Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #201
Shida Ume tongoza Mara 109, na Ume kataliwa Mara 108π€£π[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole mkuu usikate tamaa. We tongoza na tongoza tena na tena mpaka uje upate positive
Huyo achana nae mnatakiwa mkikutana fire inawakanyie watu nyie basi tu ukimgusa anakuwa mkali anakuambia naona unataka kuvuka mipaka tuheshimianeπ π
Labda tupige story tu, wiki hii nime vurugwaππNjoo tulale hapa, niko bored
Kwani nimesema nataka nini zaidiπ? ShindwaLabda tupige story tu, wiki hii nime vurugwaππ
Sema hilo nalo neno, kuna wakati unakua umekaa nae nafsi yenyewe inatulia hata kama sometime nafsi inataabika .yes lakini iwe kwa mtu unaemuelewa hautaona mzigo sana
kuna ke wanapenda uwasotee uhaso utadhani unajenga gorofa bhanaHuyo achana nae mnatakiwa mkikutana fire inawaka
mkuu hii imewahi nitokea kabisa, kuna ke ukitoka nae nafsi inaburudika sana na kutulia sijui itakuaje siku akiniblessSema hilo nalo neno, kuna wakati unakua umekaa nae nafsi yenyewe inatulia hata kama sometime nafsi inataabika .
Kuna watu wengine wamejaliwa kwa kweli.
Some time zile movement za ufriend unatamani ziendelee tu, unawaza leo au kesho nitapata mwisho wa siku mwaka huo hapo!mkuu hii imewahi nitokea kabisa, kuna ke ukitoka nae nafsi inaburudika sana na kutulia sijui itakuaje siku akinibless
Mkuu search nyuzi zangu, utaona nilicho andikaa mkuu.Hii ID Intelligent businessman haitendewi haki
ID imekaa kiumakini kinyama ila tabu ipo kwa anayeimiliki...nyuzi za hii ID ni bure kabisa
mshamba_hachekwi, Lenie njooni muone Babu alipigwa na nondoππYaani pamoja na kumchorea ile picha ya moyo alafu nikaweka mshale lakini hata haikusaidia.
Alinambia Ujana ule na nani uje saivi Unizeeshe.
Kweli Wazee hatuna soko mbele ya vijana π
Yaan ukiona mnakutana kunakuwa na compilcation nyingi ujue damu haijapatana ikipatana hapo hapokuna ke wanapenda uwasotee uhaso utadhani unajenga gorofa bhana