Uchaguzi 2020 Upinzani bado wana mentality ya kujaza umati ndiyo kukubalika

Hahahha... Kipimo cha ushindi wa Lisu hakipatikani jf!
 
Vipi zanzibar nako uchaguzi mwepesi baada ya cuf kujifia?
 
Kwa Tume hii ya uchaguzi ambayo imewekwa MFUKONI na Rais, tutarajie viroja vingi sana.
 
Mbona ccm ikijaza watu hamuandiki haya?
 
Nahisi unazungumzia jeshi la mtandaoni la MATAGA na System wanaotumwa mitandaoni ili kushape public opinion in favor ya CCM na serikali.
Achana na zile comments, zipo. kwa lengo maalum
Aisee!

Lisu raia wengi sana hawamkubali, achana na hizi id mbili tatu za humu jf.
 
Lisu anapendwa hapa jf pekee!
Tena kuna id hazizidi 50 ndio zinampigania hapa jf.

Lisu akipata asilimia zaidi ya 20 nahama nchi
Lakini ata hivyo mkubali tu lisu anampa hofu sana rais wenu huyo
 
Vipi zanzibar nako uchaguzi mwepesi baada ya cuf kujifia?
Kule inajulikana, ni eneo la kimkakati na Seif asifikiri atapata kitu!

Hata akishinda, kwakuwa ni eneo la kimkakati hapati kitu.
 
Kule inajulikana, ni eneo la kimkakati na Seif asifikiri atapata kitu!

Hata akishinda, kwakuwa ni eneo la kimkakati hapati kitu.
Hapa ndio mnadhihirisha hampendwi bali ni mabavu tu, kama ccm inaweza kupendwa bara kwani inashindwa kufanya ikapendwa znz na hayo mambo ya kimkakati yakaisha?
 
Ungeweka na picha angalau iendane na ubachokiandika ili ueleweke vizuri
 
JF ni sehemu ya mawazo huru. Humu ndo sehemu pekee waweza pima mawazo huru ya watu maana identity ya mtu haijawa revealed.
Huku wengi ni ushabiki usio na mashiko!

Nenda kwenye page za ITV, EATV, BBC, VOA, DW nk kisha leta maoni ya watu kuhusu Lisu uone!

Kule ndio watu wapo huru na ni raia wa kawaida sana wako huku mitaani.

Hapa jf id zenu zinajulikana ni zile zile!
Yani iliyocoment leo kumponda Magaufuli au Lisu na kesho utaiona tena!

Kiufupi lisu ana kundi dogo sana linalo mshabikia tena lipo pale chadem la pekee,
Nje ya chadema Lisu hana mtaji wowote wa watu.

Hizo nyomi mnazosema Lisu anakusanya huko anakopita, hata Msigwa wa Iringa anaweza kukusanya vilevile.
Tangu enzi za Dr. Slaa alikuwa anakusanya nyomi, so hakuna kipyaa, mwisho wa siku Lisu hapati zaidi ya 20%
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa...
Dhambi hii January Makamba hutaa usamehewe na Mungu, wewe ni Muislamu ukaiba kumpa kafiri ushindi.
 
Hapa ndio mnadhihirisha hampendwi bali ni mabavu tu, kama ccm inaweza kupendwa bara kwani inashindwa kufanya ikapendwa znz na hayo mambo ya kimkakati yakaisha?
Mkuu Zanzibar ccm haishindagi uchaguzi na sababu zinajuliakana Wazaznzibar wanamtaka Seif ili awatoe kwenye muungano!

Sasa kwa kuwa bara ndio tunaotaka mungano Seif asahau kuwa rais.
 
Mkuu Zanzibar ccm haishindagi uchaguzi na sababu zinajuliakana Wazaznzibar wanamtaka Seif ili awatoe kwenye muungano!

Sasa kwa kuwa bara ndio tunaotaka mungano Seif asahau kuwa rais.
Kwanini znz hawatutaki kwenye huu muungano? Kwanini tusijiunge na comoro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…