Upinzani mmezimishwa sio kama hamtaki kusema

Lissu yuko Ubelgiji, Mbowe hana jimbo la kufanyia mikutano. Kama una hamu sana na siasa za upinzani subiri mikutano ya bunge utawasikia Aida Khenani, Halima mdee na wenzake 18.
Hao wameshaunga juhudi,achana na hao dogo.
 
Lissu yuko Ubelgiji, Mbowe hana jimbo la kufanyia mikutano. Kama una hamu sana na siasa za upinzani subiri mikutano ya bunge utawasikia Aida Khenani, Halima mdee na wenzake 18.
Unajua maana ya registered opposition party?
 
Hizi threads za kis*nge ndio zinaifanya jamii forum kuwa ya kipumbavu sikuhizi yaani humu pamekuwa pa ovyo jamvi la mataahira na vilaza kama Facebook na Instagram , mods acheni ujinga pigs ban hizi takataka
 
Maji tiririka ni kipimo cha Covid 19?
Ndio ni kipimo tosha kabisa kisicho na utata ... na kama si kipimo basi nipe jibu kwanini yaliondolewa na sasa mmeyarudisha kimyakimya ?

Sasa hivi barakoa mtarudisha kimyakimya kwamba asiekua na barakoa hapandi gari la mwendo kasi sooon
 
Kumbuka mnakula ruzuku ambazo ni kodi za wavuja jasho, lazima mseme lolote kwa mustakabali wa taifa.
Waseme kupitia platform ipi ?
1.Bungeni ?(mmewaengua 'walituchelewesha' )
2.Mikutano ya hadhara ? (Muda wa siasa umeisha 'ni muda wa kuchapa kazi' )
3.Mtandaoni ? (Serikali haifanyii kazi mambo ya mitandaoni)

Kuwa CCM ni kuwa mchawi asiyerasimishwa.
 
Kuna kundi linaumia sana na ukimya wa upinzani, ata kutokuwepo Kwa baadhi ya wabunge wa upinzani bungeni hili kundi linapata tabu sana, walizoea kusemewa walizoe kuwapa vimemo wapinzani ili wawasemee.
Hapo ndio mtafahamu uzito wa mzigo waliokua wakiubeba kina mbilinyi, heche nk
 
Una ujinga na utoto mwingi ndani yako jitahidi kuondoa huenda ccm wakakupa unachokisaka!
Hivi, Dr.bashiru Ana taarifa za kuongoza watu kiwango hiki Cha akili ndogo na wamejazana hapo lumumba wakigongea mihogo?
 
Daah? Safisana yn umemjibu kiustaraabu kituambacho mudawote nilikua nafilikia nitamjibu kinamna gani Asante kwamsaadawako
 
Hahahahahahahhaaha haooooo wanatafuta uchochoro hawana pakutokea
 
Wameacha kizazi Chao hahahahahahahha
 
Unaweza ukatulia kidogo malaya wa kisiasa usituchoshe? In Jk nyerere voice!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…