Kwa hii nchi tunategemeana, Niwe muwazi kuna madaktari hawawezi bila manesi, wafamasia na hata wataalamu wa maabara,Mkishakuaga na na vielimu uchwara ,mnavimba sana.
Sasa hiyo IV Gentamicin 80mg, na Mtoa mada wapi na wapi???.
Ulivyo Mpuuzi,Et 'Tena specialist ?!!.
KIHALISIA, KATIKA AFYA, DAKTARI ni Mfamasia, ni mtu wa Labo .
DAKTARI HAMHITAJI MFAMASIA...MFAMASIA LAZIMA AMUHITAJI DAKTARI.
Blatant lieMuwe mnajitahidi kuficha ujinga wenu.
Kwa Maisha ya Watanzania walio wengi, ambao huishia kujitibia wenyewe Kwa kwenda kununua sawa bila kujua wanachoumwa.
Kumtoa Daktari , na kumwacha Mfamasia ,ni UJINGA ULIOPITILIZA.
Mimi hapa Kila siku lazima nipate SIMU za wafamasia wakinipa maelezo ya wateja wao na wakihitaji kujua Nidawa gani wawepe.
Mfamasia anajua Dawa, lkn Daktari anajua ni Dawa gan amwambie Mfamasia ampe Mgonjwa .
NAENDELEA KUKUPONGEZA.UNAHOJA ZA MSINGI.MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI
Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Wasalaam!
Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.
Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?
UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.
Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.
Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.
ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .
Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?
Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.
Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?
Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇
Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.
SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?
Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?
Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?
Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?
Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.
NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?
Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?
NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.
HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.
Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Unapigiwa simu na ADDO.. Unasema mfamasia....Muwe mnajitahidi kuficha ujinga wenu.
Kwa Maisha ya Watanzania walio wengi, ambao huishia kujitibia wenyewe Kwa kwenda kununua sawa bila kujua wanachoumwa.
Kumtoa Daktari , na kumwacha Mfamasia ,ni UJINGA ULIOPITILIZA.
Mimi hapa Kila siku lazima nipate SIMU za wafamasia wakinipa maelezo ya wateja wao na wakihitaji kujua Nidawa gani wawepe.
Mfamasia anajua Dawa, lkn Daktari anajua ni Dawa gan amwambie Mfamasia ampe Mgonjwa .
Hio nchi hata Phlebotomy ana heshimika kaka, mana kila KAZI Ina mgawanyo mzuri,Professor nchi zingine wanafanyaje? eg Marekani, U.k n.k?
Nasema wakasome Ufamasia namaanisha degreeUnachekesha sana.yani daktari aende kusoma addo? Hahahaa!! Siku moja nilimfelisha interview mtu mmoja kwa kishindwa kujibu swali langu.Tena hawa wauza madawa wanaumiza watanzania kwa kutoa wrong dose kwa wateja wao.eg : azithromycin kwa magonjwa ya kawaida ni only for three days!! Siku mmoja nilibishana na hawa wanaojiita dispensors bila kujua kuwa Mimi ni daktari
Dawa zinazotolewa kwa cheti cha daktari kwa sababu zinachukuliwa kuwa hatari ikiwa hazitatumiwa chini ya usimamizi wa mtaalamu wa afya aliyeidhinishwa.1.Kwanini cheti cha daktari kihitajike na sio cheti cha Mfamasia ambaye ndiye manasema mtaalamu wa dawa?
Kukaa nazo chumbani !! Mbona simpoMkishajiona sijui MD kazi kudharau fani nyingine....
Kama daktari hahitaji mfamasia basi awe anakaa na dawa chumbani kwake...
EeeeenHeeee Heeeee Heeeee!HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.
na hapo ndipo penye palipojaa ujinga wenu wa kujiona Nyie na Madaktari ni sawa.Unapigiwa simu na ADDO.. Unasema mfamasia....
Daktari anajua dawa... Mfamasia anajua dawa inafanyaje kazi ndani ya mwili na kwa muda gani mgonjwa anatakiwa awe amerespond kwa matibabu...
Mfamasia pia anatoa ushauri pia kwa daktari kuhusu dawa flani kama haitoi matokeo chanya...
Nina uhakika weee ni Clinical Officer au Mwanafunzi wa UtabibuNafikiri wewe ndiye huna akili kabisaaa.yani mfalmacia atoe dawa kwa mgonjwa? How? Amesomea wapi anatomy? My dear friend ,dawa siyo maharage aisee!! lini mfamacia amesomea ABCD ? Yani airway, breathing, circulation and drug! Unaweza kutoa dawa kwa mgonjwa akakuzimikia !sasa unajua utamsaidiaje? Nurse na dakatari wanajua namna ya kumsaidia mgonjwa after any side effect from the admistered drug!! Addo na mfamacia wanavijulia wapi? Kitu ambacho daktari hawezi ni kutengeneza dawa na siyo kutoa dawa!! Full stop.so daktari haitaji kusoma Ado au au full pharmacy. Madakatari na manesi wanasoma pharmacology
Mfamasia hajui chochote zaidi ya kukaa stoo ya dawUmesema vyema kwamba Wafamasia wanachoweza ni drug dispensing. Basi hilo ndilo Taaluma yao. Daktari hajui drug dispensing ndiyo maana ni lazima asome ADDO.
Hayo mengine ni mbwembwe tuu.
same as Prof Koboko's post!Wazee wa copy na kupaste nimeichukua sehemu kama ilivyo....
What is a pharmacist vs. a doctor?
Pharmacists commonly work in drugstores and retail environments where they fill prescription medications and address customer needs. Some pharmacists work in hospitals where they support physicians and medical teams in treating patient symptoms and conditions with pharmaceuticals. While pharmacists provide one type of healthcare service, doctors are the medical professionals responsible for diagnosing and treating patients, including writing prescriptions that pharmacists fill for purchase.
Another distinction between pharmacists and doctors is that doctors work directly with their patients, whereas pharmacists work in a laboratory setting and away from patients and customers. However, pharmacists sometimes advise patients and educate customers in retail settings about prescription and over-the-counter medications.
well said prof maana naona huku mtaani kika mvaa koti jeupe anajitutumua kuwa daktariMAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI
Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Wasalaam!
Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.
Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?
UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.
Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.
Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.
ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .
Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?
Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.
Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?
Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇
Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.
SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?
Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?
Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?
Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?
Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.
NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?
Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?
NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.
HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.
Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Angekuwa hajui chochote huyo Profesa Uchwara asingeanzisha thread kwa thread kulia lia hapa.Mfamasia hajui chochote zaidi ya kukaa stoo ya daw