K2qni haiwezekani mzazi akakutuma ukamchukulie kitu chumbani kwake pale ambapo yeye ana kazi zingine ?napiga hodi, chumba Cha wazazi unataka kwenda kufanya Nini?
Kama mzazi kakutuma ukamchukulie kitu chumbani hilo sio hitaji la muhimu ?Kuna mahitaji gani muhimu unahitaji kwenye chumba Cha wazazi?
Hata choo ni faragha lakini watu wanaingia kwa haja maalumu.Chumba Ni faragha
[emoji16][emoji16][emoji3]Chumbani Kuna nini sasa hata pesa hamna au mnaficha chupi
[emoji16][emoji3][emoji3]yaani na akina mama carenwakina baba junior nawaona[emoji1][emoji1]
Akitakiwa aje akufanyie usafi kutokana na uzee, hapo inakuwaje?Miaka 40 mwisho, asiingie kabisa
Msahuri aiache au nunua nyingine utakuwa umemsaidia!Jiulize mwanao wa kiume anaikuta Pichu ya Maza halafu IMETOBOKA!
Si ndo niliko toka kuna ubaya gani kwenda kupa salimia??? wajameni hivi roho mbaya mpaka mliko toka! mweee! hata ukikuta wana fanya si wao! kwani wanakufanya wewe??…...waambie tu sorry pesa ya shule imeisha!Chumba Ni faragha jamani, hebu kuweni serious!
Nimecheka sana mkuu,na chupi kwani siri?.Chumbani Kuna nini sasa hata pesa hamna au mnaficha chupi
Hiii ni teaSi ndo niliko toka kuna ubaya gani kwenda kupa salimia??? wajameni hivi roho mbaya mpaka mliko toka! mweee! hata ukikuta wana fanya si wao! kwani wanakufanya wewe??…...waambie tu sorry pesa ya shule imeisha!
Then aga ndeleeni!! Binti yangu aliingia ghafla siku moja wkt nafanya!1 wala hata sikuacha niliendelea tu wkt anaongea na mamake huko!! tena ana miak 25 hivi!
Ila kiarabu bana eti "kubaaalighi".وَإِذَا بَلَغَ ٱلۡأَطۡفَٰلُ مِنكُمُ ٱلۡحُلُمَ فَلۡيَسۡتَـٔۡذِنُواْ كَمَا ٱسۡتَـٔۡذَنَ ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِمۡۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ ٱللَّهُ لَكُمۡ ءَايَٰتِهِۦۗ وَٱللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٞ
(Dr. Mustafa Khattab)
And when your children reach the age of puberty, let them seek permission ˹to come in˺, as their seniors do. This is how Allah makes His revelations clear to you, for Allah is All-Knowing, All-Wise.
(Ali Muhsin Al-Barwani)
Na watoto wanapo fikilia umri wa kubaalighi basi nawatake ruhusa, kama walivyo taka ruhusa wa kabla yao. Hivyo ndivyo anavyo kubainishieni Mwenyezi Mungu Aya zake, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima.
-Surah An-Nur, Ayah 59
Quran inatufundisha hivyo
Well understoodKwangu sina kizingiti kabisa. Ila tu mtoto akishaanza kujitegemea hutegemei awe tena nashughuli ya kuingia chumbani. Ni Busara kwangu asubuhi watoto walikuwa wanagonga kutujulia hali nikisema karibu wanafungua mlango. Nisiposema karibu Nikamjibu Tu wanajua kuwa hawatakiwi kuongia. Ndiyo nilivyofundisha. Na muda mwingine nilikuwa natuma chumbani kuniletea kitu. Na kuna mambo Fulani ya kifamilia chumbani kwangu watoto walijua kabati au droo yenye vitu Fulani muhimu. Na kwenye safe kuna list ya vitu vilivyopo na combination keys vimehifadhiwa na watoto walijua vilipohifadhiwa. Hata kwa sasa wanajua maana wote wanajitegemea. Ni muhimu mno kushirikisha watoto wajue arrangement ya chumba chako na chumba kile unachohifadhia vitu muhimu. Narudia ni muhimu mno. Ila angalizo ukiona watoto kitabia siyo poa basi kuna mmoja au wawili washirikishe. Walipokuwa wadogo kabisa walikuwa wanajingiza tu kwa Fujo kama mbuzi🤣🤣🤣 na walikuwa wanaomba zamu za Kulala chumbani mpaka walipofika say 5 yes. Last born alilala Sana chumbani kwetu mpaka nilipomtoa ilikuwa mbinde Sana kusinzia chumbani kwake. Tuna bond kubwa Sana na huyu kuliko wengine japo nao Kwa kweli family bond ni kubwa mno. Ninamshukuru Sana Mungu.