Upotoshwaji unaoendelea kufanywa na baadhi ya Wafamasia kumpotosha Waziri wa Afya

Upotoshwaji unaoendelea kufanywa na baadhi ya Wafamasia kumpotosha Waziri wa Afya

Hongera kwa hoja mujarabu Prof Koboko .

Mimi sielewi kwa nini serikali inaacha hawa wanaoitwa wafamasia watibu mgonjwa badala ya kumpa dawa alizoandikiwa na daktari. Kwa kweli siwaelewi serikali kwa kushindwa kulisimamia hili.
Nchi imekaa kitapeli sn kuanzia juu kushuka chini
 
MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI

Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wasalaam!

Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.

Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?

UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.

Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.

Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.

ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .

Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?

Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.

Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?

Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇

Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.

SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?

Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?

Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?

Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?

Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.

NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?

Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?

NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati
wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.

HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.

Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Professor nchi zingine wanafanyaje? eg Marekani, U.k n.k?
 
Nimeishia hapo mwanzoni

Ulitakiwa kujikita kwenye kuelimisha, hakika uzi ungekua murua

Matokeo yake naona mashambuliizi makali,kejeli na makasiriko...

Uzi umepoteza mantiki mapema mno.
 

Dosage: as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?


Naomba hili swali lipatiwe majibu ya kina.
Naambatanisha picha.View attachment 2230485

MAKUNDI YA DAWA ZA BINADAMU 👇👇

1. Prescription Only Medicines ..(Cheti cha daktari kinahitajika )..hizo zenye "Dose;As directed by Physician".
2. Pharmacy Only Medicines(Cheti cha daktari hakihitajiki).
3. General Sale Medicines(Cheti cha daktari hakihitajiki)..hizi utazikuta hata dukani kwa mangi/mpemba n.k. mfano DAWA TATU/ACTION/HEDEX/PANADOL & PANADOL EXTRA/GLUCOSE /COFTA/TUMBOCID/ MOSQUITO (spray and repperants),CASTROL OIL/GLYCERINE/MEDICATED SOAPS /TOOTH PASTE n.k.
 
Hongera kwa hoja mujarabu Prof Koboko .

Mimi sielewi kwa nini serikali inaacha hawa wanaoitwa wafamasia watibu mgonjwa badala ya kumpa dawa alizoandikiwa na daktari. Kwa kweli siwaelewi serikali kwa kushindwa kulisimamia hili.

MAKUNDI YA DAWA ZA BINADAMU 👇👇

1. Prescription Only Medicines ..(Cheti cha daktari kinahitajika )..hizo zenye "Dose;As directed by Physician".
2. Pharmacy Only Medicines(Cheti cha daktari hakihitajiki).
3. General Sale Medicines(Cheti cha daktari hakihitajiki)..hizi utazikuta hata dukani kwa mangi/mpemba n.k. mfano DAWA TATU/ACTION/HEDEX/PANADOL & PANADOL EXTRA/GLUCOSE /COFTA/TUMBOCID/ MOSQUITO (spray and repperants),CASTROL OIL/GLYCERINE/MEDICATED SOAPS /TOOTH PASTE n.k.
 
Hebu lead sasa ili sisi tunafuatilia tuelewe?
Huwezi kuelewa huyo jamaa ni mpotoshaji

Na watu wa anatomy naturally wako very narrow maana hata mifumo hawaijui

Hawa interactions nawagonjwa wala watunga sera

Msomeni huyo jamaa Kwa akili

Hajui anachoongea
 
Ukishaona kwenye kada yako huridhiki, unalazimisha sana kufanya majukumu ya kada nyingine. Kuna Mambo matatu.

1- Huijui vizuri kada yako.

2- Kada yako ni dhaifu kiasi kwamba huna Cha kufanya au unachofanya hakina umuhimu.

3- Inferiority complex
 
Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?
Duh!

Hivi kweli ilikulazimu, na hadhi yako ya u-Profesa, kuandika haya? Mbona huonyeshi kuwa tofauti na huyo unayejibishana naye?

Mimi nitaendelea kukusoma katika andiko lako hili huko chini. Lakini kutokana na lile bandiko lako la mwanzo kabisa humu JF; inaonyesha dhahiri unayo mapungufu makubwa katika uelewa wako wa fani ya Famasia, na unaonyesha dhahiri kuwa na kasumba ya kudhani kwamba ukiwa na hadhi ya utabibu, basi wewe ndiye unayejua kila kitu kuhusiana na matibabu ya mgonjwa. Hii ni dhana potofu, tena inakuwa potofu zaidi inapotolewa na mtu mwenye kujitambulisha kuwa na elimu (kama ni kweli) kama wewe.
 
MAKUNDI YA DAWA ZA BINADAMU [emoji116][emoji116]

1. Prescription Only Medicines ..(Cheti cha daktari kinahitajika )..hizo zenye "Dose;As directed by Physician".
2. Pharmacy Only Medicines(Cheti cha daktari hakihitajiki).
3. General Sale Medicines(Cheti cha daktari hakihitajiki)..hizi utazikuta hata dukani kwa mangi/mpemba n.k. mfano DAWA TATU/ACTION/HEDEX/PANADOL & PANADOL EXTRA/GLUCOSE /COFTA/TUMBOCID/ MOSQUITO (spray and repperants),CASTROL OIL/GLYCERINE/MEDICATED SOAPS /TOOTH PASTE n.k.
Na unahisi Kwann baadhi ya Dawa ikaamuliwa kutolewa na Daktari tu?.
 
MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI

Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wasalaam!

Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.

Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?

UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.

Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.

Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.

ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .

Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?

Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.

Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?

Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇

Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.

SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?

Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?

Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?

Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?

Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.

NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?

Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?

NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati
wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.

HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.

Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Mkuu, niseme wazi wewe ni mjinga (ignorant), unahitaji kufundishwa uelewe, na nadhani kuna umuhimu wa kufanya hivyo kwa vile unazidi kuwachanganya watu.

Nitatumia andiko lako hili kukufundisha. Vuta subira, sasa hivi nina mengine mengi yananizonga.

Tutakutana baadae.
 
MAKUNDI YA DAWA ZA BINADAMU [emoji116][emoji116]

1. Prescription Only Medicines ..(Cheti cha daktari kinahitajika )..hizo zenye "Dose;As directed by Physician".
2. Pharmacy Only Medicines(Cheti cha daktari hakihitajiki).
3. General Sale Medicines(Cheti cha daktari hakihitajiki)..hizi utazikuta hata dukani kwa mangi/mpemba n.k. mfano DAWA TATU/ACTION/HEDEX/PANADOL & PANADOL EXTRA/GLUCOSE /COFTA/TUMBOCID/ MOSQUITO (spray and repperants),CASTROL OIL/GLYCERINE/MEDICATED SOAPS /TOOTH PASTE n.k.
1.Kwanini cheti cha daktari kihitajike na sio cheti cha Mfamasia ambaye ndiye manasema mtaalamu wa dawa?
 

Wazee wa copy na kupaste nimeichukua sehemu kama ilivyo....​

What is a pharmacist vs. a doctor?​

Pharmacists commonly work in drugstores and retail environments where they fill prescription medications and address customer needs. Some pharmacists work in hospitals where they support physicians and medical teams in treating patient symptoms and conditions with pharmaceuticals. While pharmacists provide one type of healthcare service, doctors are the medical professionals responsible for diagnosing and treating patients, including writing prescriptions that pharmacists fill for purchase.

Another distinction between pharmacists and doctors is that doctors work directly with their patients, whereas pharmacists work in a laboratory setting and away from patients and customers. However, pharmacists sometimes advise patients and educate customers in retail settings about prescription and over-the-counter medications.
Sasa huyu mpumbavu Koboko aache wivu
 
Huwezi kuelewa huyo jamaa ni mpotoshaji

Na watu wa anatomy naturally wako very narrow maana hata mifumo hawaijui

Hawa interactions nawagonjwa wala watunga sera

Msomeni huyo jamaa Kwa akili

Hajui anachoongea
Mpingeni kwa hoja ili sisi tunaofuatilia tuone huo upotoshaji wake uko wapi,maana alianza na Uzi wa kwanza,alipoona kelele zimekuwa nyingi amerudi tena kujibu na kusisitiza zaidi kile alichokisema
 
Huwezi kuelewa huyo jamaa ni mpotoshaji

Na watu wa anatomy naturally wako very narrow maana hata mifumo hawaijui

Hawa interactions nawagonjwa wala watunga sera

Msomeni huyo jamaa Kwa akili

Hajui anachoongea
Ujinga mtupu umeandika.


Wewe badala ya kujikita katika hoja, unatanguliza porojo ??.

Yaan Mtu kafanya, MD, MMED, alafu unainua pua yako , Et 'Hawana interaction na wagonjwa ?".


Hilo Bichwa lako, kafugie minyoo .
 
MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI

Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wasalaam!

Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.

Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?

UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.

Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.

Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.

ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .

Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?

Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.

Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?

Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇

Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.

SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?

Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?

Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?

Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?

Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.

NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?

Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?

NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati
wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.

HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.

Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Acha wivu wa kijinga unaongea upumbavu mtupu. What is happening in some of our emerging markets like Tanzania is a glocalized practice or a particularised case, we need to use pharmacists in medical stores uko kwa pharmacies ,get away with ur South Africa case study, we aren't mature as them and job abundance isn't like tanzania, If pharmacy came about with unconscious cannibalism and academic slaves and their masters should be another discourse for debate. As it stand the MDs the incompetent MDs you are not winning.
 
Back
Top Bottom