Upweke umewaanza vijana mapema, Uzeeni sijui itakuwaje. Ni janga kubwa

Upweke umewaanza vijana mapema, Uzeeni sijui itakuwaje. Ni janga kubwa

Upendo ndio huondoa upweke.
Unaweza ukawa na mke au mume hamkai karibu labda kutokana na kazi lakini kutokana na kukujali na kukufuatilia ukajiona upo karibu naye
Sasa kwa kuangalia hali halisi kwenye dunia ya leo, ni ndoa ngapi zisizo na furaha kulinganisha na zile zenye furaha, na je unaona kipi bora kati ya mtu kuwa single au kuwa kwenye ndoa isiyo na furaha
 
Tanzania Bado hatujafikia level ya kusema upweke ni changamoto.

Aina yetu ya mAisha ya kupiga umbea bar, kwenye vijiwe vya kahawa m, vibarazani, majirani mnaongea, makanisani jtatu Hadi jpli watu wanakutana.

Ebanaeeeh Nenda nchi za ulaya na Marekani ndio utajua maana ya upweke. Hakuna vituo vya bodaboda, hakuna mama ntilie wa kupiga nae story , bodaboda wa kupiga nao story, majirani hawaongei.

Ni wewe na apartment yako tu.
 
Mke atakuuguza ukiumwa, mke atakusafisha ukipuu kitandani mgonjwa,

Jambo Hilo nurse hata mama au dada wa Damu haezi fanya. Pesa Yako pia haiwezi fanya.

Wote wanaojaribu kupingana na Mfumo aliouweka Mungu wa NDOA takatifu ni wamechanganyikiwa.

Ni ombi LANGU mpone.
Vipi wale wanawake wanaoua waume zao!
 
Sasa kwa kuangalia hali halisi kwenye dunia ya leo, ni ndoa ngapi zisizo na furaha kulinganisha na zile zenye furaha, na je unaona kipi bora kati ya mtu kuwa single au kuwa kwenye ndoa isiyo na furaha
Ndoa nyingi azina furaha na bora kuwa single kuliko kuwa kweny ndoa isiy na furaha..
 
Tatizo kubwa linalosababisha ni ugumu WA Maisha hasa Kwa wanaume, masomo ya Muda mrefu hasa Kwa wanawake, mwanamke aliyesoma Sana anapoteza sifa za kuwa mke Kwa kuwa anaogopwa, ana mafunzo mengi ya dhahania kuliko mafunzo ya jinai ya kuishi na mume.

Si ajabu kumkuta binti WA miaka 20 hajui kupika. Wanawake wengi wasomi ni wagumu Sana kuomba msamaa ili Hali wazamani wasiosoma walikuwa Ali kuadhibiwa bila makosa Kwa Muda mrefu Hadi pale mume anapoona kwamba nahitaji kunionea mkewe tena( uvumilivu)
.
 
Tatizo kubwa linalosababisha ni ugumu WA Maisha hasa Kwa wanaume, masomo ya Muda mrefu hasa Kwa wanawake, mwanamke aliyesoma Sana anapoteza sifa za kuwa mke Kwa kuwa anaogopwa, ana mafunzo mengi ya dhahania kuliko mafunzo ya jinai ya kuishi na mume.

Si ajabu kumkuta binti WA miaka 20 hajui kupika. Wanawake wengi wasomi ni wagumu Sana kuomba msamaa ili Hali wazamani wasiosoma walikuwa Ali kuadhibiwa bila makosa Kwa Muda mrefu Hadi pale mume anapoona kwamba nahitaji kunionea mkewe tena( uvumilivu)
.

Sahihi
 
Back
Top Bottom