Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hujajibu nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza.Acha leta janja ya nyani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza.Acha leta janja ya nyani.
Dah mkuu umenichekesha! Kwamba unawalazimisha waseme.Kumbuka mnakula ruzuku ambazo ni kodi za wavuja jasho, lazima mseme lolote kwa mustakabali wa taifa.
Peleka ujinga huko, sasa ulitaka waseme nini labda? Kubwa zima kutwa kukicha kuandika ujinga humu. Punguani wewe.Nani asiye wajua jinsi mlivyo na shobo za kisiasa? Jinsi mnavyojua kuyavalia bango makosa ya CCM na serikali yake.
Eti mnazuga mmeamua kukaa kimya baada ya kuona mlidhurumiwa uchaguzi mkuu! Mlidhulumiwa nini?
Nirudi kwenye hoja kuu, ninyi wapinzani njaa mpate skendo ya kweli ya ufisadi ambayo mnajua itawabeba kama Escrow au list ya mafisadi papa ilivyowabeba,mtakaa kimya?
Kwa ufupi hamna mikakati ya siasa ya kupambana na Ccm sababu sasa hivi hamna watu makini wa kuwapa mbinu na mikakati chanya.
Mmebaki kuwa watu wa kunug'unika kama vile machokoraa wa kisiasa ambpao hamjui kesho yenu kisiasa.
Msidanganye watu eti kuwa mmeamua kukaa kimya eti kisa hamtaki kusema lolote,ukweli ni kuwa hamna cha kukosoa kama huko nyuma maana kwa sasa mmebaki hamna mtaji wa kisiasa.
Ndio. Wewe ni idiot,Ahaaaa.
Sawa. Uache ku post ujinga humu. Kutwa mathreads ya kipuuzi tu, kwani lazima uanzinshe threads humu! Mmevuruga jukwaa na maujinga yenu humu, hamnaga kazi ya kufanya? Kero tu.
Kumbuka mnakula ruzuku ambazo ni kodi za wavuja jasho, lazima mseme lolote kwa mustakabali wa taifa.
Punguza jazba,opposition parties must work my bro. Sio lazima wapate wabunge.Hivi unajielewa kweli?
Mara wamezimishwa, mara siyo kwamba hawataki kusema mara lazima waseme kwa mustakabali wa taifa.
Sasa waliozimishwa wanasemaje? wanatoka wapi na umesema wamezimishwa??
Anyway mmeachwa mchape kazi, hakuna kutafuta watu wa kuwatupia lawama...CHAPENI KAZI UCHAGUZI UMEISHA.
Punguza jazba,opposition parties must work my bro. Sio lazima wapate wabunge.
Fu..ck off cretin. Mnatuchafulia jukwaa pimbi nyie.Najua limekuingia vizuri🖕
[emoji15][emoji15][emoji15] ... Ama kweli nimeamini ujinga ni adui mkubwa wa maendeleo ya utu wa mtuNani asiye wajua jinsi mlivyo na shobo za kisiasa? Jinsi mnavyojua kuyavalia bango makosa ya CCM na serikali yake.
Eti mnazuga mmeamua kukaa kimya baada ya kuona mlidhurumiwa uchaguzi mkuu! Mlidhulumiwa nini?
Nirudi kwenye hoja kuu, ninyi wapinzani njaa mpate skendo ya kweli ya ufisadi ambayo mnajua itawabeba kama Escrow au list ya mafisadi papa ilivyowabeba,mtakaa kimya?
Kwa ufupi hamna mikakati ya siasa ya kupambana na Ccm sababu sasa hivi hamna watu makini wa kuwapa mbinu na mikakati chanya.
Mmebaki kuwa watu wa kunug'unika kama vile machokoraa wa kisiasa ambao hamjui kesho yenu kisiasa.
Msidanganye watu eti kuwa mmeamua kukaa kimya eti kisa hamtaki kusema lolote,ukweli ni kuwa hamna cha kukosoa kama huko nyuma maana kwa sasa mmebaki hamna mtaji wa kisiasa.