Upinzani mkubali ukweli, Wananchi wamewachapa bakora kwa kutokukaa bungeni na kupinga kila kitu

Upinzani mkubali ukweli, Wananchi wamewachapa bakora kwa kutokukaa bungeni na kupinga kila kitu

Watz ni watu wanaopenda amani na hilo linawapa furaha. Kwao amani kwanza mengine baadae. Hata ukiwakera vipi watatafuta namna wafurahi kwa uliyowafanyia.
 
Angalia ujinga ulioandika hapa! Hebu twambie huko Ulaya ni Nchi gani inafanya maovu ya kutisha kama maccm halafu inakaa madarakani miaka 59? Tafakari kwa kina kabla ya KUKURUPUKA na kuandika upuuzi.
Kwa Afrika ubadhilifu na uchotaji wa rasilimali za umma au chama ni vitu vinavyotokea.

Lakini hata huko Ulaya na marekani kwenye vyama vya siasa upo wizi wa kughushi na kujipatia viposho kwa njia za udanganyifu.
 
Nacheka kama mazuri hivi Robert amsterdam anatusaidia nin sas [emoji2303][emoji2303][emoji2303]
 
Wewe bogus naukumbuka ule uzi wako wa kutaka jiwe awe Rais wa maisha, hujielewi.
Ndio


Naamini Mungu kanipa kipawa cha kuangalia masuala fulani kwa upana wake.

Nikiandika ni kielelezo.
 
Angalia ujinga ulioandika hapa! Hebu twambie huko Ulaya ni Nchi gani inafanya maovu ya kutisha kama maccm halafu inakaa madarakani miaka 59? Tafakari kwa kina kabla ya KUKURUPUKA na kuandika upuuzi.
Kuna anchi fulani ya Ulaya leo mtu kaamua kuingia kanisani na kuchinja watu.

Ni kutokana na yeye kuamini kwamba kuna ukandamizaji wa aina fulani kwa watu wa aina fulani.
 
Don’t change the subject please! What happened in France does not justify what is going in our country . Stop this stupidity please!
Kuna anchi fulani ya Ulaya leo mtu kaamua kuingia kanisani na kuchinja watu.

Ni kutokana na yeye kuamini kwamba kuna ukandamizaji wa aina fulani kwa watu wa aina fulani.
 
Don’t change the subject please! What happened in France does not justify what is going in our country . Stop this stupidity please!
Siasa ni sayansi.

Mimi ningekuwa Tundu Lissu tangu alipopitishwa kuwa mgombea wa CCM angejipanga kukabiliana na sera zote za CCM na ilani yake ya Uchaguzi.

Kisha ningetafuta makosa na udhaifu wote wa CCM na serikali yake.

Halafu hapo unapata wapi pa kuanzia strategically.

Lakini si njia ambayo Tundu Lissu amepitia tangu achaguliwe kuwa mgombea wa Chadema.

Amekosea sana kimkakati na kuieledi.

Yaani ni afadhali na uchaguzi wa 2010 a 2015 ambapo Dr Sla na Edward Lowasa waliweka hekaheka.
 
Kwa Afrika ubadhilifu na uchotaji wa rasilimali za umma au chama ni vitu vinavyotokea.

Lakini hata huko Ulaya na marekani kwenye vyama vya siasa upo wizi wa kughushi na kujipatia viposho kwa njia za udanganyifu.
Dawa ya wanaccm ni kuanza kuwapoteza mmoja mmoja
 
Kwa hio umeprove Rais na serikali yako aliposema msipomchagua fulani (CCM) maendeleo hayaji jimboni kwenu na wewe unaona ni sawa?
Usikimbie ukweli kuwa halmashauri ya jiji iliyotawaliwa na upinzani haikufanya lolote kuboresha miundombinu kwa miaka mitano. Sasa yamewakuta.
 
Dawa ya wanaccm ni kuanza kuwapoteza mmoja mmoja
Siamini katika violence bali fairness pale palipo na subastance katika arguments za wapinzani.

Kuwapoteza kisiasa yatosha.

Na imani hili ni funzo kwao kujipanga upya.
 
Upuuzi mtupu! Eti siasa ni sayansi! Lakini hapo hapo unaukwepa ukweli kwamba tume haikuwa huru, uchaguzi ulijaa wizi, vitisho, mawakala wa Chadema kufanyiwa kila aina ya uhuni ili kurahisisha wizi na pia polisiccm kutumia mtutu wa bunduki Bara na Visiwani ili kukamilisha ujambazi wa huyo anayejiita mwendawazimu kuiba chaguzi ili ang’ang’anie madaraka! Hebu tumia akili japo kiduchu ili kuuona ukweli badala ya KUKURUPUKA na kuandika PUMBA.
Siasa ni sayansi.

Mimi nigekuwa Tundu Lissu tangu alipopitishwa kuwa mgombea wa CCM angejipanga kukabiliana na sera zote za CCM na ilani yake ya Uchaguzi.

Kisha ningetafuta makosa na udhaifu wote wa CCM na serikali yake.

Halafu hapo unapata wapi pa kuanzia strategically.

Lakini si njia ambayo Tundu Lissu amepitia tangu achaguliwe kuwa mgombea wa Chadema.

Amekosea sana kimkakati na kuieledi.

Yaani ni afadhali na uchaguzi wa 2010 a 2015 ambapo Dr Sla na Edward Lowasa waliweka hekaheka.
 
Kwa hio umeprove Rais na serikali yako aliposema msipomchagua fulani (CCM) maendeleo hayaji jimboni kwenu na wewe unaona ni sawa?
Boniface Jacob akiwa meya amefanya nini kutatua matatizo ya mafuriko?
 
Hili genge lilijifanya ndio kila kitu,kumbe mapunguani matupu. Hongereni watanzania wazalendo, mnaoona mbali kwa manufaa ya taifa zima. Tanzania inahitaji maendeleo sio bla bla hapa, ikimpendeza mkuu apige marufuku siasa mpaka 2025 ili mpate kazi za kufanya maana wengine mlikuwa mmejificha kwenye kichaka cha siasa kumbe majizi.
 
Ni kama nilivyowahi kusema na ntaendelea kusema kwamba upinzani nchini Tanzania ni kiinimacho na upo kwa ajili ya kula ruzuku.

Mimi ni mmoja wa watu ambao bila kutetereka nimemuunga mkono raisi John Magufuli na serikali yake kwa miaka mitano ilopita na ntaendelea kumuunga mkono kwa yale yote mema anayoyatendea nchi hii.

Tuwe wakweli hata wewe ukiwa na mipango yako wataka uifanye na waona kabisa kuna "obstacles" au vipingamizi ambavyo vipo kwa ajili ya kukukatisha tamaa na kuvuruga ni hatua zipi utachukua?

Ndio, hii yaitwa "obstacles to progress" yaani mtu kwa makusudi kabisa apingaaa kila kitu!!

Upinzani watakiwa kuwa objective yaani uwe wapinga lakini hapohapo kwenye masuala ya kuhusu maslahi ya taifa waonekana waunga mkono asilimia 100.

Nchi zote zilizoendelea na zinazoendela wanafanya hivyo na tumeziona hata katika suala la COVID-19 wapinzani wameunga mkono jitihada za serikali na penye kupinga wamepinga na kutaka ufafanuzi.

Lengo lao la kupinga ni kuitaka serikali ifanye marekebisho ya sheria zake kuhusiana na ugonjwa huo na mengine yanayobaki kama kuunga mkono "lockdown" wameunga mkono serikali zao.

Lakini upinzani wa Tanzania ni kupinga kila lililo jema na kibaya zaidi kuzungumzia upingaji huo mitandaoni kwa kukejeli na kukashifu vitendo ambavyo wananchi wameona na wamesikitishwa sana.

Kutohudhuria vikao vya bunge na kuendelea kulipwa fedha za vikao mmeliingizia hasara Bunge na taifa kwa ujumla maana fedha hizo ni bora zingeenda kushughulikia maendeleo ya huko vijijini na huduma zingine muhimu kwa nchi yetu.

Pia kutohudhuria vikao vya bunge mmewanyima wananchi haki yao ya kufikishiwa shida zao bungeni na badala yake mkampa kazi raisi Magufuli kuzunguka nchi nzima akishughulikia matatizo ya wananchi papo kwa hapo.

Matatizo ya wananchi kama kukosa huduma ya vyoo ni jukumu ya mbunge na jimbo jimbo lake kuhakikisha kuna vyoo vya umma katika maeneo kama masoko na vituo vya mabasi.


Sasa kibaya zaidi ni kitendo cha kuwashirikisha wageni kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na hata kufikia baadhi yao wageni hao khasa bwana Robert Amsterdam kuandika barua za vitisho na dhihaka kwa kiongozi wa Tanzania akidhani yeye ndie mahakama ya dunia!

Wananchi wa Tanzania si wajinga ni watu waelewa sana na wapinzani wasidharau kauli hii.

Nilisema pia humu kuwa wananchi hawa walojitokeza kwenye mikutano yenu hawakufanya hivyo bila sababu, walitaka kusikia mnachosema majukwaani.

Mlichofanya mkaishia kumzungumzia raisi Magufuli na serikali yake badala ya kunadi sera zenu na ilani za vyama vyenu.

Niliwakumbusha hapa ndani kabisa ya kampeni baada ya kuona mnapotea lakini hamkusikia mkazidisha kuchukua picha za nyomi la watu na kutupa mtandaoni.


Sasa hivi wanawachapa bakora khasa na kuwakumbusha kuwa upinzani ni kuwa objective unampinga mtu na hapohapo waonyesha unamsaidia katika baadhi ya mambo ambayo ni positive.

Kiukweli mnahitaji kujipanga uzuri na kuja kivingine mkipinga yanayostahiki na kuisaidia serikali kufanya shughuli zake bungeni na majimboni kwa ufanisi na huko ndiko kula na kipofu.

Sasa hata yule anefahamu kula na kipofu anawashindaaa!!

Hiyo ni kwasababu upinzani kuja kutawala nchi hii itachukua miaka mingi sana na sababu ni haohao wananchi mnaowadharau kwa kuwaita wajinga.

Lakini ni kheri mjinga asiefahamu na anaengojea kuelimishwa kuhusu sera mbadala, kuliko yule mpumbafu anaejiona afahamu kila kitu na hata kutumia mabeberu kutaka kuiuza nchi yake.

Tuendelee kushuhudia kichapo kutoka kwa wananchi na poleni wapinzani, poleni sana.
''Sasa kibaya zaidi ni kitendo cha kuwashirikisha wageni kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na hata kufikia baadhi yao wageni hao khasa bwana Robert Amsterdam kuandika barua za vitisho na dhihaka kwa kiongozi wa Tanzania akidhani yeye ndie mahakama ya dunia!''

Thanks Richard, Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom