Upinzani Tanzania una matatizo? Vyama havina Succession Plan hivyo vina Usultani! CHADEMA kuna Usultani? Usultani huu Utakiinua au Utakiangamiza?

Upinzani Tanzania una matatizo? Vyama havina Succession Plan hivyo vina Usultani! CHADEMA kuna Usultani? Usultani huu Utakiinua au Utakiangamiza?

Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
Ukimaliza hili Paskali andaa la SISIEMU maana inakuwaje kuchagua mwenyekiti wa chama chao aruhusiwi mwanaccm kucompete na rais ambaye ccm wanasema by Default anakuwa mwenyekiti wa chama chao?
 
It is very difficult kuwa na succession plan kwenye hivi vyama vinavyoendeshwa kama mali binafsi. Baadhi yao vilianzishwa kama NGO na watu binafsi ambao wanaclaim wameinvest energy yao ya kutosha (fedha, muda, emotions, vipigo etc) na kwao kumuachia mtu mwingine achukue wakati hao “hawajavuna faida” inakuwa ngumu.

Cheyo, Lipumba, Mrema, Dovutwa, Rungwe, Mbowe

Ndio maana anapokuja mtu mgeni probably mwenye maono tofauti, ataitwa ‘pandikizi’ au ‘hana uchungu’ au ‘huyu hajui historia yetu’.
 
Muonee huruma paskali, amelazimishwa aandike kuhusu chadema, huenda kuna kabahasha, sijaona akiandika kuhusu mchakato wa hovyo uchaguzi hewa wa S/mitaa.
 
Sio kweli mkuu, wenyeviti wote wa CCM wanakuwepo katika uongozi kwa miaka isiyozidi kumi. CCM inao uwezo wa kwenda na wakati kwani inaheshimu taratibu inazojiwekea.

CHADEMA kuna mambo mengi ya kuzungukana, mnaongea mkicheka pamoja lakini ukiwapa mgongo watu wanaanza masengenyo ndani ya muda huo huo.
Hao wenyeviti wanachaguliwaje, je ni kwa demokrasia au ni kwa kuchagua kivuli na mtu. Demokrasia ni pamoja na wanachama kuruhusiwa kumchagua mwenyekiti wanaemtaka sio kwenda kumpigia kura mtu na kivuli, obvious mtu atapita tu maana hata mkichagua kivuli hakipo.

Wakati upi? Vyama vya siasa vya Tanzania hawana cha kuchekana wote wamejaa unafiki, ukitoa maoni unaonekana unawatukana viongozi, ni mambo ya ajabu.
 
Upinzani bado saaana kwa sasa.

Vizazi vilivyoimba fikra za mwenyekiti zidumu na kula kiapo cha chipukizi wote wana damu ya kijani, majority wamezaliwa 1990 na kurudi nyuma, wakiondoka kwenye nguvu kazi na kuachia kizazi kipya, may be millenials waliozaliwa after baada ya 1995.

Vinginevyo upinzani utaendea kujifurahisha tu.
Upinzani ni nini? Na mpinzani ni nani? Na nani ni mnufaika wa upinzani?
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
Sijui ni kwa kutojua historia au ni ulevi wa ushabiki wa kisiasa? Sikutegemea mtu kama wewe kuuliza maswali yasio na mashiko kama haya! Fuatilia kokote duniani watu wanapokuwa katika mapambano ama ya kutafuta uhuru au haki zao zinazoporwa na watawala mabeberu na madikteta mabadiliko ya uongozi katika vyama vya ukombozi hufanyika kwa mikakati maalum. Angalia Nyerere, Kenyatta, Samora, Kaunda, Mandela, Nujoma nk hawakubalishwa katika nafasi zao eti kwa sababu wamekaa kwa muda mrefu. Mabadiliko yo yote ambayo yangefanyika yangepunguza momentum ya mapambano kwa sababu wao walikuwa nembo ya mapambano na umoja.

Hali kadhalika hapa nchini kwa vyama vya upinzani kufanya mabadiliko ya uongozi eti kwa sababu wamekaa muda mrefu ni kuyumbisha mapambano ya kupigania demokrasia na hasa kwa utawala huu wa awamu ya tano unaodhamiria kuua vyama vya upinzani. Mabadiliko ya uongozi katika vyama vya upinzani yatafanyika kwa uangalifu mkubwa ambao hautaingiza mamuluki katika vyama hivyo ambalo ndiyo lengo kuu la CCM. Vyama vya upinzani havitaruhusu mashinikizo ya CCM katika kuweka viongozi wake. Ndiyo sababu hata CCM haijawahi kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti wake wa Taifa kwa sababu ikiruhusu uchaguzi huo kuna uwezekano mkubwa wa Rais na Mwenyekiti kuingia katika mgogoro wa kutokuelewana. CCM itafanya uchaguzi wa Mwenyekiti wake pale tu itakapo ondoka madarakani! Kwa sasa embu nionyeshe succession plan ya CCM!
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
Makala inayofata, zungumzia Mchakato wa Uchukuaji na Urejeshaji form, kuenguliwa kwa Wagombea wa Upinzani kwa Makosa yanayofanana, zungumzia mpaka Uchaguzi wa Serikali za Mitaa!
 
Sina hakika kama una akili timamu!
Hivi mtu kama waitara mnaweza kumpa uongozi wa juu ktk chama chako?
It is very difficult kuwa na succession plan kwenye hivi vyama vinavyoendeshwa kama mali binafsi. Baadhi yao vilianzishwa kama NGO na watu binafsi ambao wanaclaim wameinvest energy yao ya kutosha (fedha, muda, emotions, vipigo etc) na kwao kumuachia mtu mwingine achukue wakati hao “hawajavuna faida” inakuwa ngumu.

Cheyo, Lipumba, Mrema, Dovutwa, Rungwe, Mbowe

Ndio maana anapokuja mtu mgeni probably kwenye maono tofauti, ataitwa ‘pandikizi’ au ‘hana uchungu’ au ‘huyu hajui historia yetu’.
 
Succession Plan ya CCM ndio ile ya kusukumizia watu uongozi? Au kwenda kwenye mkutano na majina mfukoni?

You are loosing my brother
Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
 
Nenda shule jifunze juu ya "Succession Plan" umeandika tu
Sio kweli mkuu, wenyeviti wote wa CCM wanakuwepo katika uongozi kwa miaka isiyozidi kumi. CCM inao uwezo wa kwenda na wakati kwani inaheshimu taratibu inazojiwekea.

CHADEMA kuna mambo mengi ya kuzungukana, mnaongea mkicheka pamoja lakini ukiwapa mgongo watu wanaanza masengenyo ndani ya muda huo huo.
 
Pascal Mayalla
tatizo unafikiri kila mtu ni mjinga na unasahahu ni kwanini hali halisi ipo hivyo. hivi unafikiri bila yeye leo CDM ingekuw ahapo au ingeshakuwa NCCR and CUF au TLP?
Unasahahu ni kipi kilitokea NCCR ? TLP ? nahili la CUF juzi juzi tu ?

Then naomba unisaidie kwa nini Mwalimu Nyerere alikaa kwenye uenyekiti kwa kipindi chote hiki?

1. April 1953, he was elected president of the Tanganyika African Association (TAA)
2. 7 July 1954 TANU.
3. February 1977 ( Kwa kauli ya makongoro YUPOTUUU!!

na Msichotaka kusikia ni kuwa hata kipindi cha Nyerere ni wangapi walifukuzwa na kutengwa kwenye chama maana walikuw ahawaendani na malengo ya chama.
 
Succession Plan ya CCM ndio ile ya kusukumizia watu uongozi? Au kwenda kwenye mkutano na majina mfukoni?

You are loosing my brother

MKuu usishangae huyu ni mchumia tumbo na hali yake sionzuri japo ni wa kanda pendwa zile tender tender sikuhizi hakuna tena. kwahiyo muache ajipendekeze tatizo lake ni Aibu tu, mimi namshhuri ajitoe tu mazima na kujiunga na mfalme na hakuna atakaye mshangaa.
 
Sio kweli mkuu, wenyeviti wote wa CCM wanakuwepo katika uongozi kwa miaka isiyozidi kumi. CCM inao uwezo wa kwenda na wakati kwani inaheshimu taratibu inazojiwekea.

CHADEMA kuna mambo mengi ya kuzungukana, mnaongea mkicheka pamoja lakini ukiwapa mgongo watu wanaanza masengenyo ndani ya muda huo huo.

Nyerere kaaa miaka mingapi?
na kwanini?
Tokea 1953 TAA mpaka 1990's CCM ni mingapi hiyo na nikwanini? je hawakuwepo watu wenye uwezo ?

hivi huoni mazingira ya TAA, TANU na CCM ya nyerere yanfanana na mazingira ya sasa ya VYAMA PINZANI?

Au kwakuw atu sasa tuna mkoloni Mweusi?
 
Back
Top Bottom