Upinzani mmezimishwa sio kama hamtaki kusema

Upinzani mmezimishwa sio kama hamtaki kusema

Nani asiye wajua jinsi mlivyo na shobo za kisiasa? Jinsi mnavyojua kuyavalia bango makosa ya CCM na serikali yake.

Eti mnazuga mmeamua kukaa kimya baada ya kuona mlidhurumiwa uchaguzi mkuu! Mlidhulumiwa nini?

Nirudi kwenye hoja kuu, ninyi wapinzani njaa mpate skendo ya kweli ya ufisadi ambayo mnajua itawabeba kama Escrow au list ya mafisadi papa ilivyowabeba,mtakaa kimya?

Kwa ufupi hamna mikakati ya siasa ya kupambana na Ccm sababu sasa hivi hamna watu makini wa kuwapa mbinu na mikakati chanya.

Mmebaki kuwa watu wa kunug'unika kama vile machokoraa wa kisiasa ambao hamjui kesho yenu kisiasa.

Msidanganye watu eti kuwa mmeamua kukaa kimya eti kisa hamtaki kusema lolote,ukweli ni kuwa hamna cha kukosoa kama huko nyuma maana kwa sasa mmebaki hamna mtaji wa kisiasa.
Wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wengine tu huko CCM
 
We kamanda unao uthibisho wa kisayansi?
Ndio uthibitisho upo ...

Kwa mfano sasa hivi vituo vyote vya mwendokasi maji tirirka yamerudishwa kiaina baada ya kuondolewa miezi kadhaa iliyopita kabla ya uchaguzi wa Oct 2020

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Soon barakoa nazo zitarudi kimyakimya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji15][emoji15][emoji15] ... Ama kweli nimeamini ujinga ni adui mkubwa wa maendeleo ya utu wa mtu

Hivi dunia hii ya leo kizazi cha karne ya ishirini na moja bado tuna watu wa aina hii ambao angalau wanajua kusoma na kuandika na kuweza kuanzisha uzi kama huu du!!!!

Duuuuuu!!! ... nilidhani watu wa aina hii tulisha waacha miaka ya tisini huko ambao wengi wao kwa wakati huo walikua na umri wa kati ya miaka 60 - 70

Watu hao kwa sasa 2021 hii wengi wao ni marehem au hawajiwezi wanatembea kwa kushikiliwa mikono ambao utakuta wana umri wa miaka 80 - 90

Kaazi kwelikweli
Umeandika nini?
 
Ndio uthibitisho upo ...

Kwa mfano sasa hivi vituo vyote vya mwendokasi maji tirirka yamerudishwa kiaina baada ya kuondolewa miezi kadhaa iliyopita kabla ya uchaguzi wa Oct 2020

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Soon barakoa nazo zitarudi kimyakimya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maji tiririka ni kipimo cha Covid 19?
 
Tuliza moyo kijana,acha hasira. Ulitaka Ccm ishinde kwa asilimia ngapi?
Mimi sio kijana, angalau kwa definition ya WHO! Sipendi ujinga tu, peleka upuuzi huko sio kutuletea threads za kipuuzi humu. Members wengi hawasemi humu ila mnakera sana!
 
Mimi sio kijana, angalau kwa definition ya WHO! Sipendi ujinga tu, peleka upuuzi huko sio kutuletea threads za kipuuzi humu. Members wengi hawasemi humu ila mnakera sana!
Umesoma ukaelewa kuna upuuzi hapa?
 
Nani asiye wajua jinsi mlivyo na shobo za kisiasa? Jinsi mnavyojua kuyavalia bango makosa ya CCM na serikali yake.

Eti mnazuga mmeamua kukaa kimya baada ya kuona mlidhurumiwa uchaguzi mkuu! Mlidhulumiwa nini?

Nirudi kwenye hoja kuu, ninyi wapinzani njaa mpate skendo ya kweli ya ufisadi ambayo mnajua itawabeba kama Escrow au list ya mafisadi papa ilivyowabeba,mtakaa kimya?

Kwa ufupi hamna mikakati ya siasa ya kupambana na Ccm sababu sasa hivi hamna watu makini wa kuwapa mbinu na mikakati chanya.

Mmebaki kuwa watu wa kunug'unika kama vile machokoraa wa kisiasa ambao hamjui kesho yenu kisiasa.

Msidanganye watu eti kuwa mmeamua kukaa kimya eti kisa hamtaki kusema lolote,ukweli ni kuwa hamna cha kukosoa kama huko nyuma maana kwa sasa mmebaki hamna mtaji wa kisiasa.
Wanaogopa kupewa Kesi kama ile ya AKWILINA
 
Nani asiye wajua jinsi mlivyo na shobo za kisiasa? Jinsi mnavyojua kuyavalia bango makosa ya CCM na serikali yake.

Eti mnazuga mmeamua kukaa kimya baada ya kuona mlidhurumiwa uchaguzi mkuu! Mlidhulumiwa nini?

Nirudi kwenye hoja kuu, ninyi wapinzani njaa mpate skendo ya kweli ya ufisadi ambayo mnajua itawabeba kama Escrow au list ya mafisadi papa ilivyowabeba,mtakaa kimya?

Kwa ufupi hamna mikakati ya siasa ya kupambana na Ccm sababu sasa hivi hamna watu makini wa kuwapa mbinu na mikakati chanya.

Mmebaki kuwa watu wa kunug'unika kama vile machokoraa wa kisiasa ambao hamjui kesho yenu kisiasa.

Msidanganye watu eti kuwa mmeamua kukaa kimya eti kisa hamtaki kusema lolote,ukweli ni kuwa hamna cha kukosoa kama huko nyuma maana kwa sasa mmebaki hamna mtaji wa kisiasa.
Ni kweli kabisa,wamejifia na nchi ni kijani na amani kubwa.Tunasubiri vikao vya bunge tuone wasomaji wazuri wa script zizoandikwa na naniii
 
Nani asiye wajua jinsi mlivyo na shobo za kisiasa? Jinsi mnavyojua kuyavalia bango makosa ya CCM na serikali yake.

Eti mnazuga mmeamua kukaa kimya baada ya kuona mlidhurumiwa uchaguzi mkuu! Mlidhulumiwa nini?

Nirudi kwenye hoja kuu, ninyi wapinzani njaa mpate skendo ya kweli ya ufisadi ambayo mnajua itawabeba kama Escrow au lisHat ya mafisadi papa ilivyowabeba,mtakaa kimya?

Kwa ufupi hamna mikakati ya siasa ya kupambana na Ccm sababu sasa hivi hamna watu makini wa kuwapa mbinu na mikakati chanya.

Mmebaki kuwa watu wa kunug'unika kama vile machokoraa wa kisiasa ambao hamjui kesho yenu kisiasa.

Msidanganye watu eti kuwa mmeamua kukaa kimya eti kisa hamtaki kusema lolote,ukweli ni kuwa hamna cha kukosoa kama huko nyuma maana kwa sasa mmebaki hamna mtaji wa kisiasa.
Hata nyimbo za mapambio zimezima pia,kunanii
 
Sasa unawashwa nini?? Wakikaa kimya inaonekana unaumia, na utaumia kama muwashwa na mavi makalioni, maana unajikuna sasa na umeishia kunuka mavi wenzio wako kimya?? Na watakaa kimya mfanye siasa peke yenu 4ever.
Nani asiye wajua jinsi mlivyo na shobo za kisiasa? Jinsi mnavyojua kuyavalia bango makosa ya CCM na serikali yake.

Eti mnazuga mmeamua kukaa kimya baada ya kuona mlidhurumiwa uchaguzi mkuu! Mlidhulumiwa nini?

Nirudi kwenye hoja kuu, ninyi wapinzani njaa mpate skendo ya kweli ya ufisadi ambayo mnajua itawabeba kama Escrow au list ya mafisadi papa ilivyowabeba,mtakaa kimya?

Kwa ufupi hamna mikakati ya siasa ya kupambana na Ccm sababu sasa hivi hamna watu makini wa kuwapa mbinu na mikakati chanya.

Mmebaki kuwa watu wa kunug'unika kama vile machokoraa wa kisiasa ambao hamjui kesho yenu kisiasa.

Msidanganye watu eti kuwa mmeamua kukaa kimya eti kisa hamtaki kusema lolote,ukweli ni kuwa hamna cha kukosoa kama huko nyuma maana kwa sasa mmebaki hamna mtaji wa kisiasa.
 
Maalimi Seif mbona anazungumza sana,Zitto mbona ana tweet kila siku!
Kumbuka mnakula ruzuku ambazo ni kodi za wavuja jasho, lazima mseme lolote kwa mustakabali wa taifa.
 
Kwa mfano ungetaka waseme kitu gani?
Kwa sababu mnakiri hakuna cha kukosoa sasa wangepongeza jinsi serikali ya awamu ya tano inavyotekeleza miradi mikakati kwa kasi
 
Wakiongea mnalalamika,wakikaa kimya mnalalamika. Hii ndo akili ya MACCM ninayoifahamu. Hopeless kabisa! Pambaneni na kodi zilizoongezwa kila sehemu sio kujadili watu.
 
Back
Top Bottom