wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Dhehebu la dinî nayo ilichangia na afyaUmechambua vizuri lowassa 2015 hakuwa mtu sahii wakuiangusha ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhehebu la dinî nayo ilichangia na afyaUmechambua vizuri lowassa 2015 hakuwa mtu sahii wakuiangusha ccm
Labda aliepo wamweke korokoroni kama yule wa zimbabweMembe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu.
Mkuu,maneno yako ni 'kuntu'"Mungu (ni) fundi" akimaanisha "never say never". Mambo yanaweza kubadilika kwa namna ambavyo wengi hatukutarajia. Tumuachie Mungu tu.
Kasome thread Na. 61 kakueleza vizuri sana ndugu. Huijui kesho yako! Death is around the corner!Pamoja na hoja zako hapo Mwisho ulipo malizia kuwa CCM itashinda kwa mbinde? nafikiri wewe ni Mgeni kwa wapiga kura wa Tanzania. Pamoja na kwamba sifuatilii sana masuala ya siasa; kwa sasa sioni mtu kutoka upinzani anayeweza kupata kura za Uraisi zaidi ya 20% ila baada ya hii miaka tano huenda nafasi ikatokea japo hatujui huenda wengine wakaibuka!!