Upigaji wa honi za Magari wakati wa kuingia Majumbani

Gari unalo wewe
 
Kwa hiyo unataka ukifika uruke ukuta uzame ndani

Ova
 
Ninayo Vogue afu iko full tank ol da time
 
Asante Sana. Kuna point kubwa Sana hapa nimejifunza.
 
Na kuna lazima gani ya kupiga simu wakati honi ya gari ipo??
 
Serikali yetu tulivu na sikivu soon wataleta tozo ya honi

Bora honi sasa wale wanaoishi kwenye mageti simu wanazo lakini kutwa kugongeana kwa fujo
 
Hii kitu huwa inaboa sana. Unakuta mtu anapiga honi utadhani anakimbizwa alipotoka.

Huwa najiuliza why asipige simu mita chache kabla ya kufika home ili waliopo ndani waanze kutoka na kumfungulia geti on time.
 
Serikali yetu tulivu na sikivu soon wataleta tozo ya honi

Bora honi sasa wale wanaoishi kwenye mageti simu wanazo lakini kutwa kugongeana kwa fujo
Hii nayo kero nyingine...mtu anaokota kipande cha jiwe anaanza kugonga...hivi vile vikengele vya nje ya mageti vya kubonyeza vilipotelea wapi? Au vipi sehemu maalum!
 
Yaani mimi nilivyo mvivu kupiga simu na nikipiga ikaita mara tano isipokelewe naikata harafu nifike home nianze kuhangaika na simu ili nifunguliwe[emoji3][emoji3]no no no
Sema uzuri nikikunja tu kona kuingia nyumbani namulika dirishani moja kwa moja wife anajua tu jamaa kafika Jr anakuja speed anafungua kabla hata sijapiga mbii mbiii!
 
Hii kitu huwa inaboa sana. Unakuta mtu anapiga honi utadhani anakimbizwa alipotoka.

Huwa najiuliza why asipige simu mita chache kabla ya kufika home ili waliopo ndani waanze kutoka na kumfungulia geti on time.
Ugumu sijui huwa uko wapi, labda wapigaji wa honi wanaweza kutueleza sababu za msingi hadi kusumbua wengine hata nyakati za usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…