Upinzani Tanzania una matatizo? Vyama havina Succession Plan hivyo vina Usultani! CHADEMA kuna Usultani? Usultani huu Utakiinua au Utakiangamiza?

Upinzani Tanzania una matatizo? Vyama havina Succession Plan hivyo vina Usultani! CHADEMA kuna Usultani? Usultani huu Utakiinua au Utakiangamiza?

Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
Hakika Chadema kinawanyima usingizi...Mbowe ni Alama ya mapambano ya kupigania Haki Nchini


Mtaandika ujinga mpaka lini!? Kubalianeni na hali halisi kwa sasa.

Na tunasubiri Bandiko kuhusu mgombea Makamu Mwenyekiti...ambaye ni mpango wa Mungu Mh. Mbunge Ndg. Lissu..

Wacha safu zipangwe...

2020 kuna Jasusi mbobevu ataivusha CCM iliyoharibiwa ya Dk Bashiru hivyo wacha safu zipangwe kimkakati...

Hatari sana..
IMG-20191121-WA0005.jpeg
IMG-20191120-WA0001.jpeg
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
We nae ushagakua mlamba makari..ya ccm...succession plan ya chama chochote kile inaitaji uwanja sawa wa kisiasa.sasa kunavokua hamna unategemea watapataje hao wapinzani succession plan? Play fare uone
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
Kuhusu usultani wa viongozi, hii inatokana na malengo ya kiongozi, hali ya siasa na msimamo wa kiongozi kwa serikali ya ccm, kiongozi akiwa laini ccm watamuunga mkono hata kwa nguvu ya polisi kama lipumba, na hapa wanachama wanyemsimamo ukihama chama, kwa upande was kiongozi asiyeiunga mkono serikali atapigwa vita na serikali ya ccm kwa kila namna ikiwa ni pamoja na kumkwamisha kibiashara sasa hapa kwa wanachama wenye lengo LA kuendelea na mapambano hawatakuwa tayari kubadili kiongozi kisa tuu ameongoza kwa muda mrefu, na hapa atakayeumia ni yule anayedhani kuwa mwana chama ni lazima use kiongozi. Hatuwezi badili mchezaji mzuri uwanjani ili kumjaribu wa bench
 
Ukifuatilia namna hicho kipengele kilivyo-evaporate na ukimya wa hao wabwekaji unapata picha namna kulivyo ndani ya hivyo vyama.

Yaani Slaa,Lisu wote wali-side na Mbowe na wakatetea huo ujinga.

Wenye chama waliogopa nini hicho kipengele kujadiliwa na kufanyiwa marekebisho ama kuondolewa kupitia mchakato halali?

Toka lini kipengele kisipojadiliwa kinajiondoa automatically?
 
Pascal Mayalla Asante kwa bandiko lako bora kabisa na muafaka kwa wakati huu wa siasa za ushabiki na sio hoja.

Tukumbuke kuwa CHADEMA walikuwa hawana mpango wowote wa kufanya uchaguzi mwaka huu.

Mpaka walipoanza kupokea barua mfululizo toka kwa msajili wa Vyama vya siasa akihoji kuhusu katiba yao...

Kwa maana hiyo hiki wanachokifanya ni kiini macho tu kumridhisha msajili,

Sawa na uchaguzi serikali za mtaa Magufuli hakuwa tayari kwa uchaguzi Katiba ya Jamhuri ndio ilimbana...

Pengine udhaifu huu ulikuepo toka muda mrefu ila ulikuwa unafichwa na umahiri wa Dr Slaa,

Sasa Dr Slaa ametoka ndio tunaona rangi halisi ya CHADEMA chini ya Mbowe..

Kukua kwa CHADEMA kutategema na Chuki ya wanachi dhidi ya Magufuli, kinyume na hapo CHADEMA kinaenda kudumaa.

Mbowe ni Dikteta
Mbowe ni Sultan
 
Eti 2020 mshindi ameshajulikana.
Ina maana hatma ya pumzi yake unayo?hivi unajua hadi kufikia2020 nikaribu?bado safari ni ndefu watu wanazidi kuomba mungu.
Naomba niishie hapo tadhali.
 
Ndio maana mtu yoyote ambaye hatakiwi na Mbowe hupewa majina yote mabaya ili mradi kuhalalisha udhaifu wao.
It is very difficult kuwa na succession plan kwenye hivi vyama vinavyoendeshwa kama mali binafsi. Baadhi yao vilianzishwa kama NGO na watu binafsi ambao wanaclaim wameinvest energy yao ya kutosha (fedha, muda, emotions, vipigo etc) na kwao kumuachia mtu mwingine achukue wakati hao “hawajavuna faida” inakuwa ngumu.

Cheyo, Lipumba, Mrema, Dovutwa, Rungwe, Mbowe

Ndio maana anapokuja mtu mgeni probably mwenye maono tofauti, ataitwa ‘pandikizi’ au ‘hana uchungu’ au ‘huyu hajui historia yetu’.
 
Upinzani bado saaana kwa sasa.

Vizazi vilivyoimba fikra za mwenyekiti zidumu na kula kiapo cha chipukizi wote wana damu ya kijani, majority wamezaliwa 1990 na kurudi nyuma, wakiondoka kwenye nguvu kazi na kuachia kizazi kipya, may be millenials waliozaliwa after baada ya 1995.

Vinginevyo upinzani utaendea kujifurahisha tu.
Umeongea ukweli mtupu na wapinzani wa ukweli ni watu waliozaliwa miaka ya 2000
 
Tanzania bila Mikakati kisiasa vyama vyote vinauwawa ndani ya mwaka mmoja.

1. NCCR mageuzi iliuwawa kwa uzembe kidogo tu kupitia vibaraka wa CCM

2. CUF imeuwawa kupitia mbinu zilezile zilizoiangamiza NCCR mageuzi.....ccm

CCM Inajinadi hadharani kuuwa upinzani tena bila kificho kupitia njia zote haram

A) magoli ya mkono kupitia tume ya uchaguzi nk sio siri ipo wazi kabisa

B) Nguvu za dola, mahakama na bunge, msajili. hakuna siri tunaona

Mahakama
Viongozi wote muhimu vyama vya upinzani wanabambikiwa kesi au kufungwa au kusumbuliwa hovyohovyo kila siku kuripoti mahamani, mahakimu wameacha kutenda haki....... kiongozi awe teyari kubeba msalaba huu.

Dola
Mawaziri, wakuu wa mikowa, wilaya, idara na taasisi mbalimbali, Wanatoa adhabu na mapingamizi kwa wanasiasa mashuhuri wa upinzani kila siku.
- kukamatwa na polisi bila sababu za msingi
- kuwekwa mahabusu bila sababu za msingi
- kupigwa na kunyanyasana bila sababu za msingi -kutekwa ama kupotezwa..... kiongozi aweteyari kwa haya.

Bungeni
Bunge kimekuwa kikao cha ccm, wapinzani wasiongee, wasitoe hoja, nikuzomewa, kulazimishwa kufuta au kutolewa nje, kufungiwa kutokuhudhuria vikao bila sababu za msingi nk... .kiongozi aweteyari kupoteza haki zake ilikubakia mtiifu kwa wanachama na wapenzi wake.

Msajili
Yeye nikiranja wa CHADEMA na ACT hajishughulishi na ccm, wala matawi ya ccm
UDP
TLP
Kwa msajili makosa hufanywa na wafuatao na viongozi wake wanawindwa kuadabishwa popote muda wowote....
- CUF asili
- CHADEMA
- ACT
Katiba ya jamhuri haiwahusu CCM kabisa, ndio maana majuzi katibu mkuu ccm katishia hadharani kumfukuza kazi msajili ..... Msajili amenyamaza kimyaaa maana aliyesema sio zito, maalim wala mbowe.... wangeona cha mtema kuni.

Serikali,
Tunashudia maajabu sana viongozi wa kisiasa kutoka upinzani wakirejea kwa kasi ccm wengine wakipewa madaraka mfano kafulila, waitara, katamba nk

Hitimisho.
Vyama vya upinzani havihitaji kuonja sumu kwa kujipendekeza ilikuwafurahisha ccm ilikuweka viongozi wa kitaifa wasioeleweka vema.

Nimara 1000 bora kubakia na viongozi walewale wanaoleweka, wanajithamini nakuthamini mahitajio ya mioyo ya watanzania ilikuhakikisha vyama havipasuliwi na ccm kupitia
Dola
Bunge
Mahakama
Msajili

Upinzani unahita viongozi
1. shupavu
2. Wavumilivu
3. Wazalendo wa kweli
4. Wasio na tamaa kudukuliwa
5. Waliojitoa ....kufa, kupotezwa au mateso
6. Wanaona na kuthamini kiu na matarajio ya watanzania nyuma yao.

Vigezo vya kufakamia bora viongozi badala ya viongozi bora huu sio muda wake maana aliyepo juu lengo moja tu kuuwa upinzani.

Sumu haionjwi
Asante sana Mkuu. Umefunga kazi.
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
Kwanza wapinzani hasa Chadema mana ndiyo iliyoumiza watu wengi wakiamini kuwa kwa ni chama cha upinzani chenye dira hawajui kuwa Watanzania ndio wanaotaka mabadiliko na sio wenyeviti wao.

Mbowe anafikiri kuwa yeye ndiye anayetaka mabadiliko.
Mbowe na wapambe wake wameihujumu Demokrasia ndani ya Chama na kusababisha Chama kukosa uelekeo.
Chama kilichoonyesha Demokrasia mwanzoni Leo kimekua cha kisultani.
Chama kilichopambana na ufisadi leo hakina agenda.

Tujaribu tu kufuatilia kule Mara, Mbeya ,Shinyanga na kwingine kuna watu wanaonyesha wazi kukerwa na hujuma za Uchaguzi wa serikali za mitaa lakini hata nyumbani kwa Mwenyekiti Mbowe hakuna rapsha yoyote ya kuonekana kuwa wamekerwa. He,hapo kuna dalili yoyote ya Mbowe kujenga Ideology ya chama kwa wapiga kura wa jimbo lake au ni janja janja ya kuwatumia akina Dr Slaa ,Lowasa ,Sugu,Mdee, Marehemu,Ndesamburo,Lema , Mnyika, Msigwa ,Rwakatare, marehemu Wangwe na wengine kwenye majimbo yao na kuonyesha mwamko wa Chama?

Kinachotakiwa kwa sasa kwa watu wenye nguvu ya kiuandishi kama wewe ndugu yangu Paskali Mayalla ni kuwaeleza watanzania kwa bayana madhara ya kubaki ndani ya Chadema chini ya Uenyekiti wa Mbowe.
Leo hii chama chini ya Mbowe kimejidhihirisha kuwa ni chama cha Kiukoo wala sio kikabila mana Wachaga wengi kwa sasa walitamani Mbowe aonyeshe Demokrasia iliyopiganiwa kwa muda mrefu kwa vitendo.
Ndio maana Komu ametishiwa kufukuzwa kwenye chama na kuzuiwa kusema chachote.

Hakuna mtu wa kabila lolote (wakiwemo wachaga wanaosingiziwa kuwa ndio wamiliki wa Chadema) mwenye nia njema na Demokrasia ya nchi hii atakayeendelea kumuunga mkono Mbowe na Chama chake cha ukoo wake na kuendelea kuteseka kwa bila sababu.

Sioni Sababu ya mtu kama Komu mbunge wa Moshi vijiiini ,Jafari Moshi Mjini, Selasini wa Rombo, kuendelea kunaki Chadema na kukosa Ubunge 2020 kwa manufaa ya Mbowe aliyebainisha kuwa wote ni wasaliti isipokuwa yeye peke yake.
Wabunge hao na wengine ni vyema wakachukua hatua ya kumfuata Polepole na kurudi CCM ili 2020 wagombee kupitia CCM na kurudi Bungeni. Kwa hoja zao na michango yao walivyolitumikia taifa hili kupinga ufisadi hakika JPM atawapa nafasi zaidi ya kuwatumikia watanzania.

Watanzania wote tuwakatae watu wanaong'ang'ania madaraka kwani ndio wanaoleta vurugu na udikteta kwenye nchi Changa.

Mbowe ameinajisi Demokrasia kwa Wazi.
Watasema kwa nini sio vyama vingine!! Nawajibu kuwa Chadema kirefu chake ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Mbowe ameshindwa kusimamia maendeleo kwa majimbo waliyoshinda.
Mbowe ameshindwa kuonyesha neno Demokrasia kwa vitenda. Ameinajisi Chadema.
Chadema chini ya Mbowe hakina uhalali wa kupigania Demokrasia na maendeleo ya nchi hii.

Hata Lisu asipoteze muda wake kwa ajili ya Mbowe. Mbowe amekua mjanja sana kuwatanguliza watu maarufu na wanaokubalika kwenye jamii ili watu wakiwafuata na kujiunga kwenye chama aseme kuwa yeye ndio amejenga Chama.
Lisu ndiye mpinzani anayekubalika kwa sasa kuliko mtanzania yeyote. Mbowe anataka amtumie ili likitokea lolote ajitambe kuwa yeye ndiye anayejenga chama kwa fedha zake.
Akina Mdude Chadema wanahatarisha maisha yao kwa maslahi ya Mbowe.

Kama kuna mtu anayeona hatari imayotokana na Mbowe kumiliki chama chini ya mgongo wa Wachaga ni vyema akajitoa Chadema na kuondokana na hisia za ukabila ili Mbowe abaki na familia yake.

Upinzani wa kweli utabaki mioyoni mwa watanzania mpaka watakapokuja watanzania kama Mtei aliyeanzisha Chama na kuweka muda wa ukomo wa uongozi kwa kuonyesha mfano.
 
Back
Top Bottom