mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Namjua Tripo9 WA JF Ila we sikujui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namjua Tripo9 WA JF Ila we sikujui.
Dah jitahidi unijue bhana mi mtu mkubwa Sana ati Mama KNamjua Tripo9 WA JF Ila we sikujui.
Jirani yangu ana Spacio na hivi Mimi hata bike sina ana mahoni balaa lazima uamke kama umelala.Mtu akiwa na VX lazima awe na mlinzi.
Gari unalo weweHabari Wakuu!
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?
Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.
Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.
Naomba kuwakilisha.
Ninayo Vogue afu iko full tank ol da timeMimi hua sipigi honi nashuka mwenyewe kwenda kufungua geti japo hii inaubaya wake mtu anaweza ingia kwa gari akaondoka nalo...nawaza Tu. Anyways nachukia horn Sana. Mi hua sipigagi honi kishamba. Dah watu washajua nna gari, hizi mada zingine bhana inabidi tukae kimya. Sema hamjajua Nina gar Aina gani mhaya mie, maana si kila gari ni gari
Jirani hapa anayo Noah huwa ni honi tuJirani yangu ana Spacio na hivi Mimi hata bike sina ana mahoni balaa lazima uamke kama umelala.Mtu akiwa na VX lazima awe na mlinzi.
Asanteeeeee!Ninayo Vogue afu iko full tank ol da time
Asante Sana. Kuna point kubwa Sana hapa nimejifunza.Habari Wakuu!
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?
Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.
Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.
Naomba kuwakilisha.
Si unajua sie wahaya bana. Sio kuwa ni usafiri tu Bali ni gari unajua gari lakini.
Na kuna lazima gani ya kupiga simu wakati honi ya gari ipo??Habari Wakuu!
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?
Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.
Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.
Naomba kuwakilisha.
Halafu bora ya honi mimi ninakaa jirani yangu anafuga kanga aiseeh usiombee wanaanza kupiga kelele saa tisa usiku mpaka asubuhi ni shida tupu
Honi ipo ndio, bila honi geti haliwezi kufunguliwa, vipi usumbufu kwa wengine?Na kuna lazima gani ya kupiga simu wakati honi ya gari ipo??
Hii nayo kero nyingine...mtu anaokota kipande cha jiwe anaanza kugonga...hivi vile vikengele vya nje ya mageti vya kubonyeza vilipotelea wapi? Au vipi sehemu maalum!Serikali yetu tulivu na sikivu soon wataleta tozo ya honi
Bora honi sasa wale wanaoishi kwenye mageti simu wanazo lakini kutwa kugongeana kwa fujo
Ugumu sijui huwa uko wapi, labda wapigaji wa honi wanaweza kutueleza sababu za msingi hadi kusumbua wengine hata nyakati za usiku.Hii kitu huwa inaboa sana. Unakuta mtu anapiga honi utadhani anakimbizwa alipotoka.
Huwa najiuliza why asipige simu mita chache kabla ya kufika home ili waliopo ndani waanze kutoka na kumfungulia geti on time.