Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WHY??katiba ya CCM haina hicho kipengele
Mkuu Babu Seya mwache Kama alivyo alionewa Sana..jiwe angekuwa serious dhidi ya ufisadi asingekubali kuungana na watu kama rostam azizi,babu seya, madabida,..
..kinachowaponza maraisi wetu ni kofia ya uenyekiti wa ccm.
..hiki chama hakiwezi kujiendesha bila nguvu na rasilimali za MAFISADI.
..Utakuta Raisi anaingia na spidi ya kupambana na ufisadi lakini spidi hiyo inaishia njiani.
..Kila Raisi alikuja na moto wake ambao ulizimika miaka 2 au 3 wakiwa madarakani.
..Mzee Mwinyi [ fagio la chuma],
..Mzee Mkapa [ ripoti ya Warioba / kumshtaki Nalaila Kiula na Dr.Mlingwa]
..Mzee Kikwete [ kumshtaki Mramba na Yona].
..Magufuli [ kumkamata Rugemalira].
..Sidhani kama Magufuli atakuwa tofauti na watangulizi wake. Dalili zimeshaanza kujionyesha
Cc BAK, Nguruvi3, Pascal Mayalla
Okay ngoja tushuhudie mwisho Wa huu mpambanokatiba ya CCM haina hicho kipengele
UMEAHAWAHI KUJIULIZA KWANINI MUSIBA ALIKUWA ANAMCHAFUA MEMBE???Ahh HAKUNA Cha kudadavua..Akili Kubwa na ukiweza kuunganisha dots UTAELEWA.
Nikidadavua,itakuwa rahisi kujulikana na kudakwa.
Ila Membe HAWEZI kuwa Rais coz Ile Nguvu na "Backups" Hawana Na Hata Yye na kambi Yake wanajua Hilo na ndiyo maana Wana pambana wapate Backup na Mara ya mwisho ilikuwa juzi na jana ambapo walikuwa wanapanga mkakati..
Kama unakumbuka "Mshua" majuzi alikuwa sauz unadhani alienda kufata Nini?
unatafuta kuwa DED huku mahakama imezuia kusimamia uchaguzi na kigezo cha ukada kimefutwa rasmi !
Thubutu yake !Tumek
Tunajiandaa kukata rufaa,wataendelea kusimamia hizo chaguzi kama awali.
Daaa hii ni kutokana na alipotufikisha namba moja mkuu, misifa yake inaharibu jamuhuri yetu.Nikikumbuka Membe alivyokuwa anatukanwa humu nashangaa leo amekuwa mwokozi!
Jifarijini kwa maneno hayoMbona unachelewa kuhama? Toka utupishe kwenye nchi yetu,watu katili, wajinga na wapumbavu ndo wanaompenda Magufuli
tatizo sim yako ya tochiHaikufunguka
Thubutu yake !
endelea kujitumainisha ,UTALIA SANA MACHOZI UWANJA WA TAIFA WHEN HE WILL BE TAKING OATH AS 6th of TZ
Unafikiri hayo mataifa makubwa wanakupenda sana wewe "black people" kuliko raia wake? unadhani watakuja tu bila return yoyote? waafrika wamalize matatizo yao wenyewe.Aisee tulipata mkosi mkubwa mno kuwa na Rais wa ajabu na katili kiasi hiki, ameanzisha vita asiyoweza kushinda, eti anawachukia wazungu,, 2020 mataifa makubwa yataungana kuhakikisha anatoka madarakani mtu katili kabisa huyu