Upigaji wa honi za Magari wakati wa kuingia Majumbani

Nyumba yako ina chumba kimoja hicho hicho jikoni, sebule, chooni so Mama Jr lazima awepo tu humo ama ni dirisha hilo moja tu nyumba nzima Mkuu Baba Jr.
 
Dirisha la chumbani mkuu na nyumba nzima imeface barabarani,kutokana na ratba za maisha yangu mara nyingi naingia home night wote wamo ndani,napiga full light kisha napunguza mwanga kama sign kisha natulia watakuja tu kufungua.
 
Mkuu ulitaka wafanyeje? Kuna mambo huwezi yaepuka. Utaumia tu. Unayafanya maisha yako yawe magumu. Kama honi tu inataka kukutoa roho, makubwa je?
Hahaha nimecheka eti feni inataka kukutoa roho. Binadamu tuna makariko sana jameni mtusamehe
 
Ukiwa jirani na watu wa NISSAN PATROL, VX, nk, ni raha tupu. Wanaingia kimyakimya kwa kuteleza. Kabla hata hajasimama,geti lishafunguka.
Daa, kwenye vijigari vyetu vya mikopo, asalalaa!! Mawazo yote yako kwenye salary slip!!
 
Una gari aina gani?
 
Lakini kwa nini magari yanao ongoza kupiga honi hata ukiwa babarani ni, IST specio Nissan trail, probox raum duet nk kuna siri kwenye wamiliki wa hizo gari?
Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Utakuwa na Passo
 
yani kwa hela hizi za tozo na mikodi kibao upige simu wakati uko getini, nadhani haujakaa sawa wewe jamaa, uko kwako getini tena upoteze hela ya kupiga simu , si bora hata ungeshauri mtu ashuke agonge geti ungeweza ukawa na hoja
 
Mimi huwa nina namba za simu za watu wa mtaa mzima, nikiwa naja nawapigia wote simu kuwa sasa naja na nitapiga honi nikifika getini kwangu...

Naachaje kulibofya bofya hili jihoni lenye mlio maridhawa wa honi ya Harrier
 
Lakini kwa nini magari yanao ongoza kupiga honi hata ukiwa babarani ni, IST specio Nissan trail, probox raum duet nk kuna siri kwenye wamiliki wa hizo gari?
Kwa sababu ndiyo mengi. Halafu wewe siyo dereva kwa hiyo hujui undani na umuhimu wa honi. Kuna watumiaji wa barabara wanaudhi sana. Honi hutumika pia kuelimisha wengine kuhusu Usalama. Hilo ndilo la msingi sana. Yaani honi ni moja ya kisemeo cha dereva. Kisemeo kingine ni taa.

Kama gari haina honi ni kosa kisheria
 
Lakini kwa nini magari yanao ongoza kupiga honi hata ukiwa babarani ni, IST specio Nissan trail, probox raum duet nk kuna siri kwenye wamiliki wa hizo gari?
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…