Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Ukweli ni kwamba kwa sasa upepo wa siasa unavuma CHADEMA, macho na masikio ya wengi yameelekea huko.
Chama tawala ni kama wamesahaulika kwa muda, je hii ni ishara njema kwao kuelekea 2025?
Nini sababu ya chama tawala kupoteza ushawishi katika kipindi hiki kifupi? Je ni mbinu hafifu za kisiasa ambazo zinatekelezwa na viongozi wao?
Nadhani baadhi yao tayari wamepata maono kwamba hali ikiendelea kuwa hivi 2025 wataumia vibaya, endapo CHADEMA wakipata uongozi mpya hali itakuwa mbaya zaidi kwa upande wao.
Suluhisho la haya ni lipi? Je watafute mgombea/mwenyekiti mwingine kuokoa jahazi au waendelee kuwafunga midomo wapinzani kwa mbinu zao za kutumia land cruiser hard top?
Chama tawala ni kama wamesahaulika kwa muda, je hii ni ishara njema kwao kuelekea 2025?
Nini sababu ya chama tawala kupoteza ushawishi katika kipindi hiki kifupi? Je ni mbinu hafifu za kisiasa ambazo zinatekelezwa na viongozi wao?
Nadhani baadhi yao tayari wamepata maono kwamba hali ikiendelea kuwa hivi 2025 wataumia vibaya, endapo CHADEMA wakipata uongozi mpya hali itakuwa mbaya zaidi kwa upande wao.
Suluhisho la haya ni lipi? Je watafute mgombea/mwenyekiti mwingine kuokoa jahazi au waendelee kuwafunga midomo wapinzani kwa mbinu zao za kutumia land cruiser hard top?