Pamoja na hoja zako hapo Mwisho ulipo malizia kuwa CCM itashinda kwa mbinde? nafikiri wewe ni Mgeni kwa wapiga kura wa Tanzania. Pamoja na kwamba sifuatilii sana masuala ya siasa; kwa sasa sioni mtu kutoka upinzani anayeweza kupata kura za Uraisi zaidi ya 20% ila baada ya hii miaka tano huenda nafasi ikatokea japo hatujui huenda wengine wakaibuka!!