Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Ujumbe mujarrabu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa ni Utapeli, ni Ujambazi, ni Wizi wa wazi wazi kabisa, mchana kweupeeKwenye maisha. Kila kitu ni utapeli kama hakuna upendo na Haki
Ni Ukweli Kabisa. Chanzo Kikuu Ni Mapenzi, Tunawapenda Ambazo Hawatupendi Tukitegema Tufunge Nao Ndoa Tuanzishe Familia Lakini Mwisho Huwa Ni Maumivu. Mwanaume Una 30+ Umetoka Kazini Umechoka, Biashara Haijaenda Sawa Unafika Home Hata Wa Kusema Baba Waooo Hakuna. Wa Kukwambia Pole Na Kazi Kipenzi Hakuna. Unapumzika Unajiuliza Maswali Unajijibu Mengine Yanakosekana Majibu. Ndoa Ni Jambo Jema Sana. Ukipata Mwanamke Anayekuheshimu Na Kukutii Muoe. Vijana Tusibabaike Na Shape Na Rangi.
Ndoa ni Utapeli, ni Ujambazi, ni Wizi wa wazi wazi kabisa , mchana kweupee
Human being is supposed to be a lonely creature, umekuja mwenyewe na utaondoka mwenyewe. Hao watu wengine kwa kweli ni ghasia tu
Natoa Upweke nikiwa busy kabisa,Utapeli huo wengine tulishaukataa.
Upendo sio mmoja aumie kuliko mwingine.
Hiyo mimi nilikataa hata kabla sijabalehe.
Natoa Upweke nikiwa busy kabisa,
siyo kuwa karib na kiumbe kinachotumia pesa zangu
Mimi nasema kazi sasaInazungumzia upweke ndio.
Upweke unaondolewa na Upendo.
Vijana mnapaswa mrudi kwa wazee wenu mkijihisi mmekua kiasi cha kuanzisha familia wao wana jicho la kuona mbali zaidi ili wakuangalizie binti anayekufaa au wakushauri,oa mke anayetokana na asili ya kwenu (kabila) mnaofanana asili,ondoa vigezo kama elimu na kazi kwani kuingia labour kuzaa hakuhitaji certificate wala I'd ya anakofanya kazi kunahitaji mwanamke aliye tayari kuwa mama.Ni Ukweli Kabisa. Chanzo Kikuu Ni Mapenzi, Tunawapenda Ambazo Hawatupendi Tukitegema Tufunge Nao Ndoa Tuanzishe
Ujumbe mujarrabu kabisa
Ukitaka kujichanganya kwenye haya maisha jaza watu kwenye consideration zako unless wewe ni mwanasiasa au mwanamuziki.De
Binadamu ni Social being Creatures.
Binadamu hana uwezo wa kuishi pekeake. Hiyo sio binadamu
mimi nasema kazi sasa
mimi hapana,upweke lazima uwe nao
Ukitaka kujichanganya kwenye haya maisha jaza watu kwenye consideration zako unless wewe ni mwanasiasa au mwanamuziki.
Watu ni liability, narudia, liability
mimi hapana,
nna options kadhaa za kutoa huo upweke, kucheza GTA-5, kwenda Tabata kubarizi ki-maakuli, nk
ila siyo kutegemea kiumbe KE ambaye anatumia pesa zangu
Unajidanganya!!!KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Mimi SipigwiUnajidanganya!!!
Upo wakati utaelewa na kujishangaa kwa huu utoto,muda ndiyo mwalimu.
Toka sayari hii hii iitwayo Dunia au ?wanawake wengi