Uchaguzi 2020 Upinzani ukimweka Membe itakuwa tofauti kubwa na ilivyokuwa kwa Lowassa! Watashinda

Membe ni dhaifu kuliko hata Januari Makamba.

Na upinzani hatuhitaji wagombea wa kuokoteza.
 
Mkuu lowasa alikuwa ni national figure yule nje na hapo alikuwa na majority suport ya mikoa mitatu [kama unaakili utanielewa] hata kabla ya kampeni

Kiufupi itahitaji miaka mingine hamsini upinzani kupata mgombea mwenye ushawishi kama mzee lowasa
Nyie huko ni lini mtampata mzuri ambaye haitaji kubebwa na tume ya uchaguzi na ambaye ushindi wake hakutahitajika ma-ffu kutanda nchi nzima kabla na baada ya matokeo kutangazwa???
 
Washabiki wa Membe ni wanachadema, Lowasa alikuwa na washabiki ndani ya CCM na chadema wakawa nae, ila Membe atabaki na chadema peke yenu sasa sijui atapata kula laki sita za mbowe?
 
Mtaendelea kuhangaika na membe, na kusahau ni kitu gani mfanye kuelekea uchaguzi,
Hapa kuna mambo mawili

1=Membe amegundua muda unaisha lakini hakuna chama kimeonyesha kumpa nafasi ya kugombea uraisi sasa anafanya drama ili afukuzwe kisha mumuonee huruma mumpe ugombea Chadema.

2=Anawapotezea muda mshindwe kujipanga kuelekea uchaguzi kisha anaomba msamaha na kueleza ukweli kwamba ametumia vema jina kama mnavyomuita JASUSU MBOBEZI na kuacha upinzani ukiwa hoi,
Nacheka tu😂😂😂😂
 
Mbali na hivo pia membe Ni mtu wa system
Kule anao watu wake
Kwa hiyo kazi haitakua ngumu Kama kweli atasimama.
 
WashAbiki


Washabiki wa Membe ni wanachadema, Lowasa alikuwa na washabiki ndani ya CCM na chadema wakawa nae, ila Membe atabaki na chadema peke yenu sasa sijui atapata kula laki sita za mbowe?
Usijidanganye haloooo!
 
Washabiki wa Membe ni wanachadema, Lowasa alikuwa na washabiki ndani ya CCM na chadema wakawa nae, ila Membe atabaki na chadema peke yenu sasa sijui atapata kula laki sita za mbowe?
Bro nikurekebishe kwanza hakuna kitu "washabiki" Ni mashabiki.
Hicho tu Ndo kimefanya nisijibizane na wewe make inaonekana haujui kinachoendelea.
 
Bro nikurekebishe kwanza hakuna kitu "washabiki" Ni mashabiki.
Hicho tu Ndo kimefanya nisijibizane na wewe make inaonekana haujui kinachoendelea.
Kaa hivyo hivyo,mnajitoa ufahamu,
Zungumzieni tundu lisu na akina msigwa mnampa nani achana na mtu alishafukuzwa?
Kma mnakili kuwa wale mliowafukuza akina Rwakataele bado wana haki chadema basi Membe nae atakuwa na haki ingawa itakuwa ndogo sana,
Kama anpenda chama basi asubili ampigie kura Magufuri
 
Lowasa alikua na mambo 4
1 pesa zake zilikua saport
2 vingozi ndani yaserikali
3 matajiri wengi
4 ushawishi wa pande zote
 
Agomber kupitia CCM au upinzani, Membe hafai kwa urais kwani ni muongo wa kupitiliza na mbinfasi wa hali ya juu
 
Tatizo kubwa ambalo upinzani wanalo ni kuhusu ruzuku maana watapata kidogo sana kipindi hiki kwa sababu ya yaliyofanyika na ambayo Watanzania wanategemea kufanyika na kukamilika chini ya JPM na CCM.



Hapa kazi tu!
 
Mkuu lowasa alikuwa ni national figure yule nje na hapo alikuwa na majority suport ya mikoa mitatu [kama unaakili utanielewa] hata kabla ya kampeni

Kiufupi itahitaji miaka mingine hamsini upinzani kupata mgombea mwenye ushawishi kama mzee lowasa
Umechambua vizuri lowassa 2015 hakuwa mtu sahii wakuiangusha ccm
2015 Lowassa alikuwa puppet wa CCM
Lowassa alishinda ila bao la mkono ndio liliharibu kila kitu. Membe ana kazi yake nyie subirini.
 
CCM kuendelea kutawala nchii hii,kama waliweza kuvuka 2015 mwaka huu wanatiririka tuu.Ni ngumu 2020 kuwashinda CCM na ninavyoona bunge lijalo kijani kutawala mno
 
CCM kuendelea kutawala nchii hii,kama waliweza kuvuka 2015 mwaka huu wanatiririka tuu.Ni ngumu 2020 kuwashinda CCM na ninavyoona bunge lijalo kijani kutawala mno
Oktoba urudi tena kuthibitisha uzi kwa neno moja tu "NILISEMA"
 
CCM kwa sasa inachukiwa kuliko kipindi kingine chochote. Lakini pia ni kipindi hiki ambacho Serikali imetenda mambo yake kwa kutumia nguvu bila ushawishi kuliko wakati wowote. Ni wakati huu kumekuwa na ugandamizaji na uonevu kuliko kipindi chochote. Ni kipindi hiki watu wamekoseshwa haki ya kunena kwa uhuru, hali ambayo imezalisha wanafiki wa kusifu mdomoni, na kulaumu mioyoni.

Hali ya sasa ya CCM siyo ya kujivunia kwa namna yoyote ile kwa chama cha kisiasa. Mizizi ya CCM imekauka, inaishi kwa kushikiliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…