Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Kwa sisi makabila ya kusini mara tu mtoto (wa kike na kiume) anapopitia jando na unyago,hua ndio tiketi ya kuacha kuingia chumbani kwa wazazi wetu, ulingana na mafundisho tunayopewa kule,
Haijalishi una umri gani yani hata uingie jando na miaka 8 Ni MARUFUKU KABISA na kamwe hautakaa uingie chumbani kwa baba na mama yako labda iwe ni kwa dharula kubwa mnooo ambayo hakuna mbadala wa mtu mwingine kuingia huko.
(Marufuku hii huwa haiapply kwa wajukuu kuingia chumbani kwa bibi na babu zao.)
Je, huko kwenu ni umri gani ni sahihi kwa mtoto kuacha kuingia chumbani kwa wazazi wake?
Haijalishi una umri gani yani hata uingie jando na miaka 8 Ni MARUFUKU KABISA na kamwe hautakaa uingie chumbani kwa baba na mama yako labda iwe ni kwa dharula kubwa mnooo ambayo hakuna mbadala wa mtu mwingine kuingia huko.
(Marufuku hii huwa haiapply kwa wajukuu kuingia chumbani kwa bibi na babu zao.)
Je, huko kwenu ni umri gani ni sahihi kwa mtoto kuacha kuingia chumbani kwa wazazi wake?