Upinzani umeridhika na utendaji kazi wa Rais Samia. 2025 ni kama kumsukuma mlevi. Njia nyeupe ili aendelee kuchapa kazi

Upinzani umeridhika na utendaji kazi wa Rais Samia. 2025 ni kama kumsukuma mlevi. Njia nyeupe ili aendelee kuchapa kazi

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Kwa ujumla sisikii hata ile minog'ono kuwa kuwa serikali ya CCM chini ya mama Samia haitekelezi inavyotakiwa ilani ya CCM.

Kazi inaendelea kupigwa kwa nguvu.

Miundombinu inaimarishwa na bila ajizi kila kona ya Tanzania miradi ya kuimaridha miundo mbinu inaendelea.

Sekta ya elimu ndio iko mukide kabisa. Afya nako usiseme na kila nyanja ya kiuchumi imewekwwa sawa.

Ndio maana huwezi kusikia Zitto,Mbowe Mbatia au Mdee wanapiga kelele.

Mama anaupiga mwingi
20221027_141203.jpg
 
khahahahahaha
mpwa upo? changu wa malunde ni wewe kweli au kuna mtu anatumia ID yako
mwambie na kawe Alumin ajitokeze
 
Kwa ujumla sisikii hata ile minog'ono kuwa kuwa serikali ya CCM chini ya mama Samia haitekelezi inavyotakiwa ilani ya CCM.

Kazi inaendelea kupigwa kwa nguvu.

Miundombinu inaimarishwa na bila ajizi kila kona ya Tanzania miradi ya kuimaridha miundo mbinu inaendelea.

Sekta ya elimu ndio iko mukide kabisa. Afya nako usiseme na kila nyanja ya kiuchumi imewekwwa sawa.

Ndio maana huwezi kusikia Zitto,Mbowe Mbatia au Mdee wanapiga kelele.

Mama anaupiga mwingiView attachment 2400374
Wanapigia wapi kelele wakati midomo imefungwa
 
Kwa ujumla sisikii hata ile minog'ono kuwa kuwa serikali ya CCM chini ya mama Samia haitekelezi inavyotakiwa ilani ya CCM.

Kazi inaendelea kupigwa kwa nguvu.

Miundombinu inaimarishwa na bila ajizi kila kona ya Tanzania miradi ya kuimaridha miundo mbinu inaendelea.

Sekta ya elimu ndio iko mukide kabisa. Afya nako usiseme na kila nyanja ya kiuchumi imewekwwa sawa.

Ndio maana huwezi kusikia Zitto,Mbowe Mbatia au Mdee wanapiga kelele.

Mama anaupiga mwingiView attachment 2400374
Chagu bado upo kwenye kusifu na kuabudu ?!. Hawajakukumbuka. Too bad !!

Wapinzani waongelee majukwaa yapi ?. Ikiwa kila platform ilinyakuwa na marehemu dictator !!. Huku unayemsifia naye anaogopa mikutano ya vyama shindani !

Makubwa si madogo
 
Chagu bado upo kwenye kusifu na kuabudu ?!. Hawajakukumbuka. Too bad !!

Wapinzani waongelee majukwaa yapi ?. Ikiwa kila platform ilinyakuwa na marehemu dictator !!. Huku unayemsifia naye anaogopa mikutano ya vyama shindani !

Makubwa si madogo
Jaduong ukweli lazima uwekwe wazi.
 
khahahahahaha
mpwa upo? changu wa malunde ni wewe kweli au kuna mtu anatumia ID yako
mwambie na kawe Alumin ajitokeze
Watu wamelambishwa asali

USSR

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
sweeping statments "" anaongea sana kwasababu mfupi"" mara nyingi haya ni maneno yanayotoka vinywani mwa watu wasiopenda kushughulisha bongo zao.
watu kama wewe wanasumbuliwa na UJINGA WA KIHALAIKI
ukiambiwa uthibitishe aliyelambishwa asali na kwann hawajalambishwa miaka yote utakimbilia hapo lumumba kuimba nyimbo za bi khadija kopa mama zuchu
 
Kwa ujumla sisikii hata ile minog'ono kuwa kuwa serikali ya CCM chini ya mama Samia haitekelezi inavyotakiwa ilani ya CCM.

Kazi inaendelea kupigwa kwa nguvu.

Miundombinu inaimarishwa na bila ajizi kila kona ya Tanzania miradi ya kuimaridha miundo mbinu inaendelea.

Sekta ya elimu ndio iko mukide kabisa. Afya nako usiseme na kila nyanja ya kiuchumi imewekwwa sawa.

Ndio maana huwezi kusikia Zitto,Mbowe Mbatia au Mdee wanapiga kelele.

Mama anaupiga mwingiView attachment 2400374
Ulitaka wazungumzie kwenye platform gani na mikutano ya vyama imezuiliwa na Bunge limebaki kuwa kusanyiko la vilaza wa CCM? Hivi una akili timamu au hilo bichwa ni birika la kuhifadhia makamasi tu?
 
Back
Top Bottom