Upi ni umri sahihi wa mtoto kuacha kuingia chumbani kwa wazazi wake?

Upi ni umri sahihi wa mtoto kuacha kuingia chumbani kwa wazazi wake?

Prince [emoji1780] Charles anakaa kwao mpka leo na chumbani anaingia kama kawa [emoji16][emoji16] mimi ni nani nihame nyumbani na chumbani nisiingie!
 
Kuna vtu vingne haina ata maana ya kujua kwan havina msaada sana ktk maisha
Kla familia ina sheria na taratbu zake sa sizan km taratibu za nyumban kwenu ndo taratbu za nyumban kwetu

Mm nyumban kipnd tunakua kusalimiana na wazazi asubui ilikua haipo tulkua tunakutana mchana jion au usku ndo tunasalimiana ila eshima na maadili tunayo na tulifundisha na mengne tuliadapti kulingana na mazingira

Suala la mtoto kuingia chumban kwa wazazi wake ni mambo ya kifamilia haiusian na kabira, mira ukoo wala uwezo kipesa. Kuna nyumba zina swimming pool unakuta baba na mama wanaogerea na vijana wao acha watoto vijana wao wakija kusalimia au kuwatembelea

Vtu vingne tujifunze kupambana na maisha yetu na familia zetu ila mambo ya wengne na familia zao tuwaachie wao. Ww umeacha kuingia chumban kwa wazazi ukiwa na miaka 7 mwenzako yeye ataingia chumban kwa wazazi wake at akiwa na miaka 50

Ww umehama kwenu ukiwa na miaka18 mwenzako atahama kwao akiwa na miaka 50
Na mwingne ataoa na atazaa na wajukuu baba yake atasomesha akiwa kwao bla kuhama
 
Hiii ni tea
Unaogopa ogopa nini na wale ni wazazi tu!! kwani unawatamani??…..la hasha!! wao waendeleee hukoo mie nina zangu binafsi hata wakiwa wankulana sebureni mie napita zangu hivi!!……..

kuogopana!! ogopana huku!! ndo maana watu wanaliwaga na Baba/Mama zao!! make atasimamisha dushelele!! sasa km uko ivo hujamuingilia Mama mzazi kweli??…..

lkn akili ya utambuzi ''huyu ni Mama ni nyama ndani ya nyma zangu'' omboo inalala inapigwa ganzi!..wangapi wanaogesha Mama/Baba zao wakiumwa! sasa muache hapo anuke mavi afe!!….

si yeye alikuogesha hako kamdudu kako ana kajua hata km ni kakibamia!...ajabu nini?? huyo usimfiche kitu anakujua hata kma unakidoti matakoni anakijua fika!

ndo atakusaidia kurekebisha ndoa yako! ili umpige binti mashine kisawasawa! siku ukirogwa dushelele likilala fofo!!! fofofo!! utamsimulia nani kama si Mama yako??...maku ikiziba utamuona nani km si babayo??

sasa ifiche hiyo maku ufe nayo!...…..Baba yako anakubembeleza umwambie km umetoa mimba unamficha utakufa!...faster tu weye kimbia Sema wazi ''Baba mimba hii hapa sasa sema tunafanyaje''

Atagomba weeee!! mara toka kwangu hapa!! mpaka mate yamkauke mdomoni!! weye hata usilie kula lala!! atakuja mwenyewe kukupa akili ya kufanya!
 
Back
Top Bottom