Upweke umewaanza vijana mapema, Uzeeni sijui itakuwaje. Ni janga kubwa

Upweke umewaanza vijana mapema, Uzeeni sijui itakuwaje. Ni janga kubwa

Ndoa zilikuwa zamani
Sasa Ni Utapeli , Ni Ujambazi na ni Wizi mtupu
Wacha wajinga wapigwe
Nashukuru walau ndani mwako umeadmitt na uko concious kuhusu umuhimu wa ndoa katika jamii. Kwa kusema ndoa zilikuwa zamani, ina maana ni jambo unajua umuhimu wake, ila kitu pekee kimekuvunja moyo ni mienendo ya jamii ya sasa ndani ya ndoa.

Hili linachangiwa na mambo mengi kwenye jamii yetu, utandawazi na "ubusy" wa maisha katika kutafuta fedha, tunajikuta tunasahau wajibu wetu wa msingi katika makuzi pia.

Kama jinsi unavyoumia wewe na kuona ndoa ni utapeli, wako wanawake ambao nao waliwekeza muda na mali kwa wale waliowapenda, lakini mwisho wakaangukia pua.

Hivyo ni suala la unampata mtu sahihi katika maisha yako ili muweze kujenga familia?
 
Ni kweli ila kwenye suala la mwanaume kuwahi kufa haihusiani na upweke kwa namna nyingi.

Mkuu jitathmini, mada zako zinapoteza ubora siku hadi hadi siku, jitahidi kufanya tafiti zaidi, kuna uzi uliandika hata tafiti hukufanya kabisa na ulikiri hilo kwenye kureply comments za wadau.

Upweke ni tatizo kubwa kwa sasa, single maza wengi hawana wenza, wanajitegemea. Wanaume wanaogopa kuoa singo manza, matokeo yake huyu anaishi kipweke kule na huyu anaishi kipweke huku.

Wanawake wanajua njia za kusaka pesa, wanajipangishia wanalipa bills ila ahueni ya upweke haipo, anahisi hahitaji mwanaume ila deepdown anahitaji sana.
Mwanaume anaondoa upwiru wa siku moja ila upweke hauondoki, anatoa nyege tu ila sonona haisepi kindezi, kila siku anaona hali ngumu, imagine mtu siku 2 hajacheka hata mara moja, hajafurahi hata mara moja, sonona haimuondoki mtu huyu.

Kingine ni aina ya kazi zetu, kuna kazi ambazo ni 'kamati ya roho mbaya" yaani ili uendelee kua na hiyo kazi basi yakupasa uwe bandidu, uso wa mbuzi, usicheke na kima, ukauzu zaidi ya dagaaa. Hizo kazi huwezi pata faraja wala ahueni kihisia.
 
Kijana wa 28 zamani yuko nyumbani ila sahivi ana miaka 5 mitaani
 
Ni kweli ila kwenye suala la mwanaume kuwahi kufa haihusiani na upweke kwa namna nyingi.

Mkuu jitathmini, mada zako zinapoteza ubora siku hadi hadi siku, jitahidi kufanya tafiti zaidi, kuna uzi uliandika hata tafiti hukufanya kabisa na ulikiri hilo kwenye kureply comments za wadau.

Upweke ni tatizo kubwa kwa sasa, single maza wengi hawana wenza, wanajitegemea. Wanaume wanaogopa kuoa singo manza, matokeo yake huyu anaishi kipweke kule na huyu anaishi kipweke huku.

Wanawake wanajua njia za kusaka pesa, wanajipangishia wanalipa bills ila ahueni ya upweke haipo, anahisi hahitaji mwanaume ila deepdown anahitaji sana.
Mwanaume anaondoa upwiru wa siku moja ila upweke hauondoki, anatoa nyege tu ila sonona haisepi kindezi, kila siku anaona hali ngumu, imagine mtu siku 2 hajacheka hata mara moja, hajafurahi hata mara moja, sonona haimuondoki mtu huyu.

Kingine ni aina ya kazi zetu, kuna kazi ambazo ni 'kamati ya roho mbaya" yaani ili uendelee kua na hiyo kazi basi yakupasa uwe bandidu, uso wa mbuzi, usicheke na kima, ukauzu zaidi ya dagaaa. Hizo kazi huwezi pata faraja wala ahueni kihisia.
Kingine ni aina ya kazi zetu, kuna kazi ambazo ni 'kamati ya roho mbaya" yaani ili uendelee kua na hiyo kazi basi yakupasa uwe bandidu, uso wa mbuzi, usicheke na kima, ukauzu zaidi ya dagaaa. Hizo kazi huwezi pata faraja wala ahueni kihisia.



Mfano....
 
Kingine ni aina ya kazi zetu, kuna kazi ambazo ni 'kamati ya roho mbaya" yaani ili uendelee kua na hiyo kazi basi yakupasa uwe bandidu, uso wa mbuzi, usicheke na kima, ukauzu zaidi ya dagaaa. Hizo kazi huwezi pata faraja wala ahueni kihisia.



Mfano....
Ni nyingi ila baadhi ni..
Mgambo wa jiji
Viwandani, huku ndo kuna kamati za roho mbaya..
 
Upweke ni mbaya sana, binafsi naamini kabisa 99.99999% ya CHAPUTA ni wapweke..... 😀😃
 
Nimesema kazi ndio tiba ya upweke

Habari ya upendo, furaha na kuishi sijazungumzia ndugu
Nakubaliana nawewe nikiwa kama shuhuda kazi ni dawa nilipitia hii situation kazi pekee ndiyo iliniokoa sana sana nikirudi ghetto nipo hoi nafikia kulala nikishtuka kumekucha.
 
Ni kweli ila kwenye suala la mwanaume kuwahi kufa haihusiani na upweke kwa namna nyingi.

Mkuu jitathmini, mada zako zinapoteza ubora siku hadi hadi siku, jitahidi kufanya tafiti zaidi, kuna uzi uliandika hata tafiti hukufanya kabisa na ulikiri hilo kwenye kureply comments za wadau.

Upweke ni tatizo kubwa kwa sasa, single maza wengi hawana wenza, wanajitegemea. Wanaume wanaogopa kuoa singo manza, matokeo yake huyu anaishi kipweke kule na huyu anaishi kipweke huku.

Wanawake wanajua njia za kusaka pesa, wanajipangishia wanalipa bills ila ahueni ya upweke haipo, anahisi hahitaji mwanaume ila deepdown anahitaji sana.
Mwanaume anaondoa upwiru wa siku moja ila upweke hauondoki, anatoa nyege tu ila sonona haisepi kindezi, kila siku anaona hali ngumu, imagine mtu siku 2 hajacheka hata mara moja, hajafurahi hata mara moja, sonona haimuondoki mtu huyu.

Kingine ni aina ya kazi zetu, kuna kazi ambazo ni 'kamati ya roho mbaya" yaani ili uendelee kua na hiyo kazi basi yakupasa uwe bandidu, uso wa mbuzi, usicheke na kima, ukauzu zaidi ya dagaaa. Hizo kazi huwezi pata faraja wala ahueni kihisia.

Upweke unaua mkuu. Hiyo ipo kisayansi na kitaalamu
 
Kuna watu wamezungukwa na watu ila bado ni wapweke vile vile
 
mzee shikamoo...

wewe si umeishi kwenye ndoa muda mrefu,

inaondoa upweke kweli?
marahaba kijana wangu
sitaki kusema mojakwamoja kwamba ndoa huondoa upweke lahasha ila ila ni moja ya tiba pia
mimi ni muumini wa kuondoa upweke kwa kufanya shuhuli kama sivyo huwa na desturi ya kutembea kwa mguu kama kilometa 7 narudi nyumbani na kujipumzisha
 
Hii mada nimeisoma kwa makini nikaishia tu kusema i wish....Huwezh tena mtu kurudisha nyuma wakati. Ila pia childhood trauma inapelekea hali ya upweke baadaye utu uzimani.
 
Mimi najitolea mfano katika hili. Muda mwingine inalazimu kukesha humu jf at least kupiga gumzo na watu tusiojuana ili tu ku cover ile gap ya loneliness.
 
Kuna watu wamezungukwa na watu ila bado ni wapweke vile vile

Upendo ndio huondoa upweke.
Unaweza ukawa na mke au mume hamkai karibu labda kutokana na kazi lakini kutokana na kukujali na kukufuatilia ukajiona upo karibu naye
 
UPWEKE UMEWAANZA VIJANA MAPEMA, UZEENI SIJUI ITAKUWAJE. NI JANGA KUBWA.

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Huwezi sema unafurahia maisha ukiwa pekeako. Mtu mpweke hawezi kuwa na furaha. Mpweke ni tafsiri halisi ya maiti inayoishi.

Utoto ni raha kwa sababu utoto unahusisha ushirikiano wa mtoto na watoto wenzake. Mtoto na wazazi. Mtoto na michezo. Ndio maana mtoto katika umri wa utoto Unaowajibu wa kumfanya ashirikiane na watoto wengine. Na sio uanze kumfungia ndani kama mfungwa.

Upweke ndio hufanya kijana au binti aoe. Mapenzi ni moja ya tiba ya upweke. Ukiwa na mtu mnayependana na kuelewana automatically upweke utakuwa umedhibitiwa.

Njia nyingine ya kudhibiti upweke ni kujihusisha na vikundi vya kijamii, kidini pamoja na michezo. Lakini hivi ni wakati ukiwa nje ya nyumba yako. Nyumbani ukirudi kama huna mpenzi iwe mke au mume ambaye mnapendana. Utaiona siku ni ndefu na mara nyingi utayaona maisha hayana maana.

Vijana wa sasa wapo vile uwaonavyo, ni kama hawana utulivu, wamechanganyikiwa, wengi wao ni kwa sababu ya Upweke. Upweke unaleta Sonona kama sio Depression. Upweke ni chanzo cha Kifo.

Mabinti wengi ninaowasiliana nao na ambao wanapata huduma kwangu wanakabiliwa na changamoto ya upweke. Wanaishi wenyewé. Wengi wao ni kati ya miaka 22-40. Unakuta Mwanamke amepanga chumba au nyumba anaishi mwenyewe au na watoto, hana mume.

Pia vijana nao wengi wenye umri huo wapo single. Na wanaishi vikundi vikundi kwenye Maghetto yao. Licha ya kuishi vijana kuanzia wawili lakini bado upweke unawasumbua. Hii ni kwa sababu. Wao sio familia moja.
Familia ni Mume, mke na watoto.

Kuanguka kwa taasisi ya ndoa kumeongeza Upweke ndani ya jamii. Na hii itachukuliwa kama fursa kwa wamiliki wa mitandao ya kijamii kwani Watu wengi hutumia mitandao kama sehemu ya kudhibiti upweke.

Upweke ubaya wake upo siku za Weekend kwa wale wanaofanya kazi. Lakini pia upweke huonekana Dhahiri nyakati za usiku Watu wanaporudi kupumzika majumbani kwao.
Wapo Watu ambao usiku kwao hauna faida.

Sababu nyingine kubwa ya wanaume kufa mapema zaidi ni hiihii, UPWEKE. Mtu mpweke hulazimika kufa mapema kutokana na matatizo kama ya msongo wa mawazo.
Wanawake kwa upande wao muda mwingi huweza kuutumia na watoto waliowazaa kuwalea kama kuwabembeleza, kuwaogesha, kuwalisha chakula, kupishana nao kelele, kucheza nao.
Lakini vipi kwa mwanaume?
Mwanaume zaidi ya kwenda Bar kutuliza nafsi na kuondoa upweke ambao kimsingi hauondoki hana pengine pamoja kukimbilia.

Jambo moja lazima ulielewe, Taikon kama Mastermind ninakuambia Upweke huwezi uondoa na Watu Baki. UPWEKE unaondolewa na Watu unaowapenda na unaostahili kuwapenda. Upweke unahusu Moyo. Hisia za UPENDO.
Mke au Mume ndio mtu wa kwanza kuondoa upweke wako.
Kisha Watoto wako.
Alafu Wazazi wako.
Ndipo ndugu na marafiki.

Niliwahi kufanya uchunguzi wa kuona ni namna gani mtu Baki anaweza kukuondolea upweke nikagundua kuwa ni ngumu sana. Ni kwa sababu akili italazimisha moyo u-pretend kuwa haupo pweke.

Kama utaenda Kasino ukachukua Kahaba hata wawili au watatu kwaajili ya kukuondolea upweke, utagundua ya kuwa hawawezi kufanya jambo hilo kwa sababu wao wapo kwaajili ya kujifurahisha kimwili na sio kinafsi(Moyo).

Mtu aliyempweke huweza kufanya lolote la hatari. Upweke huathiri mtu kisaikolojia na huweza msababishia mtu kukosa UTU.

Mtu akikosa anayemjali na wanaomjali moyo wa kujali wengine huanza kufa polepole. Na kama utakufa kabisa utu huondoka nafsini mwake.

Ushauri kwa vijana,
Wapende na kaa karibu na Wazazi wako. Husaidia kuondoa upweke.
Tafuta familia, mke au mume, naye huondoa upweke.
Kuwa na watoto kisha fanya wajibu wako kama mzazi kwa hao watoto.
Kukosa familia ni kukosa maana halisi ya maisha.

Acha Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Vijana wengi ni bomu la kesho.
Mlonwake kwa siku ni wankubanaisha na energy na half cake! Leo umwambie awe na mke.
Wanawake hawahawa baada ya siku chache huna mshiko unapigwa vita hadi uende.

Mauaji mengine tuyasikiayo ni kwa sababu ya mashida zinaoibuliwa na wanafamilia au wanandoa shida kubwa pesa!!. Mwanaume unategemewa kila kitu na si ajabu kama wazazi wako Hai nao ni kwako.
 
Back
Top Bottom