelewe kuwa hakuna serengeti boy anayapenda from the heart ila ni pesa tu ndo inasababisha. So kama wanapatwa na miwasho watafute vijana wa kuwasugua tu, lakini wasiwafuge kama umbwa. Watapata tabu sana.
Uko sahihi kabisa
 
Yaani aliona ana mrusha roho mmewe aliyeachana naye kumbe ndio analikoroga ,naunga mkono hoja ilitakiwa atulie aje kupata mtu sahihi huko mbele na sio kukurupuka tu.
miaka mitatu unasema kakurupuka ulitaka akae mpake buibui aweke utandu...maisha ni haya haya mapenzi ni kubeti hayanaga formula unaweza kaa miaka hata 20 ukaja okota kapi
 
Back
Top Bottom