Upinzani wa Tanzania ni wa vimatukio, Rais Samia ameumaliza kisayansi

Upinzani wa Tanzania ni wa vimatukio, Rais Samia ameumaliza kisayansi

N
Usipende kusema bila kutafiti. Hoja zako mara nyingi zinakosa msingi kwani ni za kufikirika na siyo halisi.
Jiulize, Kama kweli upinzani umezimwa kwanini ccm wawatumie polisi kuwaghasi wapinzani? Rejea ya juzi morogoro Kwa maarifa zaidi.
Ndugu yangu lazima ufahamu ya kuwa kila kitu lazima kifuate utaratibu tuliojiwekea, kwa hiyo lazima uzingatie Sheria na kufuata utaratibu ikiwa utataka kwenda mahali fulani na kufanya shughuli za kisiasa ili hata Kama Ni suala la ulinzi ijulikane Ni vipi litakavyo ratibiwa kwa ajili ya usalama wako binafsi na eneo utakapokuwepo bila kuingiliwa na watu wa makundi mengine ya kisiasa
 
N

Ndugu yangu lazima ufahamu ya kuwa kila kitu lazima kifuate utaratibu tuliojiwekea, kwa hiyo lazima uzingatie Sheria na kufuata utaratibu ikiwa utataka kwenda mahali fulani na kufanya shughuli za kisiasa ili hata Kama Ni suala la ulinzi ijulikane Ni vipi litakavyo ratibiwa kwa ajili ya usalama wako binafsi na eneo utakapokuwepo bila kuingiliwa na watu wa makundi mengine ya kisiasa
Nitajie sheria inayozuia vyama vya siasa Tanzania kufanya mikutano ya kisiasa. Usidhani unajibizana na wajinga wenzako hapa.
 
Ndugu zangu upinzani wa Tanzania Ni mwepesi Sanaa, Ni Rahisi Sana kuupoteza na kuufifisha , Ni Rahisi Sana kuumaliza, kuudhoofisha , kuusambalatisha, kuuvuruga, kuugawa na kuuweka mikononi mwako na kuutumia unapohitaji kufanya Jambo fulani, Hii Ni kutokana na kwamba upinzani wa Tanzania haunaga Sera Wala ajenda Wala hoja zenye kugusa hisia za watanzania, hauna vitu vyenye kugusa maisha ya Watanzania hasa wanyonge Kama ifanyavyo CCM miaka yote kuwagusa watanzania wanyonge,

Upinzani wa Tanzania Ni Kama mkanda uliokatika katika ambao hauwezi kupita kwenye rukusi na kufunga suluali, Hauna unachokisimamia Wala kupigania, hauna malengo ya muda mfupi wa Kati na muda mrefu, Hauna hata mikakati ya miaka mitano, Hata kuandaa mgombea Urais tu hauwezi, maana Ni upinzani unakwenda na mdundo wa vijana wake, Ni upinzani unaokwenda kimizuka, Ni upinzani unaokwenda kiharakati harakati kwa kila Jambo, Ni upinzani ambao hauelewi unataka Nini na unapigania Nini zaidi ya kuona kapu la Ruzuku yao likituna,

Ni upinzani unaodaka na kusubili vimatukio vya mpito tu ili uende navyo, Ndio sababu tukio likizimwa kimaridadi na serikali hii shupavu ya mama Samia unaona nao wanapoteana na kuzima, kwa hiyo Ni Rahisi Sana kuwachezesha ngoma wanachama wa kawaida Hadi Mwenyekiti wao Taifa Ndugu Mbowe

Hapa ndipo Rais wetu mpendwa Mama Samia gwiji wa Siasa, mwana mikakati aliyeiva, kiongozi shupavu, mwanadiplomasia nguli, mwenye macho ya kuona mbali, Sauti na mikono ya kupenya popote, Mwenye Akili kubwa na upeo wa mbali, Mtulivu na mwenye kwenda na muda na kusubiri wakati sahihi, mwenye Shabaha na maono ya Mbali,Anayejuwa mbinu na mikakati ya kiuongozi , Rais aliyepikwa ,aliyeiva kimbinu na kimkakati, Mwamba usiyoteteleka Wala kuteteleshwa na mtu yoyote yule, Jemedari shupavu aliyefuzu mafunzo ya kila aina, Tumaini na Tagemeo la watanzania aliyewaweza wapinzani na kuwamaliza upinzani ambao siku zote umekuwa ukitegemea vimatukio

Hakika Rais Samia ameuumbua Sana upinzani wa Tanzania, ameonyesha kuwa Tanzania hakukuwa na upinzani Bali wababaishaji waliokuwa wanategemea mianya kupata ajenda zao, Upinzani umeonyesha kuwa ulikuwa Ni Kama mti uliokosa mizizi, Ni gari lisilo na injini japo limepakwa Rangi nje, Ni mwisho wa upinzani Sasa,

Upinzani wa Tanzania Hauta simama Tena, Hautashamiri Tena, Hautatusumbua Tena, Hautaaminika Tena, Hauta kuwa na mvuto Tena, Haitakuwa Kama 2015, Hautatubabaisha Tena, Hautatulaza macho Tena, Hautavuna Tena wanachama wetu, Hautapata Tena wanachama wenye akili na wenye kujitambua, Hakuna Atakaye toa hela zake kuwapa upinzani Tena, Hakuna Atakaye tokwa jasho kuutetea upinzani tena maana ulishatoka katika mioyo ya watanzania, ulishapuuzwa na vijana ambao ndio ilikuwa nguzo yake kuu, ilikuwa ndio ngao yake kuu na Tumaini lake

Lakini Sasa CCM chini ya Nahodha shupavu Rais Samia ,vijana Wana Imani na matumaini makubwa Sana na Rais wetu mpendwa, vijana wameyaelekeza macho yao kwa mama Samia, watanzania wameamua kuwa bega kwa bega na mama Samia, watanzania wameamua kufanya kazi kwa bidii ili kumuunga mkono mama Samia, watanzania wanamuona Rais Samia Kama mama yao, kiongozi wao, mlezi wao, mzazi wao ndio sababu unaona namna mh Rais Samia anavyoheshimima na kila mtanzania, anapendwaa na kukubalika na kila mtanzania, anasikilizwa na kufuatiliwa na kila mtu,

Rais Samia songa mbele mama yetu,chapa kazi ,tutumikie watanzania, tuhudumie watanzania, tunakuamini, Tunakutegemea,tuna Imani na wewe, usikatishwe Tamaa na wachache maana tunao kuunga mkono Ni mamilioni ya watanzania, Tunazidi kukuombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,

Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Wapumbavu na wajinga ni wengi,bahati mbaya Wewe ni miongoni mwao.

Kiongozi anayepeleka fedha nyingi za Tanganyika huko kwao Mwanakwereke anawezaje kuumaliza upinzania !.
 
Wapumbavu na wajinga ni wengi,bahati mbaya Wewe ni miongoni mwao.

Kiongozi anayepeleka fedha nyingi za Tanganyika huko kwao Mwanakwereke anawezaje kuumaliza upinzania !.
Acha kuleta ubaguzi hapa nchini, Tanzania Ni moja, watanzania ni wamoja na sote tunasonga mbele kwa pamoja, ukiiendekeza akili yako katika ubaguzi utajikuta hata upeo wako na uwezo wako wa kufikiri unashuka siku Hadi siku
 
Ndugu zangu upinzani wa Tanzania Ni mwepesi Sanaa, Ni Rahisi Sana kuupoteza na kuufifisha , Ni Rahisi Sana kuumaliza, kuudhoofisha , kuusambalatisha, kuuvuruga, kuugawa na kuuweka mikononi mwako na kuutumia unapohitaji kufanya Jambo fulani, Hii Ni kutokana na kwamba upinzani wa Tanzania haunaga Sera Wala ajenda Wala hoja zenye kugusa hisia za watanzania, hauna vitu vyenye kugusa maisha ya Watanzania hasa wanyonge Kama ifanyavyo CCM miaka yote kuwagusa watanzania wanyonge,

Upinzani wa Tanzania Ni Kama mkanda uliokatika katika ambao hauwezi kupita kwenye rukusi na kufunga suluali, Hauna unachokisimamia Wala kupigania, hauna malengo ya muda mfupi wa Kati na muda mrefu, Hauna hata mikakati ya miaka mitano, Hata kuandaa mgombea Urais tu hauwezi, maana Ni upinzani unakwenda na mdundo wa vijana wake, Ni upinzani unaokwenda kimizuka, Ni upinzani unaokwenda kiharakati harakati kwa kila Jambo, Ni upinzani ambao hauelewi unataka Nini na unapigania Nini zaidi ya kuona kapu la Ruzuku yao likituna,

Ni upinzani unaodaka na kusubili vimatukio vya mpito tu ili uende navyo, Ndio sababu tukio likizimwa kimaridadi na serikali hii shupavu ya mama Samia unaona nao wanapoteana na kuzima, kwa hiyo Ni Rahisi Sana kuwachezesha ngoma wanachama wa kawaida Hadi Mwenyekiti wao Taifa Ndugu Mbowe

Hapa ndipo Rais wetu mpendwa Mama Samia gwiji wa Siasa, mwana mikakati aliyeiva, kiongozi shupavu, mwanadiplomasia nguli, mwenye macho ya kuona mbali, Sauti na mikono ya kupenya popote, Mwenye Akili kubwa na upeo wa mbali, Mtulivu na mwenye kwenda na muda na kusubiri wakati sahihi, mwenye Shabaha na maono ya Mbali,Anayejuwa mbinu na mikakati ya kiuongozi , Rais aliyepikwa ,aliyeiva kimbinu na kimkakati, Mwamba usiyoteteleka Wala kuteteleshwa na mtu yoyote yule, Jemedari shupavu aliyefuzu mafunzo ya kila aina, Tumaini na Tagemeo la watanzania aliyewaweza wapinzani na kuwamaliza upinzani ambao siku zote umekuwa ukitegemea vimatukio

Hakika Rais Samia ameuumbua Sana upinzani wa Tanzania, ameonyesha kuwa Tanzania hakukuwa na upinzani Bali wababaishaji waliokuwa wanategemea mianya kupata ajenda zao, Upinzani umeonyesha kuwa ulikuwa Ni Kama mti uliokosa mizizi, Ni gari lisilo na injini japo limepakwa Rangi nje, Ni mwisho wa upinzani Sasa,

Upinzani wa Tanzania Hauta simama Tena, Hautashamiri Tena, Hautatusumbua Tena, Hautaaminika Tena, Hauta kuwa na mvuto Tena, Haitakuwa Kama 2015, Hautatubabaisha Tena, Hautatulaza macho Tena, Hautavuna Tena wanachama wetu, Hautapata Tena wanachama wenye akili na wenye kujitambua, Hakuna Atakaye toa hela zake kuwapa upinzani Tena, Hakuna Atakaye tokwa jasho kuutetea upinzani tena maana ulishatoka katika mioyo ya watanzania, ulishapuuzwa na vijana ambao ndio ilikuwa nguzo yake kuu, ilikuwa ndio ngao yake kuu na Tumaini lake

Lakini Sasa CCM chini ya Nahodha shupavu Rais Samia ,vijana Wana Imani na matumaini makubwa Sana na Rais wetu mpendwa, vijana wameyaelekeza macho yao kwa mama Samia, watanzania wameamua kuwa bega kwa bega na mama Samia, watanzania wameamua kufanya kazi kwa bidii ili kumuunga mkono mama Samia, watanzania wanamuona Rais Samia Kama mama yao, kiongozi wao, mlezi wao, mzazi wao ndio sababu unaona namna mh Rais Samia anavyoheshimima na kila mtanzania, anapendwaa na kukubalika na kila mtanzania, anasikilizwa na kufuatiliwa na kila mtu,

Rais Samia songa mbele mama yetu,chapa kazi ,tutumikie watanzania, tuhudumie watanzania, tunakuamini, Tunakutegemea,tuna Imani na wewe, usikatishwe Tamaa na wachache maana tunao kuunga mkono Ni mamilioni ya watanzania, Tunazidi kukuombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,

Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

Hakuna kiongozi yoyote wa CCM anaweza kuumaliza upinzani, maana ccm sio chama cha kizazi hiki. Unapoona CCM inategemea vyombo vya dola na tume isiyo huru ya uchaguzi, ujue zama zake zimeisha. Huenda hizo ziara zanazojaza wanafunzi, na kuzoa watu kwa nguvu ya vyombo vya dola zinakuhadaa. Wapinzani wakianza kuongea na wananchi utaishia kuona kitu ambacho kila mwanaccm hataki kukiona.
 
Tanzania ingekuwa moja tusingetenga ajira za WaZanzibar TRA,BOT...... Haya mambo kayaanzisha Mama.
Acha kuleta ubaguzi hapa nchini, Tanzania Ni moja, watanzania ni wamoja na sote tunasonga mbele kwa pamoja, ukiiendekeza akili yako katika ubaguzi utajikuta hata upeo wako na uwezo wako wa kufikiri unashuka siku Hadi siku
 
Acha kuleta ubaguzi hapa nchini, Tanzania Ni moja, watanzania ni wamoja na sote tunasonga mbele kwa pamoja, ukiiendekeza akili yako katika ubaguzi utajikuta hata upeo wako na uwezo wako wa kufikiri unashuka siku Hadi siku

Nenda ww mtu wa bara kanunue ardhi Zanzibar uone kama unakubaliwa, au kagombee uongozi Zanzibar kama unakubaliwa. Kisha uje ulete mrejesho kuhusu ubaguzi.

Na kwa taarifa yako wazanzibari hawautaki muungano, labda wanaccm walioko madarakani maana wana maslahi na huu muungano fake.
 
Naona mapokezi makubwa anayoendelea kuyapata mh Rais wetu mpendwa katika ziara zake yamewachanganya Sana mpaka mnawaita watu wazima wanafunzi, ndio maana watanzania wamewatupa mkono wapinzani maana mnadharau Sana nyie na kujiona mnaelewa kila kitu
Hakuna kiongozi yoyote wa CCM anaweza kuumaliza upinzani, maana ccm sio chama cha kizazi hiki. Unapoona CCM inategemea vyombo vya dola na tume isiyo huru ya uchaguzi, ujue zama zake zimeisha. Huenda hizo ziara zanazojaza wanafunzi, na kuzoa watu kwa nguvu ya vyombo vya dola zinakuhadaa. Wapinzani wakianza kuongea na wananchi utaishia kuona kitu ambacho kila mwanaccm hataki kukiona.
 
Nenda ww mtu wa bara kanunue ardhi Zanzibar uone kama unakubaliwa, au kagombee uongozi Zanzibar kama unakubaliwa. Kisha uje ulete mrejesho kuhusu ubaguzi.

Na kwa taarifa yako wazanzibari hawautaki muungano, labda wanaccm walioko madarakani maana wana maslahi na huu muungano fake.
Serikali ya CCM itaendeleaa kuuenzi na kuulinda muungano wetu adhimh na wakipekee kwa nguvu zake zote zidi ya watu wachache Kama wewe mnaotamani uvunjike kwa maslahi yenu, watanzania tunajivunia muungano wetu na tutaendelea kuishi kwa umoja mshikamano na upendo miongoni mwetu
 
andiko lolote linalobeba na kuiwakilisha CCM jua Ni kero kwa raia ....
Mnatumia miguvu mingi kuilinda CCM huku nchi inaungua.
#BUMMERS😤
 
andiko lolote linalobeba na kuiwakilisha CCM jua Ni kero kwa raia ....
Mnatumia miguvu mingi kuilinda CCM huku nchi inaungua.
#BUMMERS😤
CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo ,CCM ndio chama kilichobeba Sera na ajenda za kugusa maisha ya watanzania Ndio maana CCM Inaendelea kuaminiwa na mamilioni ya watanzania
 
Naona mapokezi makubwa anayoendelea kuyapata mh Rais wetu mpendwa katika ziara zake yamewachanganya Sana mpaka mnawaita watu wazima wanafunzi, ndio maana watanzania wamewatupa mkono wapinzani maana mnadharau Sana nyie na kujiona mnaelewa kila kitu

Tuchanganyanywe na mafuriko fake. Labda hujui uelewa wetu.
 
Serikali ya CCM itaendeleaa kuuenzi na kuulinda muungano wetu adhimh na wakipekee kwa nguvu zake zote zidi ya watu wachache Kama wewe mnaotamani uvunjike kwa maslahi yenu, watanzania tunajivunia muungano wetu na tutaendelea kuishi kwa umoja mshikamano na upendo miongoni mwetu

Acha porojo zisizo na tija, jibu kama mtu wa bara anaruhusiwa kununua ardhi Zanzibar, ama kugombea uongozi Zanzibar. Nitajie kama mtu wa bara anaweza kwenda kugombea urais wa Zanzibar. Ukijibu hayo utakuwa na Utetezi wa maana sio hizo porojo za kizee za kulinda muungano usio na maana yoyote
 
Nenda uwanjani ndio utajuwa ukweli wa mambo na utakwenda kuwasimulia wenzio hapo ufipa

Mimi ni mgeni na hayo mafuriko ya kuzoa majobless huko vijijini, na kuagiza wanafunzi wajae kwenye hizo hafla? CCM imeshakuwa outdated, ndio maana inalazimisha promo zisizo na mpango, lakini ikifika wakati wa uchaguzi mnaishia kunajisi uchaguzi.
 
Mimi ni mgeni na hayo mafuriko ya kuzoa majobless huko vijijini, na kuagiza wanafunzi wajae kwenye hizo hafla? CCM imeshakuwa outdated, ndio maana inalazimisha promo zisizo na mpango, lakini ikifika wakati wa uchaguzi mnaishia kunajisi uchaguzi.
Napenda kukwambia tu kuwa watu wanahudhulia kwenye mikutano ya mh Rais kwa hiyari yao wenyewe bila kulazimishwa Wala kubebwa, wanafanya hivi kwa kuwa Wana matumaini makubwa Sana na mh Rais pamoja na ccm
 
Sasa wewe kwa fikra zako rafiki yangu Tindo tukisema watu wore twende visiwani Zanzibar hivi tutatosha kweli? Pia katika kuungana kila watu huwa wanakuwa na aina ya muungano wao kulingana na historia zao pamoja na mambo mengine ili kuleta amani na utulivu katika muungano, Nenda kasome kitabu Cha uongozi wetu na hatima ya Tanzania,kilichoandikwa na baba wa Taifa
Acha porojo zisizo na tija, jibu kama mtu wa bara anaruhusiwa kununua ardhi Zanzibar, ama kugombea uongozi Zanzibar. Nitajie kama mtu wa bara anaweza kwenda kugombea urais wa Zanzibar. Ukijibu hayo utakuwa na Utetezi wa maana sio hizo porojo za kizee za kulinda muungano usio na maana yoyote
 
Napenda kukwambia tu kuwa watu wanahudhulia kwenye mikutano ya mh Rais kwa hiyari yao wenyewe bila kulazimishwa Wala kubebwa, wanafanya hivi kwa kuwa Wana matumaini makubwa Sana na mh Rais pamoja na ccm

Nimekuuliza hapo juu kama kuna mtu wa bara anaruhusiwa kununua ardhi Zanzibar, au kugombea cheo chochote huna majibu umebaki unaleta porojo. CCM haina mvuto wa kujaza watu bila kutumia hela na vitisho. Hao wengine ni majobless na wanafunzi wanaoshurutishwa kuhudhuria.
 
Back
Top Bottom