Uchaguzi 2020 Upinzani ukimweka Membe itakuwa tofauti kubwa na ilivyokuwa kwa Lowassa! Watashinda

"Mungu (ni) fundi" akimaanisha "never say never". Mambo yanaweza kubadilika kwa namna ambavyo wengi hatukutarajia. Tumuachie Mungu tu.
Mkuu,maneno yako ni 'kuntu'
Mara nyingi mambo hubadilika wakati wa majigambo
 
Kasome thread Na. 61 kakueleza vizuri sana ndugu. Huijui kesho yako! Death is around the corner!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…