Upinzani mkubali ukweli, Wananchi wamewachapa bakora kwa kutokukaa bungeni na kupinga kila kitu

Upinzani mkubali ukweli, Wananchi wamewachapa bakora kwa kutokukaa bungeni na kupinga kila kitu

Siasa ni sayansi.

Mimi ningekuwa Tundu Lissu tangu alipopitishwa kuwa mgombea wa CCM angejipanga kukabiliana na sera zote za CCM na ilani yake ya Uchaguzi.

Kisha ningetafuta makosa na udhaifu wote wa CCM na serikali yake.

Halafu hapo unapata wapi pa kuanzia strategically.

Lakini si njia ambayo Tundu Lissu amepitia tangu achaguliwe kuwa mgombea wa Chadema.

Amekosea sana kimkakati na kuieledi.

Yaani ni afadhali na uchaguzi wa 2010 a 2015 ambapo Dr Sla na Edward Lowasa waliweka hekaheka.
Watanzania kwa kujifanya ni wajuaji wa kila kitu.
Hebu tueleze alikosea wapi na kipi angefanya ndio angepatia.
Usikute unakaa kwa shemeji yako then unakuja kukosoa mambo makubwa ya siasa za nchi hii.
 
Usikimbie ukweli kuwa halmashauri ya jiji iliyotawaliwa na upinzani haikufanya lolote kuboresha miundombinu kwa miaka mitano. Sasa yamewakuta.

Wewe ndio usikimbie ukweli miaka 60 ya liserikali lako mvua ikinyesha kidogo tu mafuriko, kila mwaka matatizo ni hayo hayo, na bado serikali yako kimya, unafurahia flyover kwanza.. dah
 
Boniface Jacob akiwa meya amefanya nini kutatua matatizo ya mafuriko?

Wewe unadhani angefanya nini wakati kiongozi wako anatamka hadharani kuwa hatapeleka maendeleo jimboni endapo watachagua mpinzani, unafurahia maendeleo Chato na sio kijijini unakotoka sio??
 
Upuuzi mtupu! Eti siasa ni sayansi! Lakini hapo hapo unaukwepa ukweli kwamba tume haikuwa huru, uchaguzi ulijaa wizi, vitisho, mawakala wa Chadema kufanyiwa kila aina ya uhuni ili kurahisisha wizi na pia polisiccm kutumia mtutu wa bunduki Bara na Visiwani ili kukamilisha ujambazi wa huyo anayejiita mwendawazimu kuiba chaguzi ili ang’ang’anie madaraka! Hebu tumia akili japo kiduchu ili kuuona ukweli badala ya KUKURUPUKA na kuandika PUMBA.
Mkuu, nipe mfano wa tume yoyote huru katika nchi yoyote ile.

Na ni uhuru gani huo unaozungumzia?

Ule wa kuipa ushindi Upinzani hata kama umeshindwa?

Hizo irregularities zipo hata huko Marekani ambao kucha wazungumzia uchaguzi Tanzania.

Hata Donald Trump alipomteua mtu wake kuwa mkuu wa posta kusimamia upigaji kura kwa njia ya posta hakuna aliepinga hilo.

Pia Trump metua majaji wa mahakama kuu wapato 216 na kufikia siku ya uchaguzi majaji hao watakuwa 230.

Sasa hawezi kukataa kwamba uteuzi wake wa majaji hawa utaendana na hukumu watakazotoa dhidi ya mapingamizi yatakayotokana na matokeo ya uchaguzi.

Na tume ya uchaguzi ya Marekani inawasiliana na post office na mahakama.

Sasa uhuru wa mahakama upo wapi hapo?
 
Siamini katika violence bali fairness pale palipo na subastance katika arguments za wapinzani.

Kuwapoteza kisiasa yatosha.

Na imani hili ni funzo kwao kujipanga upya.
Kiroho safi nimeshaanza kutekeleza hilo. Nikimuona mwanaccm napata njaa ya kuua tena njaa kali sana! Kwa hakika lazima tuje na mbinu ambayo itawaumiza ili utu uwaingie.
 
Wewe unadhani angefanya nini wakati kiongozi wako anatamka hadharani kuwa hatapeleka maendeleo jimboni endapo watachagua mpinzani, unafurahia maendeleo Chato na sio kijijini unakotoka sio??
Hapana, Jacob alikuwa na uwanja wote wa kujimwambafwai kuhakikisha mapato ya jiji yanaboresha jiji bila shida.
 
Watanzania kwa kujifanya ni wajuaji wa kila kitu.
Hebu tueleze alikosea wapi na kipi angefanya ndio angepatia.
Usikute unakaa kwa shemeji yako then unakuja kukosoa mambo makubwa ya siasa za nchi hii.
Acha utoto wewe hunifahamu uzuri hivyo kaa kimya.
 
Acha utoto wewe hunifahamu uzuri hivyo kaa kimya.
Ni kweli sikufahamu lakini unapokuja kuchallenge mbinu walizotumia watu toa mbinu mbadala ambazo unaona ni suluhisho sio kuja na maneno matupu kama kasuku.
 
Ni kweli sikufahamu lakini unapokuja kuchallenge mbinu walizotumia watu toa mbinu mbadala ambazo unaona ni suluhisho sio kuja na maneno matupu kama kasuku.
Nimeongea mbinu nyingi tu mbadala tangu 2006 nikiwa na kina BAK, yeye anafahamu hilo.
 
Nimeongea mbinu nyingi tu mbadala tangu 2006 nikiwa na kina BAK, yeye anafahamu hilo.
Contents za uzi zinahusu uchaguzi mkuu wa 2020.
Na hapa ndio ulitakiwa uweke hizo mbinu mbadala acha ngonjera za 2006.
 
Kwa kukomesha kabisa Magu atateia viongozi wa upinzani kibao[emoji23][emoji23][emoji23] ili kuwatia hasira zaidi
 
Uzuri kwamba namba tutazisoma wote Kama Sasa mitandao imechezewa tuna athirika wote Hadi MATAGA ,endeleeni kushangilia utopolo.
 
Ni kama nilivyowahi kusema na ntaendelea kusema kwamba upinzani nchini Tanzania ni kiinimacho na upo kwa ajili ya kula ruzuku.

Mimi ni mmoja wa watu ambao bila kutetereka nimemuunga mkono raisi John Magufuli na serikali yake kwa miaka mitano ilopita na ntaendelea kumuunga mkono kwa yale yote mema anayoyatendea nchi hii.

Tuwe wakweli hata wewe ukiwa na mipango yako wataka uifanye na waona kabisa kuna "obstacles" au vipingamizi ambavyo vipo kwa ajili ya kukukatisha tamaa na kuvuruga ni hatua zipi utachukua?

Ndio, hii yaitwa "obstacles to progress" yaani mtu kwa makusudi kabisa apingaaa kila kitu!!

Upinzani watakiwa kuwa objective yaani uwe wapinga lakini hapohapo kwenye masuala ya kuhusu maslahi ya taifa waonekana waunga mkono asilimia 100.

Nchi zote zilizoendelea na zinazoendela wanafanya hivyo na tumeziona hata katika suala la COVID-19 wapinzani wameunga mkono jitihada za serikali na penye kupinga wamepinga na kutaka ufafanuzi.

Lengo lao la kupinga ni kuitaka serikali ifanye marekebisho ya sheria zake kuhusiana na ugonjwa huo na mengine yanayobaki kama kuunga mkono "lockdown" wameunga mkono serikali zao.

Lakini upinzani wa Tanzania ni kupinga kila lililo jema na kibaya zaidi kuzungumzia upingaji huo mitandaoni kwa kukejeli na kukashifu vitendo ambavyo wananchi wameona na wamesikitishwa sana.

Kutohudhuria vikao vya bunge na kuendelea kulipwa fedha za vikao mmeliingizia hasara Bunge na taifa kwa ujumla maana fedha hizo ni bora zingeenda kushughulikia maendeleo ya huko vijijini na huduma zingine muhimu kwa nchi yetu.

Pia kutohudhuria vikao vya bunge mmewanyima wananchi haki yao ya kufikishiwa shida zao bungeni na badala yake mkampa kazi raisi Magufuli kuzunguka nchi nzima akishughulikia matatizo ya wananchi papo kwa hapo.

Matatizo ya wananchi kama kukosa huduma ya vyoo ni jukumu ya mbunge na jimbo jimbo lake kuhakikisha kuna vyoo vya umma katika maeneo kama masoko na vituo vya mabasi.

Sasa kibaya zaidi ni kitendo cha kuwashirikisha wageni kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na hata kufikia baadhi yao wageni hao khasa bwana Robert Amsterdam kuandika barua za vitisho na dhihaka kwa kiongozi wa Tanzania akidhani yeye ndie mahakama ya dunia!

Wananchi wa Tanzania si wajinga ni watu waelewa sana na wapinzani wasidharau kauli hii.

Nilisema pia humu kuwa wananchi hawa walojitokeza kwenye mikutano yenu hawakufanya hivyo bila sababu, walitaka kusikia mnachosema majukwaani.

Mlichofanya mkaishia kumzungumzia raisi Magufuli na serikali yake badala ya kunadi sera zenu na ilani za vyama vyenu.

Niliwakumbusha hapa ndani kabisa ya kampeni baada ya kuona mnapotea lakini hamkusikia mkazidisha kuchukua picha za nyomi la watu na kutupa mtandaoni.


Sasa hivi wanawachapa bakora khasa na kuwakumbusha kuwa upinzani ni kuwa objective unampinga mtu na hapohapo waonyesha unamsaidia katika baadhi ya mambo ambayo ni positive.

Kiukweli mnahitaji kujipanga uzuri na kuja kivingine mkipinga yanayostahiki na kuisaidia serikali kufanya shughuli zake bungeni na majimboni kwa ufanisi na huko ndiko kula na kipofu.

Sasa hata yule anefahamu kula na kipofu anawashindaaa!!

Hiyo ni kwasababu upinzani kuja kutawala nchi hii itachukua miaka mingi sana na sababu ni haohao wananchi mnaowadharau kwa kuwaita wajinga.

Lakini ni kheri mjinga asiefahamu na anaengojea kuelimishwa kuhusu sera mbadala, kuliko yule mpumbafu anaejiona afahamu kila kitu na hata kutumia mabeberu kutaka kuiuza nchi yake.

Tuendelee kushuhudia kichapo kutoka kwa wananchi na poleni wapinzani, poleni sana.
Click to expand...
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM wameshinda uchaguzi huu wa 2020.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK

Hukusikia upinzani kushinda Malawi baada ya miaka 25 kama sikosei ya hao waliokuwa madarakani? Kule Seychelles baada ya miaka 44 ya chama tawala last week upinzani umeshinda. Unadhani wangekuwa na UOZO kama huu wa kwetu pamoja na vyombo vya dola vifanye uhuni, vitisho na mauaji kama polisiccm unadhani upinzani ungeshinda!?
Mkuu, nipe mfano wa tume yoyote huru katika nchi yoyote ile.

Na ni uhuru gani huo unaozungumzia?

Ule wa kuipa ushindi Upinzani hata kama umeshindwa?

Hizo irregularities zipo hata huko Marekani ambao kucha wazungumzia uchaguzi Tanzania.

Hata Donald Trump alipomteua mtu wake kuwa mkuu wa posta kusimamia upigaji kura kwa njia ya posta hakuna aliepinga hilo.

Pia Trump metua majaji wa mahakama kuu wapato 216 na kufikia siku ya uchaguzi majaji hao watakuwa 230.

Sasa hawezi kukataa kwamba uteuzi wake wa majaji hawa utaendana na hukumu watakazotoa dhidi ya mapingamizi yatakayotokana na matokeo ya uchaguzi.

Na tume ya uchaguzi ya Marekani inawasiliana na post office na mahakama.

Sasa uhuru wa mahakama upo wapi hapo?
 

👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👍🏽
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM wameshinda uchaguzi huu wa 2020.
 
Tutakavyoanza kuisoma namba watakuwa wanaangalia ulikuwa unashabikia chama gani au wote tutaisoma namba
 
Back
Top Bottom