Upotoshwaji unaoendelea kufanywa na baadhi ya Wafamasia kumpotosha Waziri wa Afya

Upotoshwaji unaoendelea kufanywa na baadhi ya Wafamasia kumpotosha Waziri wa Afya

Umejikita kwa mwanzilishi wa kozi ya Famasi, ila hutaki kuzingatia malengo au sababu za kuanzishwa kwake.

Kama ulivyoeleza kuwa dhumuni la kuanzisha kozi ya Famasi ni kupunguza majukumu ya daktari, basi ni wazi kuwa KUUZA DAWA ni 'moja' ya majukumu ALIYOPUNGUZIWA.

Kila mtu ajikite kwenye eneo lake, huo ndio mgawanyo wa majukumu.
Hoja yake sio kuingiliana majukumu
Hoja yake ni pale Daktari anapo onekana hawezi kutoa dawa ambazo yeye mwenyewe ndiye ameziandika.
 
MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI

Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wasalaam!

Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.

Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?

UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.

Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.

Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.

ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .

Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?

Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.

Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?

Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇

Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.

SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?

Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?

Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?

Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?

Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.

NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?

Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?

NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati
wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.

HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.

Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Mawazo ya koboko ndio mawazo ya madaktari wengi jobless mtaani wakiamini wao ndio vyeti vyao vilipaswa vitumike kusimamia pharmacy na wala sio mfamasia

Hapa yapaswa tufahamu huyu kijana mdogo anaejiita profesa koboko anawawakilisha madaktari wenzake majobless .
Wafamasia jitahidin kumjibu Kwa hoja huyu koboko
 
MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI

Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wasalaam!

Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.

Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?

UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.

Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.

Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.

ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .

Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?

Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.

Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?

Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇

Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.

SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?

Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?

Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?

Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?

Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.

NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?

Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?

NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati
wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.

HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.

Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wewe Dr kama ni Dr kweli una matatizo makubwa!! Unatamani ufanye kazi ya wafamasia!! Unataka kuwafukuza kwenye maduka ya madawa eti wakafanye utafiti wa dawa viwandani!! Nenda kasomee pharmarcy kama unatamani wanachokifanya wafamasia leo. Kwenye pharmacy hatuhitaji daktari, daktari abaki hospitalini. Wagonjwa tutakufuata hospitalini na utatuandikia cheti halafu tutakwenda pharmacy kupata dawa ulizotuandikia. Daktari una hila za kushika nafasi zote za udaktari na ufamasia!! Unadai eti mgonjwa akienda pharmacy akamkuta mfamasia atasaidiwaje?? Hey!! Wewe kama daktari haiwezekani uwatie moyo wagonjwa waende pharmarcy wanapougua! Pharmacy siyo hospitali au clinic!! Kama daktari unapaswa kuwa mstari wa mbele kuwaelimisha watu wasiende pharmacy kabla ya kumwona daktari kwanza. Si lazima awepo daktari au nurse kwenye pharmacy kama kuna mfamasia hapo!! Hapo pharmacy hakuna kazi ya daktari!! Kuna kazi ya kutoa dawa tu maana tayari anayeenda hapo amepitia kwa daktari. Tukazanie hilo!!
Hatuwezi kusema watu wasiende hospitali eti kwa sababu kwenye pharmacy watamkuta daktari!! Ni kosa kubwa daktari kudowea nafasi ya mfamasia! Najua kinachomkera huyu daktari kama ni daktari kweli!! Anataka kufungua pharmacy lakini kumtumia mfamasia kwa kuwa eti na yeye anazijua dawa na ndiye anayewaandikia wagonjwa prescription!! Huna jinsi, itabidi utoe tu hyo milioni moja kwa mwezi kwa mfamasia ili asimamie pharmarcy yako japon utauza mwenyewe!!
 
Mimi sio
Nina uhakika weee ni Clinical Officer au Mwanafunzi wa Utabibu

Mosi, haitwi Mfamacia bali ni Mfamasia

Pili, Kusomea ABC yaani Airways, Breathing and Circulation sio big deal. Hilo ni somo la kawaida hata Red Cross wanaliweza na linafundishwa katika First Aid tuu. Ni wajibu wa kila mtu kujua ABC kama ilivyo kuzima moto.

Tatu, Eti Madaktari na Manesi wamesoma Pharmacology. Huu ni uelewa duni ulionao juu ya Kozi ya Famasi. Naomba nikuambie Mfamasia anasoma Dawa zaidi ya kitu kingine chochote. Anaijua dawa ndani na nje kuliko Mtu yeyote chini ya jua

Nakutajia Masomo makuu ( core subjects) za Kozi ya Famasi ambazo husomwa throughout miaka 4 ya Shahada yake

1. Pharmaceutics hii ni science of dosage forms and design. Hii ndio shule ya dawa zinatengenezwaje, kwa nini dawa iwe ya kidonge, ya maji au kupakaa n.k. Kwa nini dawa hii itolewe mara moja, mbili au tatu kwa siku. Nini kinaenda kutokea kwenye mwili wa mwanadamu akipewa dawa hii. Dawa hii ihifadhiwe wapi na vipi.

Pharmacology. Mfamasia anasoma Basic Pharmacology ( pamoja na Madaktari) lakini huendelea kusoma Clinical Pharmacology and Therapeutics ( pekke yao Madaktari hawasomi hii). Hii ndio shule hasa ya magonjwa kwa nini dawa fulani hutolewa kwa Wagonjwa fulani. Daktari anasoma tuu Ugonjwa fulani hutibiwa kwa dawa fulani.

Pharmaceutical ( Medicinal ) Chemistry. Hii ni sayansi/kemia ya dawa. Kwa nini dawa hii hutolewa kwenye ugonjwa huu. Nini kipo katika dawa hii ambacho aidha kinaua wadudu wanaosababisha magonjwa au kipo katika dawa kinachofanya correction ya physiological abnormalities. Katika somo hilo Wafamaisa hujifunza ni kwa nini dawa fulani haiwezi kutengenezwa katika hali fulani mfano huwezi kuta Benzyl Penicillin maarufu kama Cristapen haiwezi kuwa ya vidonge au hakuna Aspirin ya maji. Kwa nini baadhi ya wadudu huuwawa na dawa fulani na dawa fulani haziwaui kulingana na Structure Activity Relationship

Pharmacognosy hii ni sayansi ya kupata dawa kutoka vyanzo vya asili kama mimea, madini n.k

Pharmaceutical Microbiology hii haina tofauti na Microbiology ya Madaktari lakini huenda mbali zaidi ku include aseptic techniques katika uzalishaji wa dawa na vaccines

Pharmacy Practice hii sasa ni somo la utendaji kila siku unapofanya kazi. Ni kuhusu Sheria, Miiko na taratibu za Taaluma ya Famasi ikiwemo management ya magonjwa mbalimbali
Mimi sio Daktari hata hivyo nimesoma post zenu moja ya Dactari na hii ya kwako ya Pharmacist
Nilichokiona hapa ni kuwa kila mmoja amebobea kivyake na maanisha Dactari anajua dawa gani inatibu nini hata kama hajui composition ya hiyo dawa kitu ambacho ndicho kinafanywa kwenye drug dispensing
Na maanisha Pharmacy inamuhitaji Mfamasia kwa ajili ya kuangalia storage na zile dawa zinazo hitaji kuchanganywa nk hata hivyo sijui kwa nini Dactari asiweze kutoa dawa aliyo iandika mf: Oxycline 10mg 2x3/14days? ( sorry mimi sio dactari)
Ila naamini wafamacia ni watu muhimu sana hasa kwenye kuandaa/kutengeneza dawa nk
 
Mimi sio

Mimi sio Daktari hata hivyo nimesoma post zenu moja ya Dactari na hii ya kwako ya Pharmacist
Nilichokiona hapa ni kuwa kila mmoja amebobea kivyake na maanisha Dactari anajua dawa gani inatibu nini hata kama hajui composition ya hiyo dawa kitu ambacho ndicho kinafanywa kwenye drug dispensing
Na maanisha Pharmacy inamuhitaji Mfamasia kwa ajili ya kuangalia storage na zile dawa zinazo hitaji kuchanganywa nk hata hivyo sijui kwa nini Dactari asiweze kutoa dawa aliyo iandika mf: Oxycline 10mg 2x3/14days? ( sorry mimi sio dactari)
Ila naamini wafamacia ni watu muhimu sana hasa kwenye kuandaa/kutengeneza dawa nk
Clinical pharmacists provide direct patient care that optimizes the use of medication and promotes health, wellness, and disease prevention.[1][2] Clinical pharmacists care for patients in all health care settings but the clinical pharmacy movement initially began inside hospitals and clinics. Clinical pharmacists often work in collaboration with physicians, physician assistants, nurse practitioners, and other healthcare professionals.[3] Clinical pharmacists can enter into a formal collaborative practice agreement with another healthcare provider, generally one or more physicians, that allows pharmacists to prescribe medications and order laboratory tests.
 
Professor nchi zingine wanafanyaje? eg Marekani, U.k n.k?
Nchi zingine Daktari hahusiki kabisa na pharmacy! Daktari hufungua Medical Consultation Office na kazi yake ni kutoa ushauri kwa wagonjwa na kuwaandikia wagonjwa cheti (prescription). Kazi yake inaishia hapo!! Halafu mgonjwa huenda pharmacy akiwa na cheti chake na huko atahudumiwa na mfamasia kwa mujibu wa prescription!!

Tatizo la huyu Dr ni kwamba yeye anaqtaka afanye vyote! Anataka awaandikie wagonjwa cheti kisha na huko pharmacy akae yeye ili awape dawa!! Kisa eti kwa sababu kazi ya kutoa dawa anaiweza kwa kuwa prescription ameandika mwenyewe!. Nimwulize huyu daktari, kwani yeye kama daktari hajui kuchoma sindano? je hawezi kumchukua mgonjwa wodini na kumhudumia wodini?? Basi adai kufanya na majukumu ya nurse/muuguzi maana anayaweza! Achome wagonjwa sindano, awatundikiea drip nk. Wagonjwa wakifa, awapeleke mochwari! kwana daktari si anajua namna ya kumpeleka maiti mochwari!! Afanye yeye!!

Ninachotaka kusema hapa ni magawanyo ya majukumu baina ya kada mbali mbali za tiba! Daktari baki hospitalini uandikie wagonjwa dawa! Mfamasia baki pharmacy ukihudumia wagonjwa kwa mujibu wa prescription ya daktari kwa dawa zinazohitaji prescription ya daktari. Tatizo la Maboko anataka kumfukuza mfamasia pale pharmacy halafu yeye afanye peke yake!! Huo ni ulafi!! Basi mfukuze na muuguzi wewe daktari uoshe vidonda na uchome sindano, si unaweza kuosha vidonda na kuchoma sindano kama unavyojua kutoa dawa??
 
Kupitia hizi mada it’s obvious hizi medicine and health care degrees zinafundisha core modules tu ndio mzizi wa haya matatizo na mabishano.

Sidhani kama hawa watu wanasoma professional skills kama; decision making, team working, professional communication, safeguarding, evidence based medicine, person centred intervention approaches, reflective (ili kujenga tabia ya kujikosoa na kukosoa mfumo) and so forth to do with the importance of everyday operational necessary professional reasoning and practice skills.

By now kupitia huu mjadala lipo wazi kwa wasomaji wote majukumu ya Dr, Nurse na Pharmacists.

However mpaka sasa swala la ziada inaonekana apparently kuna maeneo ambayo yapo mbali na hospitali na hayo mazingira nilivyoelewa kwenye haya mabishano linaruhusu pharmacists kutoa dawa kwa mgonjwa ambazo otherwise asingezipata bila ya prescription.

Kutokana na hali hiyo wizara or whoever is in charge wanadhani Dr’s nao wawe sehemu ya pharmacy kuongoza maamuzi kama hayo. This is rightly so kama kuna mazingira hayo kwa sababu kwa kanuni za evidence based Dr na Nurse ndio wapo trained to diagnose condition not pharmacists as far as medical practice is concerned (at kama pharmacists wanasoma aspects of medicine) rules are rules; kama kuna mazingira hayo it is highly irresponsible kutoa baadhi ya dawa bila ya Dr au Nurse.

Ni hivi hiyo wizara ni technical na inachangamoto nyingi, kazi ya waziri sio kuhimiza chanjo za polio sijui, COVID na mambo mengine health promotion ambayo ata aliesomea marketing tu anaweza fanya.

Kuna maswala muhimu ya kupokea ushauri wa operation changes and making policy decisions ambayo yanahitaji medical system understanding as the premise of reasonability before deciding; uwezo ambao waziri aliyepo hana.

Mambo mengine ni ya kujitakia kila nchi hii mzaha, atujaongelea amount medical errors ambazo zinafanywa na wataalamu huko mahospitalini ambayo inahitajika mifumo ya kupambana nayo.

I know for certain Dr Gwajima hiyo kazi wizara ya afya anaiweza ata yeye huko alipopelekwa sasa hivi amebaki kufura tu kwa marupurupu ya uwaziri na uelewa wake wa social services ni mdogo kila siku kesi za kulawiti watoto haziishi na wala hana solution zaidi ya kuzunguka; Iwala wizara ya afya kwa yeye kipele kilipata mkunaji ni moja ya maamuzi ya kijinga sana aliyofanya bi tozo kumtoa Dr Gwajima.

Huyo Mwalimu wampe ata wizara ya sheria kama wanampenda sana, Simbachawene apelekwe social services (huyu hana shida ata na uwaziri wenyewe ana bahati tu ya kuteuliwa) na warudishe Dr Gwajima afya ndio sababu aliyofanya apewe ubunge wa kuteuliwa ili aongeze hiyo wizara kwa kutumia utaalamu wake.
 
Mimi sio

Mimi sio Daktari hata hivyo nimesoma post zenu moja ya Dactari na hii ya kwako ya Pharmacist
Nilichokiona hapa ni kuwa kila mmoja amebobea kivyake na maanisha Dactari anajua dawa gani inatibu nini hata kama hajui composition ya hiyo dawa kitu ambacho ndicho kinafanywa kwenye drug dispensing
Na maanisha Pharmacy inamuhitaji Mfamasia kwa ajili ya kuangalia storage na zile dawa zinazo hitaji kuchanganywa nk hata hivyo sijui kwa nini Dactari asiweze kutoa dawa aliyo iandika mf: Oxycline 10mg 2x3/14days? ( sorry mimi sio dactari)
Ila naamini wafamacia ni watu muhimu sana hasa kwenye kuandaa/kutengeneza dawa nk
Asante kwa kuelewa kwamba Daktari anajua dawa X inatibu ugonjwa fulani ila nini kipo na kwa nini kipo huyo ni Mfamasia.

Mfano, Daktari anajua ukiwa na uncomplicated Malaria ( Malaria isiyo kali) dawa ya kuanzia ni Mseto ( ALu) hata hivyo, hata hivyo hajui Alu ni nini na inaenda kufanya nini kwa mdudu au binadamu. Mfamasia anajua ALu ni nini, inatengenezwaje, inaenda kufanya nini kwa Plasmodium wa Malaria na inaenda kufanya nini kwa seli hai nyekundu za damu. Vile vile anajua kwa nini ukimpa mgonjwa dawa hiyo na chakula cha aina gani utaongeza kiwango cha absorption cha dawa mwilini maana anajua kemikali ya dawa. Lakini pia anafahamu kwa nini ukimpa mtu Mseto wenye jina la Coartem ya Kiwanda cha Novartis ya Uswizi inaweza kuleta matokeo bora zaidi kuliko Mseto wenye jina Lumartem kutoka India.

Kuhusu utoaji wa dawa kwenda kwa mgonjwa ndiyo hiyo inayoitwa Pharmacy Practice maana yake Taaluma halisi ya Famasi. Communication skills katika utoaji dawa na kuhakikisha kuna adherence, kuhakikisha rational use ya dawa, kuhakikisha proper recording ya taarifa za dawa iliyotolewa kwenda kwa mgonjwa na mengineyo. Sasa Daktari hawezi fanya dispensing kwa sababu hajasomea taaluma hiyo na sio eneo lake
 
Kupitia hizi mada it’s obvious hizi medicine and health care degrees zinafundisha core modules tu ndio mzizi wa haya matatizo na mabishano.

Sidhani kama hawa watu wanasoma professional skills kama; decision making, team working, professional communication, safeguarding, evidence based medicine, person centred intervention approaches, reflective (ili kujenga tabia ya kujikosoa na kukosoa mfumo) and so forth to do with the importance of everyday operational necessary professional reasoning and practice skills.

By now kupitia huu mjadala lipo wazi kwa wasomaji wote majukumu ya Dr, Nurse na Pharmacists.

However mpaka sasa swala la ziada inaonekana apparently kuna maeneo ambayo yapo mbali na hospitali na hayo mazingira nilivyoelewa kwenye haya mabishano linaruhusu pharmacists kutoa dawa kwa mgonjwa ambazo otherwise asingezipata bila ya prescription.

Kutokana na hali hiyo wizara or whoever is in charge wanadhani Dr’s nao wawe sehemu ya pharmacy kuongoza maamuzi kama hayo. This is rightly so kama kuna mazingira hayo kwa sababu kwa kanuni za evidence based Dr na Nurse ndio wapo trained to diagnose condition not pharmacists as far as medical practice is concerned (at kama pharmacists wanasoma aspects of medicine) rules are rules; kama kuna mazingira hayo it is highly irresponsible kutoa baadhi ya dawa bila ya Dr au Nurse.

Ni hivi hiyo wizara ni technical na inachangamoto nyingi, kazi ya waziri sio kuhimiza chanjo za polio sijui, COVID na mambo mengine health promotion ambayo ata aliesomea marketing tu anaweza fanya.

Kuna maswala muhimu ya kupokea ushauri wa operation changes and making policy decisions ambayo yanahitaji medical system understanding as the premise of reasonability before deciding; uwezo ambao waziri aliyepo hana.

Mambo mengine ni ya kujitakia kila nchi hii mzaha, atujaongelea amount medical errors ambazo zinafanywa na wataalamu huko mahospitalini ambayo inahitajika mifumo ya kupambana nayo.

I know for certain Dr Gwajima hiyo kazi wizara ya afya anaiweza ata yeye huko alipopelekwa sasa hivi amebaki kufura tu kwa marupurupu ya uwaziri na uelewa wake wa social services ni mdogo kila siku kesi za kulawiti watoto haziishi na wala hana solution zaidi ya kuzunguka; Iwala wizara ya afya kwa yeye kipele kilipata mkunaji ni moja ya maamuzi ya kijinga sana aliyofanya bi tozo kumtoa Dr Gwajima.

Huyo Mwalimu wampe ata wizara ya sheria kama wanampenda sana, Simbachawene apelekwe social services (huyu hana shida ata na uwaziri wenyewe ana bahati tu ya kuteuliwa) na warudishe Dr Gwajima afya ndio sababu aliyofanya apewe ubunge wa kuteuliwa ili aongeze hiyo wizara kwa kutumia utaalamu wake.
Mimi nimeeelewa uliposema rules are rules tuu

Sasa rules zote duniani ni kwamba Mfamasia ndiye custodian wa dawa na sio Daktari. Sijui kama kuna nchi inaruhusu Daktari kufanya dispensing katika mazingira ya kawaida.

So if unakubali rules are rules basi tuziache rules ziendelee. Daktari afanye jukumu lake la Diagsnosis and prescribing, Nesi afanye jukumu lake la Nursing Care na Pharmacist afanye jukumu lake la Drug Dispensing.

Kutakuwa na tatizo hapo?
 
  • Thanks
Reactions: Uni
Wamempotosha hadi Hospitali ya MLOGANZILA, badala arudishe MUHAS yeye anafanya tofauti.
Huyo dada kuna watu wengine wanadhani nina personal issue nae jinsi ninavyopinga uwepo wake hapo kuna maisha ya watu yanachezewa na yeye ni clueless kwenye hiyo wizara.

Kipindi hiki cha serikali haribifu it doesn’t matter nani waziri wa fedha, kama J.K alimuweka Saada Mkuya waziri wa fedha surely Ummy Mwalimu mwenye degree ya Law na postgraduate anatosha hapo apige deal wanazotaka na shoga yake bi tozo; lakini watutotelee huyo dada kwenye maisha ya watu.
 
Tatizo la Tanzania linakwenda deep na ni very complicated! Huu mgangano umetokea kwa sababu ya hali mbaya ya uchumi kwa madaktari na mafamasia. Ni kwamba daktari kazi yake tu haiwezi kukidhi mahitaji yake ya maisha. Na mfamasia hivyo hivyo. Matokeo yake wanagonganay yake japo kwenye kutafuta namna ya kutosheleza kipato. Chanzo cha haya ni nini? Uongozi wa nchi mbovu! Listen, suala la mfumo mbovu wa uongozi wa nchi yetu lina athari nyingi sana katika maisha yetu. Hata wafanye nini kujaribu kurekebisha, ukweli ni kwamba bila ku-deal na kiini cha tatizo i.e. mfumo na uongozi mbovu, ni bure.
Afadhali umesema ukweli!! Njaa inawasumbua madaktari sana!! Wanawaonea wivu wafamasia kwa sababu daktari hana ruhusa ya kufungua pharmacy ili agange njaa bila kumtumia mfamasia japo kwa taaluma yake anaweza kuuza dawa kwa wagonjwa bila shida na bila kulazimika mgonjwa kuwa na cheti. Ila Daktari anachokifumbia macho ni kuwa basi hatuna haja ya kuwa na wauguzi maana daktari anaweza pia kuchoma sindano na kuosha vidonda!
Daktari Koboko ridhika na urefu wa kamba yako ule hapo!! Waachie na wafamasia kwenye urefu wa kamba yao!! Kama Dr Koboko anataka kufungua pharmacy asione kinyaa kumwajili mfamasia na amlipe sh, milioni moja kwa mwezi kwa kusimamia pharmacy yake japo atauza mwenyewe! Hakuna namna lazima mfamasia ale tu pesa yako!!
 
Mkishakuaga na na vielimu uchwara ,mnavimba sana.


Sasa hiyo IV Gentamicin 80mg, na Mtoa mada wapi na wapi???.


Ulivyo Mpuuzi,Et 'Tena specialist ?!!.


KIHALISIA, KATIKA AFYA, DAKTARI ni Mfamasia, ni mtu wa Labo .


DAKTARI HAMHITAJI MFAMASIA...MFAMASIA LAZIMA AMUHITAJI DAKTARI.
Huna akili
 
Kupitia hizi mada it’s obvious hizi medicine and health care degrees zinafundisha core modules tu ndio mzizi wa haya matatizo na mabishano.

Sidhani kama hawa watu wanasoma professional skills kama; decision making, team working, professional communication, safeguarding, evidence based medicine, person centred intervention approaches, reflective (ili kujenga tabia ya kujikosoa na kukosoa mfumo) and so forth to do with the importance of everyday operational necessary professional reasoning and practice skills.

By now kupitia huu mjadala lipo wazi kwa wasomaji wote majukumu ya Dr, Nurse na Pharmacists.

However mpaka sasa swala la ziada inaonekana apparently kuna maeneo ambayo yapo mbali na hospitali na hayo mazingira nilivyoelewa kwenye haya mabishano linaruhusu pharmacists kutoa dawa kwa mgonjwa ambazo otherwise asingezipata bila ya prescription.

Kutokana na hali hiyo wizara or whoever is in charge wanadhani Dr’s nao wawe sehemu ya pharmacy kuongoza maamuzi kama hayo. This is rightly so kama kuna mazingira hayo kwa sababu kwa kanuni za evidence based Dr na Nurse ndio wapo trained to diagnose condition not pharmacists as far as medical practice is concerned (at kama pharmacists wanasoma aspects of medicine) rules are rules; kama kuna mazingira hayo it is highly irresponsible kutoa baadhi ya dawa bila ya Dr au Nurse.

Ni hivi hiyo wizara ni technical na inachangamoto nyingi, kazi ya waziri sio kuhimiza chanjo za polio sijui, COVID na mambo mengine health promotion ambayo ata aliesomea marketing tu anaweza fanya.

Kuna maswala muhimu ya kupokea ushauri wa operation changes and making policy decisions ambayo yanahitaji medical system understanding as the premise of reasonability before deciding; uwezo ambao waziri aliyepo hana.

Mambo mengine ni ya kujitakia kila nchi hii mzaha, atujaongelea amount medical errors ambazo zinafanywa na wataalamu huko mahospitalini ambayo inahitajika mifumo ya kupambana nayo.

I know for certain Dr Gwajima hiyo kazi wizara ya afya anaiweza ata yeye huko alipopelekwa sasa hivi amebaki kufura tu kwa marupurupu ya uwaziri na uelewa wake wa social services ni mdogo kila siku kesi za kulawiti watoto haziishi na wala hana solution zaidi ya kuzunguka; Iwala wizara ya afya kwa yeye kipele kilipata mkunaji ni moja ya maamuzi ya kijinga sana aliyofanya bi tozo kumtoa Dr Gwajima.

Huyo Mwalimu wampe ata wizara ya sheria kama wanampenda sana, Simbachawene apelekwe social services (huyu hana shida ata na uwaziri wenyewe ana bahati tu ya kuteuliwa) na warudishe Dr Gwajima afya ndio sababu aliyofanya apewe ubunge wa kuteuliwa ili aongeze hiyo wizara kwa kutumia utaalamu wake.
Umetaja medical errors

Naomba nikueleze amount ya medical errors katika nchi hii ni nyingi sana. Najua medical errors zina stem kutoka maeneo mbalimbali. Lakini hebu pitia hii study kidogo tuzidi kujielimisha hawa Madaktari wanao claim wao ndio Watu sahihi wanaojua dawa ili tuone wanafanyaje kazi hapa nchini

 
Mimi nimeeelewa uliposema rules are rules tuu

Sasa rules zote duniani ni kwamba Mfamasia ndiye custodian wa dawa na sio Daktari. Sijui kama kuna nchi inaruhusu Daktari kufanya dispensing katika mazingira ya kawaida.

So if unakubali rules are rules basi tuziache rules ziendelee. Daktari afanye jukumu lake la Diagsnosis and prescribing, Nesi afanye jukumu lake la Nursing Care na Pharmacist afanye jukumu lake la Drug Dispensing.

Kutakuwa na tatizo hapo?
Sijabishia hilo lakini pia aruhusiwi kutoa baadhi ya dawa bila ya prescription ya MD, sasa kama kuna mazingira ambayo watu awawezi kwenda hospitali (I don’t know how is that possible or just permitted kwa uzembe wa wasimamizi) ambayo yanaruhusu pharmacists kufanya diagnosis na kutoa dawa this is against evidence based medicine approach kwa sababu a pharmacist is not trained to that.
 
Hamna watu wabinafsi na wenye tamaa kama hao madaktari mbona mmejimilikisha hiyo wizara ya Afya utasema ya kwenu bado mnataka muingie na Pharmacy ?
We unasoma pharmacology semester 1 leo unajiit wewe ni unajua dawa ?
Kila mtu abaki na utaratibu wake mbona wafamasia hawalalamiki wafanye diagnosis?
Eti naye professa🤣
 
Mimi nimeeelewa uliposema rules are rules tuu

Sasa rules zote duniani ni kwamba Mfamasia ndiye custodian wa dawa na sio Daktari. Sijui kama kuna nchi inaruhusu Daktari kufanya dispensing katika mazingira ya kawaida.

So if unakubali rules are rules basi tuziache rules ziendelee. Daktari afanye jukumu lake la Diagsnosis and prescribing, Nesi afanye jukumu lake la Nursing Care na Pharmacist afanye jukumu lake la Drug Dispensing.

Kutakuwa na tatizo hapo?
Hakuna tatizo!! shida ni kuwa daktari anataka afanye yeye kazi zote eti kwa kuwa anaweza!! Basi awahudumie na wagonjwa kwenye wodi si anaweza kuwapa dawa na kuwachoma sindano!! Dr Koboko analazimisha kuunganisha kamba yake na ile ya mfamasia!! Dr Koboko inabidi uridhike tu kula kama urefu wa kamba yako ya udaktari inavyokuruhusu!! Usitamani kuunganisha na kamba ya mfamasia!! huo sasa ni uroho!!
 
Sijabishia hilo lakini pia aruhusiwi kutoa baadhi ya dawa bila ya prescription ya MD, sasa kama kuna mazingira ambayo watu awawezi kwenda hospitali (I don’t know how is that possible or just permitted kwa uzembe wa wasimamizi) ambayo yanaruhusu pharmacists kufanya diagnosis na kutoa dawa this is against evidence based medicine approach kwa sababu a pharmacist is not trained to that.
Hii ni kosa kabisa kusema eti Pharmacist hawajui diagnosis 😃😃😃

Shule ya Mfamasia inamtosha kufanya a rational judgement ya magonjwa mengi tuu. Ndiyo maana kuna Pharmacy Only Medicines ambazo Mfamasia anaweza kuzitoa bila ya kuhitaji cheti cha Daktari
 
Acha wivu wa kijinga unaongea upumbavu mtupu. What is happening in some of our emerging markets like Tanzania is a glocalized practice or a particularised case, we need to use pharmacists in medical stores uko kwa pharmacies ,get away with ur South Africa case study, we aren't mature as them and job abundance isn't like tanzania, If pharmacy came about with unconscious cannibalism and academic slaves and their masters should be another discourse for debate. As it stand the MDs the incompetent MDs you are not winning.
Ungejibu kwa hoja ingekuwa poa sana kuliko hii panic attack uliyofanya
 
Naunga mkono hoja,

Yaan hapa nchini wataalamu wote wanependa kujimilikisha majukum kwa ajil ya ulaji, Japo wafasia wamezidi

Hata MD na Co kuna majukum mmekua mkiyaingilia na SI kaz zenu kisheria,, MD wamekua wakijimilikisha kila kitu Cha afya wao ndio wahusika waku,

Tafadhal naomb wataalamu tukae chini tugawe migawanyo ya KAZI kwa kila kada ya afya, kwani nishakuta MD na CO wanapima wagonjwa vipimo yinavyopaswa kupimwa na Lab technician, Baraza la madaktari msijimilikishe kila kitu vingine hamvijuii,

MD Mnanga'nga'ana na mashirika na mnaunganishana humo so msilalamike mfamasia nae akiingilia kaz amboyo si yake mana kila mtanzania hata awe msomi vp anachoangalia yeye ni pesa inaingia,

Mwsho niseme kila mmoja ajue majukum yake Ili kuifikisha sectar ya afya mbali na ikubalike kijamii
Hii Wizara ifumuliwe kuna ukiritimba kama wa huyu anayejiita profesa na phd ya mchongo
 
Back
Top Bottom