Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha mkuu eti kiji IST dahkuna libibi limoja lina kiji I S T, kafunga honi ya meli sasa likifika getini kwake ni shida tupu.
Dawa yao wapiga honi ni katiba MPYA tuTatizo sio kama mtu ana gari au hana...mimi nazungumzia huo utaratibu wa wengi ulivyo, binafsi sipigi honi nikiwa nje ya geti, siwezi kuleta usumbufu kwa majirani sababu naingia kwangu.
😅😅😅 Tafuta pesa mkuuHabari Wakuu!
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?
Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.
Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.
Naomba kuwakilisha.
Itakuchukua muda gani mpaka watu wajue una gari hapo mtaani ili uache sasa kuwasumbua ni hizo honi zako?Sasa tukipiga simu mtajuaje kama tunamagari?
Nissan Patrol 4.2, Discovery tdi hizo hazihitaji hata honi,Engine zake tu Ni honi Tisha.Likisimama getini unaenda kufungua mwenyewe.Ukiwa jirani na watu wa NISSAN PATROL, VX, nk, ni raha tupu. Wanaingia kimyakimya kwa kuteleza. Kabla hata hajasimama,geti lishafunguka.
Daa, kwenye vijigari vyetu vya mikopo, asalalaa!! Mawazo yote yako kwenye salary slip!!
Honi ya meli😅 kelele yake kwenye movie tu inastuakuna libibi limoja lina kiji I S T, kafunga honi ya meli sasa likifika getini kwake ni shida tupu.
[emoji16][emoji16]kuna libibi limoja lina kiji I S T, kafunga honi ya meli sasa likifika getini kwake ni shida tupu.
Huu ndio uthibitisho kuwa honi kuna wakati ni karaha..bora za barabarani sio hizi za kufunguliwa geti Mkuu.Mkuu ukiishi India utapata tabu sana, wanasema hakuna watu wanaopenda kupiga honi kama wahindi......imagine jiji kama bombay kila mtu apige honi ndani ya gari lake, si vibe la kitoto...
Ndio tushajua Mkuu, hongera!Ningechangia mada lakin staki watu wajue nina miliki gari Marcedes-benz 4matic
Ngoja tu ninyamaze nisitaje na bei watu wanao miliki vigari vya 80M wasije kuona naringa
Account full what for ???Habari Wakuu!
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?
Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.
Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.
Naomba kuwakilisha.