Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Hiyo isitolewe.
Iliwezekana irudiwe aweke Caps, bold, italics na apigie mstari. *****
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo isitolewe.
Nyumba yako ina chumba kimoja hicho hicho jikoni, sebule, chooni so Mama Jr lazima awepo tu humo ama ni dirisha hilo moja tu nyumba nzima Mkuu Baba Jr.Yaani mimi nilivyo mvivu kupiga simu na nikipiga ikaita mara tano isipokelewe naikata harafu nifike home nianze kuhangaika na simu ili nifunguliwe[emoji3][emoji3]no no no
Sema uzuri nikikunja tu kona kuingia nyumbani namulika dirishani moja kwa moja wife anajua tu jamaa kafika Jr anakuja speed anafungua kabla hata sijapiga mbii mbiii!
Hahaha nimecheka eti feni inataka kukutoa roho. Binadamu tuna makariko sana jameni mtusameheMkuu ulitaka wafanyeje? Kuna mambo huwezi yaepuka. Utaumia tu. Unayafanya maisha yako yawe magumu. Kama honi tu inataka kukutoa roho, makubwa je?
Una gari aina gani?Mimi hua sipigi honi nashuka mwenyewe kwenda kufungua geti japo hii inaubaya wake mtu anaweza ingia kwa gari akaondoka nalo...nawaza Tu. Anyways nachukia horn Sana. Mi hua sipigagi honi kishamba. Dah watu washajua nna gari, hizi mada zingine bhana inabidi tukae kimya. Sema hamjajua Nina gar Aina gani mhaya mie, maana si kila gari ni gari
Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Lakini kwa nini magari yanao ongoza kupiga honi hata ukiwa babarani ni, IST specio Nissan trail, probox raum duet nk kuna siri kwenye wamiliki wa hizo gari?
Zile Noah za kwenye makinikia zilipoteakatiba mpya ingekupa gari lako.
Wakipiga honi na wewe unapiga mkuu
Utakuwa na PassoMimi hua sipigi honi nashuka mwenyewe kwenda kufungua geti japo hii inaubaya wake mtu anaweza ingia kwa gari akaondoka nalo...nawaza Tu. Anyways nachukia horn Sana. Mi hua sipigagi honi kishamba. Dah watu washajua nna gari, hizi mada zingine bhana inabidi tukae kimya. Sema hamjajua Nina gar Aina gani mhaya mie, maana si kila gari ni gari
Kwa sababu ndiyo mengi. Halafu wewe siyo dereva kwa hiyo hujui undani na umuhimu wa honi. Kuna watumiaji wa barabara wanaudhi sana. Honi hutumika pia kuelimisha wengine kuhusu Usalama. Hilo ndilo la msingi sana. Yaani honi ni moja ya kisemeo cha dereva. Kisemeo kingine ni taa.Lakini kwa nini magari yanao ongoza kupiga honi hata ukiwa babarani ni, IST specio Nissan trail, probox raum duet nk kuna siri kwenye wamiliki wa hizo gari?
Wengi ni waajiriwa wapya baada ya kusota Sana mtaaniLakini kwa nini magari yanao ongoza kupiga honi hata ukiwa babarani ni, IST specio Nissan trail, probox raum duet nk kuna siri kwenye wamiliki wa hizo gari?
siwez kujisfia kua nna gar flani. maana sio mhaya Mimi. Lakini sina Passo nina aina ingine.Utakuwa na Passo
[emoji3][emoji3][emoji3]Lakini kwa nini magari yanao ongoza kupiga honi hata ukiwa babarani ni, IST specio Nissan trail, probox raum duet nk kuna siri kwenye wamiliki wa hizo gari?