Upinzani mkubali ukweli, Wananchi wamewachapa bakora kwa kutokukaa bungeni na kupinga kila kitu

Shughuli tiyari ishafanyika pale ukumbi wa Karimjee.

Alikuwepo PM Majaliwa Kassim ikapigwa Qasida na pilau ikatembea uzuri.

Baada ya kisomo PM akaongea machache na shughuli ndo imeishia.
 
Mkuu nimegundua wewe sio objective ni subjective. Haihitaji rocket science kujua hili suala hata layman wa mtaan huku wanafahamu.
Haya endelea na mada yako, mimi niishie hapa.
Mimi siku zote ni objective ila wewe ni subjective.

Ndo maana mnashindwa kuwa hoja za CCM kwamba wameona yalofanywa na serikali yake kwa miaka mitano ilopita.

Kama kawaida mtu objective pia ni lazima asikilizwe kwamba Tundu Lissu asiwe mgombea labda mnaenda kinyume na mtarajio ya wanachama walo wengi.

Lakini kwa kuwa Chadema ni subjective mnaishia kuchagua hoja ambazo hazina substance mbele ya electorate.

Pia kwa kuwa ninyi ni subjective, kuchagua kutohudhuria bungeni imekuwa ni pigo kwenu kwani eletorate wamewaona hamna maana kwa kuendelea kuunguza public funds kula posho bila kuhudhuria bungeni.

Hivyo wewe ndie subjective.

Mimi ni Objective kwa kuwa naangalia zaidi facts mezani.
 
Watu wengi walipoenda vituoni wakaona mawakala wanatolewa na mapoliccm wakasusa kupiga kura wakaona hakuna uchaguzi wasije kufa
 
Shughuli tiyari ishafanyika pale ukumbi wa Karimjee.

Alikuwepo PM Majaliwa Kassim ikapigwa Qasida na pilau ikatembea uzuri.

Baada ya kisomo PM akaongea machache na shughuli ndo imeishia.
Ok. Dah nimeikosa. Baasi bakwata this time hawakuitolea tangazo
 
Watz wanaipenda sana CCM ndio maana wapo majumbani wanafurahia ushindi wa CCM kwa amani. Kinyume na hapo wangekuwa mabarabarani wanaandamana.
watanzania hawaipendi CCM bali wanaipenda Amani, ndio maana hawako mabarabarani sababu bado wanamtaka Amani wao. CCM wanalijua hilo na ndio mana wanawafanyia watanzania hila za wazi wazi, ili wavuruge amani, ila bado wanaienzi Amani waliyoachiwa na baba wa Taifa, tutamuenzi baba wa Taifa kwa kutuachia amani, na tutahuzuni
ka kwa baba wa taifa kutuachia CCM
 
Utalii wao umeisha kwa kishindoooooooooooo

Ila kwa kweli.. tuliona kweli mnawaambia.. nasi ambao tulikuwa kimya tulikuwa tunawacheka tu..

💚 💛 💚
 

Hawa ndiwo wawakilishi waliochaguliwa na wananchi, wananchi wanaipenda sana ccm, sasa nchi yetu inaenda kuwa kama ulaya
 
Kuna point hapo nimeiona...
 
Utalii wao umeisha kwa kishindoooooooooooo

Ila kwa kweli.. tuliona kweli mnawaambia.. nasi ambao tulikuwa kimya tulikuwa tunawacheka tu..

[emoji172] [emoji169] [emoji172]
naona unajipiga do.le huko chini kisha unanusa ukitarajia harufu tofauti wakati unajijua kbs wewe huwa ni mchafu so lazima utatema!!!.
 
Wewe bogus una justify ushindi wa wizi kuwa ndio kipawa chako?!
 
Hapana, Jacob alikuwa na uwanja wote wa kujimwambafwai kuhakikisha mapato ya jiji yanaboresha jiji bila shida.
Wewe bogus kweli hujui kitu.

Hujui hata mapato ya halmashauri yakikusanywa yanaenda wapi?
 
Akili yako ipo kwenye makalio ndio maana unachoongea ni kama ushuzi ujambao,hivi zile ndio unadhani ndio matakwa ya wananchi
 
Wamechapwa vibaya Mbunge Wetu Uku Mbeya Sugu kashindwa live
 
Haya sasa mmeshinda nchi yooooote kijani. Tuone maendeleo sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…