Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Mkuu umenifungua vitu vingi sana leo kwenye sayansi za universe yetu..... Tukibakia kwenye mada ya teleportation hivi wormhole haiwezi kutumika kupunguza distance za hizo sayari na galaxy zingine na kuwezesha kufikika kirahisi bila kutumia miaka mingi kusafiri hata kma bila spidi ya mwanga au wormhole ipo kimakaratasi tu

View attachment 758341
Zitto unawazo zuri sana!
Lakini kuna baadhi ya vitu Huwa haviwezekan
Siyo kama ni ngumu kufanyika hapana but
Kuna nguvu ambayo inazuia
 
Kwa faida ya kujifunza itabidi tutumie tafsiri nyepesi na kwa mifano jinsi kasi na anga inayoathiri muda.

Mfano1: Ukiona nyota angani muonekano huu ni miaka mamilioni iliyopita mpaka mwanga umetoka huko kutufikia Duniani sasa hii nguvu ya kasi ya mwendo wa mwanga sasa leo nyota ya ukubwa wa jua ikiumbika leo katika umbali kama lilipo Jua ikalipua mwanga katika kiini chake huo mwanga utatufikia takribani miaka milioni 3 hapa tulipo.

Sasa hapa ikatokea chombo kinasafiri kwa kasi ya Mara 2 ya mwanga kinaweza kutumia

Miaka 3,000,000/466,666.666 sekunde itakuwa ameona huo mwanga kwa sekunde 6.5 hapa kilicho athiri muda ni kasi ya kusafiri na akifika huko akarudi duniani mda atakuta ni miaka million 3 inawezekana akakuta hakuna watu Yesu alishawachukua wote itabidi utafte walikoelekea uwafuate na kama wanasafiri kwa mwendo wa kasi ya mwanga Mara moja unaweza ukawakuta ½ ya safari ukawapita wakakukuta ulishafika kwa mda kitambo.

Kama sitaeleweka nitatafta kiswahili fasaha ili niitendee haki hii mada
View attachment 758038
Kiukweli hakuna nilichoelewa, na ulivyotaja mamilioni ndio umenivuruga kabisaaa! Labda ngoja nilale halafu kesho nitaanzia hapa. Looh!
 
Duuh si mchezo,kweli jamaa zetu wako vizuri sana,hasa hapo kwenye hyo ishu ya time travel,inawezekana kweli..hatari sana
Time travel ni kazi sana lakini labda itakuja wezekana, Ukifatilia Project ya Google X waliweka Teleportation na Elevator lakini kuja fanya calcuration wakaona Teleportation ni kitu ambacho hakiwezekani kinapingana na lwas of physics lakini Elevator inawezekana given the resource!.
Elevetor inayoongelewa hapa ni ile unajengwa mnara toka duniani mpaka let say ISS huko nje ya dunia, ina maana hakuna haja ya kufanya flight ni unaingia kwenye lift inakubeba kama ukiingia kwenye B.M Tower posta!.
 
Najaribu ku connect the dots.
Sheikh yahya hussein katika mojawapo ya vipindi vyake alizungumzia aina ya majini na kazi zake, sasa kuna jini mmoja jina sikumbuki alisema anauwezo wakuhamisha nyumba kutoka location moja kwenda lingine kufumba na kufumbua, yaani within a second.
Kutoka wapi kwenda wapi?
 
Kiukweli hakuna nilichoelewa, na ulivyotaja mamilioni ndio umenivuruga kabisaaa! Labda ngoja nilale halafu kesho nitaanzia hapa. Looh!
😀😀😀😀😀 Hahahaaha naona jamaa kaiva sana kwenye elimu ya space and time.....
 
Zitto unawazo zuri sana!
Lakini kuna baadhi ya vitu Huwa haviwezekan
Siyo kama ni ngumu kufanyika hapana but
Kuna nguvu ambayo inazuia
Nguvu gani hiyo mkuu inayozuia mbona hao wazungu wanafanya tafiti hizo na hawazuiwi....ingawa najua hutofunguka kama kawaida yako ila tupe hints kidogo
 
sasa na huu mwanga unaokuja usiku na mchana inakuaje?
inamaana mwanga tuliouona mchana wa leo wa jua ni wa miaka mil3 iliyopita?
Mwanga kutoka kwenye jua unatumia dakika 8 sekunde 19 kufika duniani!..
 
Mkuu binadamu tukiweza kutumia ubongo kwa 60% haya yote yatawezekana lakini 80% ya binadamu hutumia chini ya 5% na wengine 16% hutumia 5%-11% na asilimia 4% ya binadamu wote ndio hutumia 11%-15

Tukiweza kuliwekea umhimu bila kupotoshana duniani inawezekana watu wote kuhama na kufanya maisha kuwa marefu yasiyo koma
Nisaidie andiko ulotoa hizi data tafadhali.
 
Nguvu gani hiyo mkuu inayozuia mbona hao wazungu wanafanya tafiti hizo na hawazuiwi....ingawa najua hutofunguka kama kawaida yako ila tupe hints kidogo
"Natural super power"!
Ipo Ina control kila kitu kiwe katika Hali yake ya kawaida!
Bila kuwepo Na mkanganyiko!
Mkuu zitto hizi mission zipo Na kila mbinu inafanyika but hiyo Nguvu inakuwa inazuia!
 
Ndio na mianga mingine katika Nyota imesafiri mabilioni ya miaka ndio mwanga tunaoona leo hii kwa mfano nyota hii imekuwa (red giant) nyota nyekundu na kutanuka kumeza sayari zake miaka kama billion 1.5 iliyopita lakini leo tunaiona hivi na huenda ilisharipuka lakini itatuchukua miaka million 100 kuona kutoweka kwake lakini je kuna mwanadamu anaweza kufika miaka milioni 100 haiwezekani lakini ukisafiri Mara 2 ya kasi ya mwanga utaiona mapema
View attachment 758328
Mkuu mbona una supply uongo!?..Tupo kujifunza lakini ni sehemu gani umesoma kwamba Jua-Dunia mwanga unatumia miaka millioni!.. Hivi unaijua miaka million lakini au unachanganya kusafiri binadam/chombo na speed ya mwanga?.
Toka kwenye Jua mpaka Dunia mwanga unatumia dakika 8 na sekunde 19 sio miaka milioni.
 
Mkuu umenifungua vitu vingi sana leo kwenye sayansi za universe yetu..... Tukibakia kwenye mada ya teleportation hivi wormhole haiwezi kutumika kupunguza distance za hizo sayari na galaxy zingine na kuwezesha kufikika kirahisi bila kutumia miaka mingi kusafiri hata kma bila spidi ya mwanga au wormhole ipo kimakaratasi tu

View attachment 758341
Wanakwambia kukiwa na wormhole/vortex mbili kitu kilicho kati yake kinaweza safiri past-future continuosly!.
 
"Natural super power"!
Ipo Ina control kila kitu kiwe katika Hali yake ya kawaida!
Bila kuwepo Na mkanganyiko!
Mkuu zitto hizi mission zipo Na kila mbinu inafanyika but hiyo Nguvu inakuwa inazuia!
Na hiyo nguvu inasimamiwa na DEITY kma mungu au shetani ama na mwanadamu or its just NATURAL !!!
 
Mkuu mbona una supply uongo!?..Tupo kujifunza lakini ni sehemu gani umesoma kwamba Jua-Dunia mwanga unatumia miaka millioni!.. Hivi unaijua miaka million lakini au unachanganya kusafiri binadam/chombo na speed ya mwanga?.
Toka kwenye Jua mpaka Dunia mwanga unatumia dakika 8 na sekunde 19 sio miaka milioni.
Duuh!
 
Wanakwambia kukiwa na wormhole/vortex mbili kitu kilicho kati yake kinaweza safiri past-future continuosly!.
Duuuuh kumbe time travel hapo itawezekana!!! Mbona sayansi imegeuka uchawi tena 😀😀😀?? Kumbe science ni deep sana kiasi hiki.....

All in all wormhole inawezekana au na yenyewe inahitaji mtu asafiri kwa speed of light !!
 
Duh!
Wabongo kuna baadhi ya mambo yapo yametokea Na yataendelea kutokea!
Cern Na hiyo theory ya time hata hiyo experiment ni vitu vipo wazi!

Ukigeuza uchawi wa ki Africa unapata uchawi wa malaika wasi ambao uitwa uchawi wa kifizikia aka uchawi wa kisayansi
Kama huu uchawi wetu wa kiafrika tukautendea haki tungeshapata matokeo chanya sasa tatizo ni walio nao wanataka kuloga watu na kufanya mambo ya kijinga yasiyo na tija.
 
Na hiyo nguvu inasimamiwa na DEITY kma mungu au shetani ama na mwanadamu or its just NATURAL !!!
Hahahahaa
Mkuu una maswali mazuri Sanaa but majibu yake nadhani umeyaandaa kichwani!

Kuna Nguvu kubwa ambayo imegawanyika!
Ipo nguvu KUU ambayo imegawanya vyote
Pia Ipo nguvu kinzani ambayo
Ipo siku ita take action Na kuharibu taswira ya ulimwengu Na kanuni zake za uendeshwaji ! Eg uvamizi na kuinuka kwa baadhi ya vitu ambavyo awali vilikuwa vimefichwa pia theory mbali mbali zitakuja Ku take action!
 
Back
Top Bottom