Upweke umenichosha nahitaji mwanaume mwenye 43-55

Negativity ni sumu, usijali mkuu take it easy.
Endelea kusema negativity huo ndio ukweli , wakati mkiwa mnang'aa mlikuwa hamkamatiki.. ukitokewa na mwanaume serious unaishia kutaka sifa za tamthilia za kifilipino. Leo mnakuja kulialia hapa mnataka wazee wetu ili mle pension zao za kustaafu... Ishieni huko huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyezi Mungu akupe haja ya moyo wako @ Dada!

Funga kwa 30-40 days futuru jioni saa 12 na kuendelea.

Weka nia kusudia unachotaka Mungu akupe!

Hali hiyo ianzie ndani ya moyo wako bila kushinikizwa na mtu!

Msihi Mungu akupe mume mwema ambayo unataka aweje.

Ambaye mtasikilizana, ambaye hatakuwa na michepuko , mwenye huruma , mwenye kuwajibika n.k


Halafu iwe siri yako usimwambie mtu kuwa umefunga sababu ya kitu fulani.

Mungu anapenda usiri wakati mwingine.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan ukweli miaka 40 umri umeenda sana.

Kifupi huna upweke ni stress ndio zinakusumbua kichwani

Wazee wenye 43 kuendelea wanawatoto wako hadi university wako bize kusomesha kuwapata nadhan itakuwa ngumu kidogo labda kama unataka kupotezewa muda.

Advice ninayoweza kukupa kama unafamilia jaribu kuwekeza nguvu zako zote hapo.

Kama huna mtoto jaribu kutafuta kwa njia zote uweze kupata fasta maana umebakiza miaka 3 ufikie menopause. majukumu ya kulea ndio yatakuondolea upweke.

Kama utakuwa unania ya kupata mtoto PM yangu iko wazi unaweza ni fuata tukayajenga japo umenizidi miaka kibao.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah...yaani nimekosa sifa tena..ila kama ukiongeza sifa hadi 75yrs nishtue...Dah[emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Watu bana mtu kaanzisha uzi kutafuta mtu, matokeo yake watu wanaleta ushauri na wengine kuleta judgment zisizo na maana...

Kumbuka kila mtu ana maisha yake na maisha yako yanaweza kuwa perfect kwako na sio kwa mwingine.., tusipende kuwapangia watu jinsi ya kuishi...
 
Ulivyokuwa binti umetombesha weee ukawa unatongozwa unaleta nyodo sasa ushakuwa bibi ndo unakumbuka kuolewa.

Pambana na hali yako tu huku mtandaoni hakuna waoaji kuna wasafisha rungu tu.

Sent using Rocket Propelled Grenade
 
Wewe Akili zako haipo sawa.Kwani Dada wa watu nakosea nini hapo?amekwambia Mengine nenda Pm.Sasa Wewe unajuaje kama hata Yeye ana changamoto ulizosema.Maisha hayafanani Na unachotaka kuwalish watu Utoto mwingi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…