Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #81
Tindo lini ulilipwa au kulazimishwa kwa vitisho kwenda kwenye mkutano wa CCm au wa mh Rais? Nachofahamu Ni kuwa watu wanakwenda kwa hiyari yao kabisaNimekuuliza hapo juu kama kuna mtu wa bara anaruhusiwa kununua ardhi Zanzibar, au kugombea cheo chochote huna majibu umebaki unaleta porojo. CCM haina mvuto wa kujaza watu bila kutumia hela na vitisho. Hao wengine ni majobless na wanafunzi wanaoshurutishwa kuhudhuria.
Sasa wewe kwa fikra zako rafiki yangu Tindo tukisema watu wore twende visiwani Zanzibar hivi tutatosha kweli? Pia katika kuungana kila watu huwa wanakuwa na aina ya muungano wao kulingana na historia zao pamoja na mambo mengine ili kuleta amani na utulivu katika muungano, Nenda kasome kitabu Cha uongozi wetu na hatima ya Tanzania,kilichoandikwa na baba wa Taifa
Tindo lini ulilipwa au kulazimishwa kwa vitisho kwenda kwenye mkutano wa CCm au wa mh Rais? Nachofahamu Ni kuwa watu wanakwenda kwa hiyari yao kabisa
Tindo nilitaka kukuelezea kwa urefu lakini kwa ufupi naomba ukasome kitabu Cha Uongozi wetu na Hatima ya TanzaniaUmesema hakuna ubaguzi, kisha unasema ardhi ya Zanzibar haitoshi! Kwani lazima wazanzibari wabaki huko, si waje huku bara maana wanaruhusiwa kumiliki Ardhi? Je hayo ya madaraka na kupiga kura, wao wanaweza kuchukua madaraka huku na kupiga kura, lakini sio kinyume chake. Huo sio muungano bali ni utapeli wa kijinga.
Hivi umeolewa na umezaa watoto?Mmeo ana kazi sana.Wala hatutumii nguvu Bali tunaelezea Yale aliyoyafanya mh Rais wetu ndani ya muda mfupi tangia aapishwe kuwa Rais wetu na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama
Unauliza au unapigia jibu mstari? Mimi sio rahisi nilipwe au kulazimishwa kuhudhuria hayo maigizo maana najitambua na kujiamini. Lakini kinachofanyika nakifahamu na kukiona.
Acha lugha za dharau na ukakasi, hata hivyo Mimi Namheshimu kila mtu ikiwemo wewe na ndio maana unaona simtukani mtu humu jamvini maana naamini hata Kama tunatofautiana kimtizamo tunaweza kukosoana bila kutukanana na kudhalilishana utu wetuHivi umeolewa na umezaa watoto?Mmeo ana kazi sana.
Acha ujinga.Umeolewa?Acha lugha za dharau na ukakasi, hata hivyo Mimi Namheshimu kila mtu ikiwemo wewe na ndio maana unaona simtukani mtu humu jamvini maana naamini hata Kama tunatofautiana kimtizamo tunaweza kukosoana bila kutukanana na kudhalilishana utu wetu
Huyu kwenye uchawa kavuka , huyu ni kupe .Chawa kazini umesahau namba ya simu.
Sawa ndugu yangu mwana nyanda za juu kusini, mpambe wa Mbowe, karibu SanaHuyu kwenye uchawa kavuka , huyu ni kupe .
Ccm Ni moja ,wanaccm ni wamoja na chama ni kimoja na Hakuna mkubwa ndani ya CCM, Kama unasubiri kupasuka na kugawanyika kwa CCM unajichelewesha Sana ndugu yangu na utakuwa Ni sawa na unasubiri meli airport Jambo ambalo hutafanikiwa kuliona labda uende bandariniUpinzani utakaoiua CCM utatoka ndani ya CCM yenyewe.
Makundi yameachwa kukua na hayadhibitiki Kwa sasa.
Ni zamu ya MAPAKA kukwaruana yakigombea chakula Kwa sahani.
Usipoteze muda kuogopwa VIVULI vya wapinzani, hangaika na Mazombie ndani yenu
Hoja zako zingetafutiwa heading nzuri zinaqualify kuanzisha Uzi Ili wenye akili tuuchambue.Nilitaka kuandika nikujibu kwa hoja mujarabu Ila nimeona na kugundua kuwa una shida sehemu Fulani na kama wewe ndio aina ya vijana tulio nao katika Taifa hili kwakweli kama Taifa nachelea kusema kwamba tumepoteza mwelekeo!
Katika aya zote ukizoandika hakuna hoja yoyote uliyoitoa inayoonesha kupevuka kwako kielimu na kisiasa.
Nina hakika hata mheshimiwa Rais akisoma ulichoandika atatikisa kichwa na kucheka mwenyewe kwa ujinga huu uliondika ukijazia na makosa ya kisarufi na kiuandishi uliyoyaweka.
Badala ya kutumia muda mwingi kuandika kwa kumpaka mama Mafuta kwa mgongo wa chupa Huku ukishindwa kutanabaisha maadui wakubwa wa nchi hii ambayo na ujinga maradhi na umaskini na sio upnzani kama ulivyokaririshwa, ungetumia muda huu kuainisha maeneo ambayo bado serikali ya mama inapaswa kuyaangalia kwa muktadha mzima wa kuwaletea wananchi maisha Bora kijamii na kiuchumi.
Labda nikwambie tu adui wa Tanzania sio upnzani kwa maana ya hivyo vyama visivyokua ccm, adui wa Tanzania ni mfano wewe unayesifia hata nadharia.
Mwalimu alitutaka vija kuwa jeuri na kuhoji huu ya mstakabali wa nchi yetu. Na sio kukaaa na kusifia hata ambavyo havipo. Elimu uliyo nayo ungetumia kuadress cross cutting issues ambazo watanzania wengi wanapitia ungeheshimika zaidi au hata ungeandika juu ya mafanikio ya serikali ya awamu ya Tano pamoja na mapungufu yaliyopo na namna ya kuaproach hayo mapungufu ungekua sehemu ya bunge la wananchi!
Huwezi kusema wapinzani au vyama mbadala havina sera wakati unajua KABISA Kuna unbalanced political platform Kati ya ruling party na upnzani!
Mtaji wa chama ni wanachama na wanachama ndio wasikiliza sera na ndio wanaoamua!
Kwa mujibu wa Sheria ya vyama vya siasa na kanuni zake Ili chama kiwafikie wanachama aumbao ni wananchi yafaa kifanye mikutano ya hadhara, makongamano na midahalo.
Je huoni kila wakati havipewi fursa hiyo na jeshi la polis? Wakifanya kwa lazima wanaishia kuawa na kuwekwa gerezani?
Media haziruhusiwi kutumika Ili kueneza propaganda, agenda, milpango na sera za vyama vingine isipokua Ccm! Unataka usikie wapi sera hizo!
Vyama mbadala viliwekwa maksudi Ili kuisaidia serikali iliyoko madarakani kujitazama na kujitathmini pamoja na kujirekebisha Ili isalie madarakani na kukidhi matakwa ya wananchi!
Kwa uandishi wako unaonesha una chuki ya wazi wazi na vyama hivyo na kusahau kwamba Wewe pia ni mtanzania na hao wanachama wasio Ccm ni watanzania ambao ni Ndugu zako rafiki zako nk. Ila kutofautiana ideology kumekufanya uweke tumbo mbele kwa kivuli Cha uzalendo!
Jitathmini Tanzania ni kubwa kuliko wewe
Hoja gani alizoziandika hapo? Huoni ameshindwa hata kuweka Aya ili ziwe katika mpangilio mzuri? Hata hivyo nimeshamjibu vizuri tu kwa lugha Rahisi na yakuelewekaHoja zako zingetafutiwa heading nzuri zinaqualify kuanzisha Uzi Ili wenye akili tuuchambue.
Lucas hajui kujenga hoja, ni matokeo ya mifumo ya ELIMU duni ilochafuliwa.
Tindo nilitaka kukuelezea kwa urefu lakini kwa ufupi naomba ukasome kitabu Cha Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania
Sina muda wa kusoma vitabu vya CCM maana vitaishia kunitia ujinga. Nyie mnatakiwa mtolewe madarakani kwa machafuko, kisha tukae na Zanzibar tuchague muungano wenye tija kwa pande zote. Lakini sio huu muungano wa kuweka wazanzibari kwenye bunge la bara, lakini hakuna ruhusa ya wabunge wa bara kwenye bunge la Zanzibar.
Sasa Kama wewe hulipwi na huwa huendi Basi Tambua kuwa mafuriko unayoyaona katika mikutano ya mh Rais ni watu wanaokwenda kwa hiyari yao wenyewe bila kulazimishwa Wala kulipwa
Hata ije tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itashinda kwa kishindo tu, Sasa nyie huwa mnawaza Nani awaunge mkono wakati hata Sera zenu hazieleweki?Waliolipwa nawajua na mbinu za kushurutisha wafanyakazi wa umma pamoja na wanafunzi huwa naona sana. Na huwa tunawadhihaki wanaoburuzwa na kuishia kuona aibu. Kwasababu ya kuwa na mafuriko fake, hii hupelekea wakati wa uchaguzi kushuhudia chaguzi za kihayawani ili CCM kutangazwa washindi kwa shuruti.
Hakuna mtanzania wakuleta machafuko katika nchi hii kwa uroho wenu nyie wapinzani, watanzania Wana Imani kubwa Sana na CCM kutokana na kuwa imekuwa sikivu na yenye masikio yakisikiliza kila sauti, CCM ndio mdomo wa wanyonge , Ndio sababu imeendelea kuwepo madarakani muda wote
Wewe usiyemuoga mbona hukuitikia wito wa Lisu kuandamanaIpo madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola, na ushahidi wa hayo upo wazi. Hakuna wa kuleta machafuko kwa sasa kwasababu ya uoga wa wananchi kutekwa na kuuwawa, lakini iko siku isiyo na kina, hiki chama kichovu kitakaa pembeni.