Upigaji wa honi za Magari wakati wa kuingia Majumbani

sasa honi imewekwa ya kazi gani kama utaki tutumie
 
Tatizo sio kama mtu ana gari au hana...mimi nazungumzia huo utaratibu wa wengi ulivyo, binafsi sipigi honi nikiwa nje ya geti, siwezi kuleta usumbufu kwa majirani sababu naingia kwangu.
Dawa yao wapiga honi ni katiba MPYA tu
 
😅😅😅 Tafuta pesa mkuu
 
Ningechangia mada lakin staki watu wajue nina miliki gari Marcedes-benz 4matic
Ngoja tu ninyamaze nisitaje na bei watu wanao miliki vigari vya 80M wasije kuona naringa
 
Waanze kutumia mifumo ya kisasa ya kufungua mageti wakiwa ndani ya magari yao.
 
Mimi hufanya yote hayo kutegemea na situation. Wakati mwingine nalitest kama halijalockiwa nalifungua.

Ki msingi mimi si mpenzi wa kupiga honi, wife alikuwa anapenda kutumia honi lakini mdogomdogo ameanza kuniiga. Watoto wengine ninaowapa kuyatumia hawapigi honi kabisa.

Ila fundi sasa akiwa analirudisha baada ya service ,anapiga honi hizo utadhani kuna majambazi yanamkimbza.
 
Huu ujinga wa honi hadi kwenye foleni.Sielewi kabisa busara ya kupigia honi gari liliopo mbele yako.
 
Ukiwa jirani na watu wa NISSAN PATROL, VX, nk, ni raha tupu. Wanaingia kimyakimya kwa kuteleza. Kabla hata hajasimama,geti lishafunguka.
Daa, kwenye vijigari vyetu vya mikopo, asalalaa!! Mawazo yote yako kwenye salary slip!!
Nissan Patrol 4.2, Discovery tdi hizo hazihitaji hata honi,Engine zake tu Ni honi Tisha.Likisimama getini unaenda kufungua mwenyewe.
 
Mkuu ukiishi India utapata tabu sana, wanasema hakuna watu wanaopenda kupiga honi kama wahindi......imagine jiji kama bombay kila mtu apige honi ndani ya gari lake, si vibe la kitoto...
 
Mkuu ukiishi India utapata tabu sana, wanasema hakuna watu wanaopenda kupiga honi kama wahindi......imagine jiji kama bombay kila mtu apige honi ndani ya gari lake, si vibe la kitoto...
Huu ndio uthibitisho kuwa honi kuna wakati ni karaha..bora za barabarani sio hizi za kufunguliwa geti Mkuu.
 
Ningechangia mada lakin staki watu wajue nina miliki gari Marcedes-benz 4matic
Ngoja tu ninyamaze nisitaje na bei watu wanao miliki vigari vya 80M wasije kuona naringa
Ndio tushajua Mkuu, hongera!
 
Je wenye muziki mnene wa gari wanapoingia Nyumbani huku volume inasome 30 wanasemaje?
 
Account full what for ???
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha magumu
Una mind hadi horn[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…