Upinzani mmezimishwa sio kama hamtaki kusema

Upinzani mmezimishwa sio kama hamtaki kusema

Lissu yuko Ubelgiji, Mbowe hana jimbo la kufanyia mikutano. Kama una hamu sana na siasa za upinzani subiri mikutano ya bunge utawasikia Aida Khenani, Halima mdee na wenzake 18.
Hao wameshaunga juhudi,achana na hao dogo.
 
Lissu yuko Ubelgiji, Mbowe hana jimbo la kufanyia mikutano. Kama una hamu sana na siasa za upinzani subiri mikutano ya bunge utawasikia Aida Khenani, Halima mdee na wenzake 18.
Unajua maana ya registered opposition party?
 
Hizi threads za kis*nge ndio zinaifanya jamii forum kuwa ya kipumbavu sikuhizi yaani humu pamekuwa pa ovyo jamvi la mataahira na vilaza kama Facebook na Instagram , mods acheni ujinga pigs ban hizi takataka
 
Maji tiririka ni kipimo cha Covid 19?
Ndio ni kipimo tosha kabisa kisicho na utata ... na kama si kipimo basi nipe jibu kwanini yaliondolewa na sasa mmeyarudisha kimyakimya ?

Sasa hivi barakoa mtarudisha kimyakimya kwamba asiekua na barakoa hapandi gari la mwendo kasi sooon
 
Kumbuka mnakula ruzuku ambazo ni kodi za wavuja jasho, lazima mseme lolote kwa mustakabali wa taifa.
Waseme kupitia platform ipi ?
1.Bungeni ?(mmewaengua 'walituchelewesha' )
2.Mikutano ya hadhara ? (Muda wa siasa umeisha 'ni muda wa kuchapa kazi' )
3.Mtandaoni ? (Serikali haifanyii kazi mambo ya mitandaoni)

Kuwa CCM ni kuwa mchawi asiyerasimishwa.
 
Kuna kundi linaumia sana na ukimya wa upinzani, ata kutokuwepo Kwa baadhi ya wabunge wa upinzani bungeni hili kundi linapata tabu sana, walizoea kusemewa walizoe kuwapa vimemo wapinzani ili wawasemee.
Hapo ndio mtafahamu uzito wa mzigo waliokua wakiubeba kina mbilinyi, heche nk
 
Nani asiye wajua jinsi mlivyo na shobo za kisiasa? Jinsi mnavyojua kuyavalia bango makosa ya CCM na serikali yake.

Eti mnazuga mmeamua kukaa kimya baada ya kuona mlidhurumiwa uchaguzi mkuu! Mlidhulumiwa nini?

Nirudi kwenye hoja kuu, ninyi wapinzani njaa mpate skendo ya kweli ya ufisadi ambayo mnajua itawabeba kama Escrow au list ya mafisadi papa ilivyowabeba,mtakaa kimya?

Kwa ufupi hamna mikakati ya siasa ya kupambana na Ccm sababu sasa hivi hamna watu makini wa kuwapa mbinu na mikakati chanya.

Mmebaki kuwa watu wa kunug'unika kama vile machokoraa wa kisiasa ambao hamjui kesho yenu kisiasa.

Msidanganye watu eti kuwa mmeamua kukaa kimya eti kisa hamtaki kusema lolote,ukweli ni kuwa hamna cha kukosoa kama huko nyuma maana kwa sasa mmebaki hamna mtaji wa kisiasa.
Una ujinga na utoto mwingi ndani yako jitahidi kuondoa huenda ccm wakakupa unachokisaka!
Hivi, Dr.bashiru Ana taarifa za kuongoza watu kiwango hiki Cha akili ndogo na wamejazana hapo lumumba wakigongea mihogo?
 
Buku 7 hazilipiki au?

Ona we jamaa, upinzani sio lazima utoke chadema au eisitii. We anza kumpinga hata Gambo tu kwenye mitandao.

Uliongea sana wakati wapinzani wanakujibu mitandaoni ukasema hawana hoja sasa wamekuelewa, wamejiona hawana hoja wameamua kukaa kimya badala ufurahi umeshinda unajikuta unaweweseka. Shida yako nini kwani?

Hebu tuachane na wapinzani, hawana hoja wamejifia. Hawana wabunge na mgombea wao kakimbia nchi. Hebu sisi tuliobaki tujenge nchi.
Daah? Safisana yn umemjibu kiustaraabu kituambacho mudawote nilikua nafilikia nitamjibu kinamna gani Asante kwamsaadawako
 
Hivi unajielewa kweli?

Mara wamezimishwa, mara siyo kwamba hawataki kusema mara lazima waseme kwa mustakabali wa taifa.

Sasa waliozimishwa wanasemaje? wanatoka wapi na umesema wamezimishwa??

Anyway mmeachwa mchape kazi, hakuna kutafuta watu wa kuwatupia lawama...CHAPENI KAZI UCHAGUZI UMEISHA.
Hahahahahahahhaaha haooooo wanatafuta uchochoro hawana pakutokea
 
[emoji15][emoji15][emoji15] ... Ama kweli nimeamini ujinga ni adui mkubwa wa maendeleo ya utu wa mtu

Hivi dunia hii ya leo kizazi cha karne ya ishirini na moja bado tuna watu wa aina hii ambao angalau wanajua kusoma na kuandika na kuweza kuanzisha uzi kama huu du!!!!

Duuuuuu!!! ... nilidhani watu wa aina hii tulisha waacha miaka ya tisini huko ambao wengi wao kwa wakati huo walikua na umri wa kati ya miaka 60 - 70

Watu hao kwa sasa 2021 hii wengi wao ni marehem au hawajiwezi wanatembea kwa kushikiliwa mikono ambao utakuta wana umri wa miaka 80 - 90

Kaazi kwelikweli
Wameacha kizazi Chao hahahahahahahha
 
Unaweza ukatulia kidogo malaya wa kisiasa usituchoshe? In Jk nyerere voice!
 
Back
Top Bottom