The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
🤝🏾kuelekezwa kutapeliwa ? Hell No
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝🏾kuelekezwa kutapeliwa ? Hell No
Utawehuka mzee 😂😂😂!!!hao viumbe wakajarib kwingine, siyo kwangu
maana kitu pekee anachoki offer , mie nnacho mkono wangu wa kulia na msaada wa mafuta
maadam naokoa pesa, magonjwaUtawehuka mzee!!!
Mke atakuuguza ukiumwa, mke atakusafisha ukipuu kitandani mgonjwa,Davis ambaye hakuwa mpweke kaishia kupigwa dolari kadhaa na hao majambazi
Ibu ambaye hakuwa mpweke kaishia kuibiwa savings zote na hao mnaowaita wake(mijizi), sa hivi yupo futi 6 chini
tamthilia zinakuharibuMke atakuuguza ukiumwa, mke atakusafisha ukipuu kitandani mgonjwa,
asili ipi unaizungumzia
hao viumbe wakajarib kwingine, siyo kwangu
maana kitu pekee anachoki offer , mie nnacho mkono wangu wa kulia na msaada wa mafuta
Mama Ako mzazi aliyekuzaa aliyafanya hayo Kwa babaako?tamthilia zinakuharibu
Ibu yule pale, yuko hoi kitandani mke chap kambambikiza kesi, kaondoa na savings zake zote
Davis Mosha, yule pale, mke linamuibia kimya kimya, kuja kusanuka, too late
jidanganye tu, endeleeni kufuga majambazi
ni swala la mda kabla vilio kusikika
naona umeanza kupanic, soon yatakuja matusiMama Ako mzazi aliyekuzaa aliyafanya hayo Kwa babaako?
Usinipe mifano ya wasanii na watu wenye wake wengi, NDOA ni ya mume mmoja na mke mmoja bas.
Tupe experience ya Taasisi ya ndoa iliyokuleta duniani na kukulea,
Isijekuwa tunaongea na mtu aliyepita malezi hatarishi aliyeathirika anayehitaji msaada wa haraka.
Mzee Taikon, ndoa haijawahi kuondoa upweke, haijawahi! Ndoa nyingi ni Kaa la moto Kwa wanaume, yote haya ya nn! Walio kwenye ndoa ndio wanaoongoza Kwa upweke, kama huamini mzee Taikon hapa mahakama ya mwanzo uone maombi ya talaka yalivyo mengi
haki gani ? kwa kununua na kufuga kiumbe ndani na kumlisha maisha yake yote ndiyo kutenda haki ?Sasa watoto wako huoni hutowatendea Haki
The idea ya kuviziana, uwatumie au wakutumie inafikirisha, why do you have to labour kuwa na hao watu at first place. Tunaenda AI, use bots, they are more safe without evil intentions😃😃
Watu ni Assets kama utaweza kuwatumia. Ni liability kama wamefaulu kukutumia
Ujinga tu mnajazwa mitandaoni.Mzee Taikon, ndoa haijawahi kuondoa upweke, haijawahi! Ndoa nyingi ni Kaa la moto Kwa wanaume, yote haya ya nn! Walio kwenye ndoa ndio wanaoongoza Kwa upweke, kama huamini mzee Taikon hapa mahakama ya mwanzo uone maombi ya talaka yalivyo mengi
The idea ya kuviziana, uwatumie au wakutumie inafikirisha, why do you have to labour kuwa na hao watu at first place. Tunaenda AI, use bots, they are more safe without evil intentions
sema Upendo FekiNdoa inahusu upendo wa kweli wa mwanaume na mwanamke
Ni afathari ugali tembele penye amani furaha na upendo kuliko, chipsi kuku na pizza, kwenye chuki