Inferior Complex
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 3,655
- 5,023
Zitto unawazo zuri sana!Mkuu umenifungua vitu vingi sana leo kwenye sayansi za universe yetu..... Tukibakia kwenye mada ya teleportation hivi wormhole haiwezi kutumika kupunguza distance za hizo sayari na galaxy zingine na kuwezesha kufikika kirahisi bila kutumia miaka mingi kusafiri hata kma bila spidi ya mwanga au wormhole ipo kimakaratasi tu
View attachment 758341
Mkuu kwenye scientific finding ukileta udini hautafika!.. Na mie napenda shawishiwa kwa fact, Dini imefanyaje kazi kwenye project ya CERN!?..Haya mambo dini ina 100% ya kuyaingilia ukiisoma bible vyema utafahamu kwanini nimesema hivi
Kiukweli hakuna nilichoelewa, na ulivyotaja mamilioni ndio umenivuruga kabisaaa! Labda ngoja nilale halafu kesho nitaanzia hapa. Looh!Kwa faida ya kujifunza itabidi tutumie tafsiri nyepesi na kwa mifano jinsi kasi na anga inayoathiri muda.
Mfano1: Ukiona nyota angani muonekano huu ni miaka mamilioni iliyopita mpaka mwanga umetoka huko kutufikia Duniani sasa hii nguvu ya kasi ya mwendo wa mwanga sasa leo nyota ya ukubwa wa jua ikiumbika leo katika umbali kama lilipo Jua ikalipua mwanga katika kiini chake huo mwanga utatufikia takribani miaka milioni 3 hapa tulipo.
Sasa hapa ikatokea chombo kinasafiri kwa kasi ya Mara 2 ya mwanga kinaweza kutumia
Miaka 3,000,000/466,666.666 sekunde itakuwa ameona huo mwanga kwa sekunde 6.5 hapa kilicho athiri muda ni kasi ya kusafiri na akifika huko akarudi duniani mda atakuta ni miaka million 3 inawezekana akakuta hakuna watu Yesu alishawachukua wote itabidi utafte walikoelekea uwafuate na kama wanasafiri kwa mwendo wa kasi ya mwanga Mara moja unaweza ukawakuta Β½ ya safari ukawapita wakakukuta ulishafika kwa mda kitambo.
Kama sitaeleweka nitatafta kiswahili fasaha ili niitendee haki hii mada
View attachment 758038
Time travel ni kazi sana lakini labda itakuja wezekana, Ukifatilia Project ya Google X waliweka Teleportation na Elevator lakini kuja fanya calcuration wakaona Teleportation ni kitu ambacho hakiwezekani kinapingana na lwas of physics lakini Elevator inawezekana given the resource!.Duuh si mchezo,kweli jamaa zetu wako vizuri sana,hasa hapo kwenye hyo ishu ya time travel,inawezekana kweli..hatari sana
Kutoka wapi kwenda wapi?Najaribu ku connect the dots.
Sheikh yahya hussein katika mojawapo ya vipindi vyake alizungumzia aina ya majini na kazi zake, sasa kuna jini mmoja jina sikumbuki alisema anauwezo wakuhamisha nyumba kutoka location moja kwenda lingine kufumba na kufumbua, yaani within a second.
Eneo moja kwenda lingine.Kutoka wapi kwenda wapi?
πππππ Hahahaaha naona jamaa kaiva sana kwenye elimu ya space and time.....Kiukweli hakuna nilichoelewa, na ulivyotaja mamilioni ndio umenivuruga kabisaaa! Labda ngoja nilale halafu kesho nitaanzia hapa. Looh!
Duh mkuu ulisoma Physics advance?Kiukweli hakuna nilichoelewa, na ulivyotaja mamilioni ndio umenivuruga kabisaaa! Labda ngoja nilale halafu kesho nitaanzia hapa. Looh!
Nguvu gani hiyo mkuu inayozuia mbona hao wazungu wanafanya tafiti hizo na hawazuiwi....ingawa najua hutofunguka kama kawaida yako ila tupe hints kidogoZitto unawazo zuri sana!
Lakini kuna baadhi ya vitu Huwa haviwezekan
Siyo kama ni ngumu kufanyika hapana but
Kuna nguvu ambayo inazuia
Mwanga kutoka kwenye jua unatumia dakika 8 sekunde 19 kufika duniani!..sasa na huu mwanga unaokuja usiku na mchana inakuaje?
inamaana mwanga tuliouona mchana wa leo wa jua ni wa miaka mil3 iliyopita?
Nisaidie andiko ulotoa hizi data tafadhali.Mkuu binadamu tukiweza kutumia ubongo kwa 60% haya yote yatawezekana lakini 80% ya binadamu hutumia chini ya 5% na wengine 16% hutumia 5%-11% na asilimia 4% ya binadamu wote ndio hutumia 11%-15
Tukiweza kuliwekea umhimu bila kupotoshana duniani inawezekana watu wote kuhama na kufanya maisha kuwa marefu yasiyo koma
"Natural super power"!Nguvu gani hiyo mkuu inayozuia mbona hao wazungu wanafanya tafiti hizo na hawazuiwi....ingawa najua hutofunguka kama kawaida yako ila tupe hints kidogo
Mkuu mbona una supply uongo!?..Tupo kujifunza lakini ni sehemu gani umesoma kwamba Jua-Dunia mwanga unatumia miaka millioni!.. Hivi unaijua miaka million lakini au unachanganya kusafiri binadam/chombo na speed ya mwanga?.Ndio na mianga mingine katika Nyota imesafiri mabilioni ya miaka ndio mwanga tunaoona leo hii kwa mfano nyota hii imekuwa (red giant) nyota nyekundu na kutanuka kumeza sayari zake miaka kama billion 1.5 iliyopita lakini leo tunaiona hivi na huenda ilisharipuka lakini itatuchukua miaka million 100 kuona kutoweka kwake lakini je kuna mwanadamu anaweza kufika miaka milioni 100 haiwezekani lakini ukisafiri Mara 2 ya kasi ya mwanga utaiona mapema
View attachment 758328
Wanakwambia kukiwa na wormhole/vortex mbili kitu kilicho kati yake kinaweza safiri past-future continuosly!.Mkuu umenifungua vitu vingi sana leo kwenye sayansi za universe yetu..... Tukibakia kwenye mada ya teleportation hivi wormhole haiwezi kutumika kupunguza distance za hizo sayari na galaxy zingine na kuwezesha kufikika kirahisi bila kutumia miaka mingi kusafiri hata kma bila spidi ya mwanga au wormhole ipo kimakaratasi tu
View attachment 758341
Na hiyo nguvu inasimamiwa na DEITY kma mungu au shetani ama na mwanadamu or its just NATURAL !!!"Natural super power"!
Ipo Ina control kila kitu kiwe katika Hali yake ya kawaida!
Bila kuwepo Na mkanganyiko!
Mkuu zitto hizi mission zipo Na kila mbinu inafanyika but hiyo Nguvu inakuwa inazuia!
Duuh!Mkuu mbona una supply uongo!?..Tupo kujifunza lakini ni sehemu gani umesoma kwamba Jua-Dunia mwanga unatumia miaka millioni!.. Hivi unaijua miaka million lakini au unachanganya kusafiri binadam/chombo na speed ya mwanga?.
Toka kwenye Jua mpaka Dunia mwanga unatumia dakika 8 na sekunde 19 sio miaka milioni.
Duuuuh kumbe time travel hapo itawezekana!!! Mbona sayansi imegeuka uchawi tena πππ?? Kumbe science ni deep sana kiasi hiki.....Wanakwambia kukiwa na wormhole/vortex mbili kitu kilicho kati yake kinaweza safiri past-future continuosly!.
Kama huu uchawi wetu wa kiafrika tukautendea haki tungeshapata matokeo chanya sasa tatizo ni walio nao wanataka kuloga watu na kufanya mambo ya kijinga yasiyo na tija.Duh!
Wabongo kuna baadhi ya mambo yapo yametokea Na yataendelea kutokea!
Cern Na hiyo theory ya time hata hiyo experiment ni vitu vipo wazi!
Ukigeuza uchawi wa ki Africa unapata uchawi wa malaika wasi ambao uitwa uchawi wa kifizikia aka uchawi wa kisayansi
HahahahaaNa hiyo nguvu inasimamiwa na DEITY kma mungu au shetani ama na mwanadamu or its just NATURAL !!!
Karibu mkuuDaaah mada moto sana hii!! Hongereni wakuu!!