Upumbavu ni hali ya kutotumia fikra vizuri na kufanya maamuzi mabaya. Je, Rais kuwaeleze ukweli watendaji wake ni wapumbavu anakosea?

Upumbavu ni hali ya kutotumia fikra vizuri na kufanya maamuzi mabaya. Je, Rais kuwaeleze ukweli watendaji wake ni wapumbavu anakosea?

H
Sihitaji wala sitaki kuwa mshauri wake. Kama hadi leo hujaona katiba inavyovunjwa basi hutaona hata iweje. Ni utashi wako kutoona.
The bottom line is; weledi unawezekana pale kunapokuwa na predicable working environment. Lakini sio pale mtu mmoja anajigeuza ndio mfumo.
Hisia zako tu. Toa vivid examples ili tukuelewe.
 
Hata wewe ni mpumbavu hutumii sense kufanya good judgement.
mimi ni mpumbavu sawa nakubali. ila wewe ni mwerevu sana kwa kuwa umeishiwa hoja na kuanza viroja vya matusi - hautofautiani kabisa na huyo unayemtetea!

ninyi ndiyo mnayoishushia hadhi JF siku hizi ninyi!
 
Kabla ya kuanza kumhukumu mtu ni lazima kwanza mtu uwe unajihakikishia je huyu mtu amefanya kosa kweli? Na kama amefanya kosa kweli ndio unapaswa kutoa hukumu yako.

Akiwa hajafurahishwa na utendaji wa Wahandisi wasomi na tena viongozi wa vitengo muhimu Rais JPM alitumia neno upumbavu kuonyesha kuwa hawa watumishi ambao ni wasomi hawakuwa na awareness na hawakutumia weledi wao ili kutatua tatizo ambalo kwa kutumia good sense and good judgement lingeweza kutatuliwa kwa muda mfupi.

Kumeibuka mijadala sehemu mbalimbali kuwa kwa kutumia neno upumbavu eti aliwatukana na kuwadhalilisha.Je neno upambavu ni tusi? Maana ni kukosa kufikiria vyema na kuwa na maamuzi mabaya.

Hawa wasomi walishindwa vipi kutumia taaluma yao na kuona ile sehemu fupi yenye gema ambalo lingeweza kutengeneza diversion fupi na ya kudumu. Lack of good sense which leads to mistake(Foolishness) ni tusi?

Kwa maoni yangu Rais hajawatukana ila amewakumbusha kutumia akili katika kutatua matatizo. Na hili ni tatizo kubwa maana watendaji wengi wa serikali hawatumii akili ili kutatua kero za wananchi.
Hivi unadhani nini kitatokea kama mtu mwengine akatumia neno hilo hilo kwa raisi?kwakisingizio tu chakutotekeleza majukumu katika utendaji kazi wake ni nini kitatokea?lugha zakutweza na kudharaulisha hazifai kutoka kinywani pa kiongozi zipotaratibu zakuwajibisha watu katika utumishi wa umma bila kutweza utu wa mtu na katiba inasema wazi binadamu wote ni sawa wanastahili heshima na katika hili hakuna exception lakini ukilichukulia suala hili kishabiki utaliona sawa kabisa.
 
Kabla ya kuanza kumhukumu mtu ni lazima kwanza mtu uwe unajihakikishia je huyu mtu amefanya kosa kweli? Na kama amefanya kosa kweli ndio unapaswa kutoa hukumu yako.

Akiwa hajafurahishwa na utendaji wa Wahandisi wasomi na tena viongozi wa vitengo muhimu Rais JPM alitumia neno upumbavu kuonyesha kuwa hawa watumishi ambao ni wasomi hawakuwa na awareness na hawakutumia weledi wao ili kutatua tatizo ambalo kwa kutumia good sense and good judgement lingeweza kutatuliwa kwa muda mfupi.

Kumeibuka mijadala sehemu mbalimbali kuwa kwa kutumia neno upumbavu eti aliwatukana na kuwadhalilisha.Je neno upambavu ni tusi? Maana ni kukosa kufikiria vyema na kuwa na maamuzi mabaya.

Hawa wasomi walishindwa vipi kutumia taaluma yao na kuona ile sehemu fupi yenye gema ambalo lingeweza kutengeneza diversion fupi na ya kudumu. Lack of good sense which leads to mistake(Foolishness) ni tusi?

Kwa maoni yangu Rais hajawatukana ila amewakumbusha kutumia akili katika kutatua matatizo. Na hili ni tatizo kubwa maana watendaji wengi wa serikali hawatumii akili ili kutatua kero za wananchi.


!
!
Aliyewateua Wapumbavu Ni Mpumbavu Wa Kwanza.
 
Hivi unadhani nini kitatokea kama mtu mwengine akatumia neno hilo hilo kwa raisi?kwakisingizio tu chakutotekeleza majukumu katika utendaji kazi wake ni nini kitatokea?lugha zakutweza na kudharaulisha hazifai kutoka kinywani pa kiongozi zipotaratibu zakuwajibisha watu katika utumishi wa umma bila kutweza utu wa mtu na katiba inasema wazi binadamu wote ni sawa wanastahili heshima na katika hili hakuna exception lakini ukilichukulia suala hili kishabiki utaliona sawa kabisa.
Kasome katiba ibara ya 33 ndio utajua Rais ni nani. Pia soma ibara ya 35(1) ya katiba ya JMT juu ya utendaji kazi wa majukumu ya maafisa wa serikali. Wote wanafanya kazi kwa niaba ya rais. Ndio boss wao.
 
Kabla ya kuanza kumhukumu mtu ni lazima kwanza mtu uwe unajihakikishia je huyu mtu amefanya kosa kweli? Na kama amefanya kosa kweli ndio unapaswa kutoa hukumu yako.

Akiwa hajafurahishwa na utendaji wa Wahandisi wasomi na tena viongozi wa vitengo muhimu Rais JPM alitumia neno upumbavu kuonyesha kuwa hawa watumishi ambao ni wasomi hawakuwa na awareness na hawakutumia weledi wao ili kutatua tatizo ambalo kwa kutumia good sense and good judgement lingeweza kutatuliwa kwa muda mfupi.

Kumeibuka mijadala sehemu mbalimbali kuwa kwa kutumia neno upumbavu eti aliwatukana na kuwadhalilisha.Je neno upambavu ni tusi? Maana ni kukosa kufikiria vyema na kuwa na maamuzi mabaya.

Hawa wasomi walishindwa vipi kutumia taaluma yao na kuona ile sehemu fupi yenye gema ambalo lingeweza kutengeneza diversion fupi na ya kudumu. Lack of good sense which leads to mistake(Foolishness) ni tusi?

Kwa maoni yangu Rais hajawatukana ila amewakumbusha kutumia akili katika kutatua matatizo. Na hili ni tatizo kubwa maana watendaji wengi wa serikali hawatumii akili ili kutatua kero za wananchi.
Kwa upumbavu huenda yeye anaongoza kwa maamuzi, maneno na matendo yake
 
chagu wa malunde,
Yeye mwenyewe mbona anafanya madudu kibao. Lakini hataki kukosolewa

Ebu punguzeni kujikomba bna
Na wewe punguza chuki

Au na wenyewe wachukie kama unavyochukia wewe, maisha hayapo hivyo unavyotaka hata siku moja.

Usilazimishe kila mtu awe na chuki,kwani wewe ulivyoanza kumchukia kuna mtu alikufosi mkuu kuanza kumchukia?
 
Back
Top Bottom