Pre GE2025 Upepo wa kisiasa unavuma upinzani, je hii ni ishara njema kwa chama tawala kuelekea 2025?

Pre GE2025 Upepo wa kisiasa unavuma upinzani, je hii ni ishara njema kwa chama tawala kuelekea 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukweli ni kwamba kwa sasa upepo wa siasa unavuma CHADEMA, macho na masikio ya wengi yameelekea huko.
Nikweli,upepo unavumia Chadema,ila kama kawaida ya upepo ni unavuma tuu,kisha unapita,hivyo huu mvumo wa upepo,utapita tuu
Chama tawala ni kama wamesahaulika kwa muda, je hii ni ishara njema kwao kuelekea 2025?
Ni ishara njema only if upepo huu utaendelea kuvuma kwa kasi hii hii kuelekea direction hiyo hiyo ya Chadema,hadi October 2025 mtu akajikuta atapelekwa na huu upepo mpaka kule kunako!,tatizo la kutegemea upepo hautabiriki,kuna wakati hubadili directions, au kikaja kimbunga。。。
Nini sababu ya chama tawala kupoteza ushawishi katika kipindi hiki kifupi?
CCM haijaporeza ushawishi,huu ni upepo tuu na utapita!。
Je ni mbinu hafifu za kisiasa ambazo zinatekelezwa na viongozi wao?
hapana,CCM ni a sleeping giant,saa hizi anawaacha watoto warukeruke,ataamka August 2025 na kimbunga!
Nadhani baadhi yao tayari wamepata maono kwamba hali ikiendelea kuwa hivi 2025 wataumia vibaya,
Siikweli,how?
endapo CHADEMA wakipata uongozi mpya hali itakuwa mbaya zaidi kwa upande wao.
Siikweli,hali itakuwa mbaya kivipi?
Suluhisho la haya ni lipi? Je watafute mgombea/mwenyekiti mwingine kuokoa jahazi
Soma HII
au waendelee kuwafunga midomo wapinzani kwa mbinu zao za kutumia land cruiser hard top?
Kazi inaendelea。。。
P
 
CCM haijaporeza ushawishi,huu ni upepo tuu na utapita!。
Ushawishi umepungua hasa mioyoni mwa wananchi, hii sio CCM tuliyo izoea miaka yote.
hapana,CCM ni a sleeping giant,saa hizi anawaacha watoto warukeruke,ataamka August 2025 na kimbunga!
Kama kweli anawaacha watoto waruke basi siku akiamka aamke kwa tukio jema, sio mvurugano na mpasuko.
Siikweli,how?
Ni kweli, tulisikia wazee na wakongwe wa siasa wakisema hayo, kwamba chama kinaelekea pabaya na wazee wastaafu wajitokeze kuokoa jahazi.
Siikweli,hali itakuwa mbaya kivipi?
Hali itakuwa mbaya kwasababu uongozi mpya ndani ya CDM utaleta hali tofauti, CCM wanahitaji uongozi usibadilike kwasababu tayari wana maagano na uongozi wa sasa ndani ya CDM.
Kazi inaendelea
Kazi hii ndyo inaipeleka chama pabaya, imani kwa wananchi inapungua kwani chama kimegeuka kuwa kikosi cha mauwaji.
 
Ushawishi umepungua hasa mioyoni mwa wananchi, hii sio CCM tuliyo izoea miaka yote.

Kama kweli anawaacha watoto waruke basi siku akiamka aamke kwa tukio jema, sio mvurugano na mpasuko.

Ni kweli, tulisikia wazee na wakongwe wa siasa wakisema hayo, kwamba chama kinaelekea pabaya na wazee wastaafu wajitokeze kuokoa jahazi.

Hali itakuwa mbaya kwasababu uongozi mpya ndani ya CDM utaleta hali tofauti, CCM wanahitaji uongozi usibadilike kwasababu tayari wana maagano na uongozi wa sasa ndani ya CDM.

Kazi hii ndyo inaipeleka chama pabaya, imani kwa wananchi inapungua kwani chama kimegeuka kuwa kikosi cha mauwaji.
nimezipenda hoja zako zote japo ni za kweli,lakini matokeo ya uchaguzi wa 2025 ni CCM Kuelekea 2025 - LGE2024 - Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!

P
 
Ukweli ni kwamba kwa sasa upepo wa siasa unavuma CHADEMA, macho na masikio ya wengi yameelekea huko.

Chama tawala ni kama wamesahaulika kwa muda, je hii ni ishara njema kwao kuelekea 2025?

Nini sababu ya chama tawala kupoteza ushawishi katika kipindi hiki kifupi? Je ni mbinu hafifu za kisiasa ambazo zinatekelezwa na viongozi wao?

Nadhani baadhi yao tayari wamepata maono kwamba hali ikiendelea kuwa hivi 2025 wataumia vibaya, endapo CHADEMA wakipata uongozi mpya hali itakuwa mbaya zaidi kwa upande wao.

Suluhisho la haya ni lipi? Je watafute mgombea/mwenyekiti mwingine kuokoa jahazi au waendelee kuwafunga midomo wapinzani kwa mbinu zao za kutumia land cruiser hard top?
Tunapaswa kutokeza mitaani muda huu tufutilie mbali hicho kitu kinaitwa CCM.
 
Ukweli ni kwamba kwa sasa upepo wa siasa unavuma CHADEMA, macho na masikio ya wengi yameelekea huko.

Chama tawala ni kama wamesahaulika kwa muda, je hii ni ishara njema kwao kuelekea 2025?

Nini sababu ya chama tawala kupoteza ushawishi katika kipindi hiki kifupi? Je ni mbinu hafifu za kisiasa ambazo zinatekelezwa na viongozi wao?

Nadhani baadhi yao tayari wamepata maono kwamba hali ikiendelea kuwa hivi 2025 wataumia vibaya, endapo CHADEMA wakipata uongozi mpya hali itakuwa mbaya zaidi kwa upande wao.

Suluhisho la haya ni lipi? Je watafute mgombea/mwenyekiti mwingine kuokoa jahazi au waendelee kuwafunga midomo wapinzani kwa mbinu zao za kutumia land cruiser hard top?
Mbinu ya hard top itawasha kiberiti taifa ni swala la mda tu ,hii mbinu wananchi wameisha sanuka ,kitamlamba mtu
 
Mbinu ya hard top itawasha kiberiti taifa ni swala la mda tu ,hii mbinu wananchi wameisha sanuka ,kitamlamba mtu
Ajabu ni kwamba wahusika bado hawajaona madhara yake, wanaendeleza mbinu zao kila kukicha
 
Chama kinachotumia polisi na wizi wa kura ni ishara ya wazi kimeishiwa mbinu na ushawishi. CCM kwa sasa siyo tena chama cha siasa bali ni chama dola na chama cha namna hii siku kikiondoka madarakani ndiyo kinakufa kabisa.
Kinaondokaje Madarakani ? Unaona kuna mkakati madhubuti wa kukitoa madarakani either by ACT au CDM ?
 
Back
Top Bottom