Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Kaa kwa kutulia kama wewe sio diaspora......tatizo diaspora wengi ni mziko kwenye ukoo wajuaji mno halafu hawana hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa kwa kutulia kama wewe sio diaspora......tatizo diaspora wengi ni mziko kwenye ukoo wajuaji mno halafu hawana hela
Mie kuna muda hadi nasemaga inawezekana Tanzania tulilaaniwa kweli.akili zao zinafanana.
Kuna diaspora watarajiwa……Unaeeza kuta makaveli10 yuko Buza au Kazuramimba Kigoma halafu anawaongelea ma diaspora. Kama wewe diaspora huridhiki si ukaushe pita kimya, waache wanaotaka wachukue
Bongo landPascal huu ni ujinga na upumbavu uliopita kiasi wanaopendekeza hawa. Hivi wana akili sawasaa kweli? Kwa haraka haraka ngoja nikuambie;
Sasa ningeona hawa waliopendekeza special status kuwa na akili kiasi kama wangesema special status ni permanent, na parent akiwa na special status automatically watoto wanakuwa nayo. Hii nchi imejaa vichwa maji katika jina la viongozi. Waondoe hili wazo lao la special status, hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali ujinga kama huu ili eti awekeze mtaji mkubwa nchini.
- Special status tofauti na uraia pacha ina expire kila baada ya miaka kumi. Usipo renew unakuwa huna special status na mali zako ulizowekeza nchini kuwa hatarini kupotea
- Special status hairithiwi. Yaani nawekeza hata Dola bilioni moja, ikitokea nikafa watoto wangu hawana haki ya kurithi mali kwa sababu special status inakuwa granted kwa mtu mmoja. Tofauti na hili, nikia na uraia pacha, uraia wa Tanzania na USA, watoto wangu nao wanakuwa na uraia huo
- Vipengele vya kukunyang'anya special status ni vyepesi mno! Kw mfano, unaongea na enemy of Tanzania. Hebu watuonyeshe list ya enemy of Tanzania ndio tujue nani tusiwasiliane nae kama tuna special status. Katika ubinafsi na roho mbaya na corruption ya Watanzania wengi, ku-revoke special status satus siku zote itakuwa ni rahisi sana. Usipomsifia raisi inaweza kuwa revoked
- Kwa mfano, mtu anaweza ku-revoke on basis of is of "good moral standing". Kuna sheria kuhusu moral standing? Kwa mfano, kuwa mlevi, kuwa fuska, kuvaa nguo fupi, skin tight, nk, kuna watu wataona ni bad morals. Sasa unaweza kunyanganywa special status kwa sababu mtu anasema wewe mlevi, wewe fuska. Sasa hiyo clause imeandikwa na mwanasheria kweli? Sio mwanasiasa au mtu anaedhani kunywa pombe, kuvaa mini skirt ni dhambi? Kuwa na bad morals is not necessarily ku-commit crime, na the aspect of morals can be very subjective
La sivyo njoo Tanzania na special status yako uwekeze halafu uliwe!
Special status ndiyo upuuzi gani huo?Wanabodi
Ni juzi Ijumaa niliuliza humu Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga, leo nakutana na hii hoja, uraia pacha wetu jameni ndio huu!.
Haya sasa ndugu zetu wana Diaspora, mliopoteza uraia wa Tanzania, mnapewa uraia pacha, kwa kutambuliwa rasmi kupitia special status kwa kuomba tena kurejeshewa uraia wako wa Tanzania uliopoteza, kwa kusajiliwa na kupewa Kadi ya Diaspora Tanzanite Card, ambayo itakupa haki zote za Utanzania ulizopoteza, ikiwemo kumiliki mali, ila sijajua kama na haki ya kupiga kura pia mtapewa, maana kuna mijitu mioga kama kunguru!.
Mambo yenu ni haya.... yameishatua Bungeni na kusomwa kwa mara ya kwanza, sasa serikali inapokea maoni ya wadau, kikao kijacho cha Bunge, hii ngoma, inasomwa kwa mara ya pili na kupitishwa, hivyo huu ndio uraia pacha wetu.
PART V
AMENDMENT OF THE IMMIGRATION ACT,(CAP. 54)
16. This Part shall be read as one with the ImmigrationAct, hereinafter referred to as the “principal Act”
17. The principal Act is amended in section 3, by adding the appropriate alphabetical order the following new definitions:
““Diaspora Tanzanite Card” or “Card” means avalid card issued under this Act to aTanzania non-citizen diaspora afterbeing granted a special status;
“special status” means the status granted to aTanzania non-citizen diaspora under thisAct-
(a) for the purpose of entry, stay or exit out of the United Republic; and
(b) for such other purposes as may be provided under any other written laws; and “Tanzania non-citizen diaspora” means a person who was formerly a citizen of the UnitedRepublic other than a citizen by naturalisation or whose either parent, grandparent or such other descendant isor was a citizen of the United Republic;”.
18. The principal Act is amended in section 28(1) by adding immediately after paragraph (d) the following:
(e) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card; or
(f) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card enrollment notification issued to the applicant prior to issuance of the Diaspora Tanzanite Card.”.
19. The principal Act is amended by adding immediately after section 36 the following: “Grant of special status to Tanzanian on-citizen diaspora
36A.-(1) A person who intends to be granted special status shall apply to the Commissioner General in the manner prescribed in the regulations:
Provided that, where such person is a child, the application shall be made by his parent or guardian.
(2) A person shall be eligible to apply for a special status if such person
(a) is a Tanzania non-citizen diaspora;
(b) observes national ethos, traditions, customs an cultural values;
(c) is not a fugitive offender or has not been convicted of an offence of or related to money laundering, economic and organised crimes or other transnational crimes;
(d) holds a valid passport or travel document;
(e) is of good moral standing; and
(f) complies with such other requirement as may be prescribed in the regulations made under this Act.
(3) The Commissioner General shall, upon being satisfied with the fulfillment of the requirements under subsection (1), grant special status and issue a Diaspora Tanzanite Card to the applicant.
Validity of Card
Dependant of Tanzania non-citizen diaspora
36B. A Card issued in terms of this Act shall be valid for a period of ten years and may be renewed.
36C.-(1) Subject to the conditions prescribed in the regulations, the Commissioner General may, on application made on that behalf by the person who has been granted a special status, issue a dependant pass to dependants of the holder of the Card.
(2) The provisions of section 39of this Act shall apply mutatis mutandis in respect of the expiration of a dependant pass.
(3) For the purpose of this section, “dependant” means spouse or child of the Tanzania non-citizen diaspora:
Provided that, the dependant is not Tanzania non-citizen diaspora.
36D. A person who has been granted a special status shall-
(a) observe the Constitution of the United Republic and other written laws;
(b) observe the requirements of a special status as set out under this Act; and
(c) be of good moral standing.
36E.-(1) The CommissionerGeneral may revoke a special status if he is satisfied that-
(a) a person granted a special status has breached any conditions of the special status;
Conditions of special status Cap. 2
Revocation of special status
(b) the special status was obtained by means of fraud, false representation or concealment of any material fact;
(c) a person has shown him self by act or speech to be disloyal or dis - affectionate towards the United Republic;
(d) a person has unlawfully traded or communicated with an enemy to the United Republic or has been engaged in or association with any business that is carried on in such a manner as to assist the enemy;
(e) a person is engaged in any act which is against the morals of the United Republic;
(f) it is not conducive to the public good that, that person should continue to hold the special status; or
(g) a person engages in politics contrary to the laws governing political affairs in the United Republic.
(2) Revocation of special status in terms of subsection (1) shall constitute the automatic invalidation of the Card, and the holder shall be under obligation to return the Card to the issuer thereof.
(3) A person whose special status has been revoked, may, within one month from the date of revocation, apply to the Commissioner General for any other immigration status as provided for in the Act.”.
20. The principal Act is amended in section 45(1) by-10
Amendment of section 48
(a) adding the word “Card” immediately after the word“certificate” wherever it appears in that sub section; and
(b) adding the word “Card” immediately after the wordVisa appearing in paragraph (o).
21. The principal Act is amended in section 48(1) by-(a) adding immediately after paragraph
My Take.
- Najitahidi sana kutafuta maneno malaini kuhusu mhimili wetu wa mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba, sheria na kanuni, Serikali inatunga muswada wa sheria batili kinyume na katiba, Bungelinatunga sheria batili, na mahakama umekaa kimya!.
- Mtu akipata uraia wa tanzania kwa kuzaliwa, uraia huu hauwezi kuondoka milele!. Sambamba na mtu akiwa raia wa Tanzania kwa damu ya wazazi wake, uraia huu hauwezi kufutika milele!. hivyo sheria yetu ya uraia iko kinyume na katiba!.
- Mtu ambaye ni Mtanzania aliyepoteza utanzania wake kwasababu ya uraia wa nchi nyingine, hakupaswa kupewa special status, tulipaswa kuruhusu uraia pacha, kisha Watanzania wote wenye uraia mwingine, kurejeshewa uraia wao wa Tanzania, na hiyo special status ndio iwe ya ule uraia wa nchi nyingine!.
- Mpaka sasa bado najiuliza, hiki kigugumizi cha nini kwenye hoja ya uraia pacha?.
- Ushauri wangu kwa Diaspora, if you can't get what you want, just take what you get, shukuru kwa hiki kidogo ulichopata, kisha endelea kudai kikubwa!. Mtu kuzaliwa Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, na mtu kuwa na damu ya Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, haki zetu bado zinafanywa ni hisani!.
Paskali.
Mie kuna muda hadi nasemaga inawezekana Tanzania tulilaaniwa kweli.
Ukiangalia akili za Viongozi wetu na watendaji wetu unaweza kulia kweli.
Ukiwauliza ni kwa nini tusiwe na uraia pacha hayo majibu wanayokupa unaweza fikiri hii nchi inawezakana Mungu alitunyimaga akili tofauti na nchi zingine duniani. Ni kama tunafikiri kwa makalio badala ya ubongo
hebu eleza faida za uraia pacha, binafsi sizioniMie kuna muda hadi nasemaga inawezekana Tanzania tulilaaniwa kweli.
Ukiangalia akili za Viongozi wetu na watendaji wetu unaweza kulia kweli.
Ukiwauliza ni kwa nini tusiwe na uraia pacha hayo majibu wanayokupa unaweza fikiri hii nchi inawezakana Mungu alitunyimaga akili tofauti na nchi zingine duniani. Ni kama tunafikiri kwa makalio badala ya ubongo
Wanachofanya Wajanja. Hata siku moja usitumie passport ya nchi nyingine kuingia TZ Tumia ya TZ tu.Hiyo inakuwaje?
Mtu anasafiri na passport ya tuseme Sweden ana visa ya Tanzania, alitaka kuondoka inabidi atumie passport ya Sweden.
Kwahiyo hiyo passport ya Tanzania anaitumia kwa uwekezaji tu hapo Tanzania. Kama nimekuelewa vizuri huyu raia wa Sweden atalipa visa fees na kupewa muda fulani kukaa nchini. Kwahiyo usumbufu upo palepale. Au kuna kitu sijaelewa?
Wanabodi
Ni juzi Ijumaa niliuliza humu Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga, leo nakutana na hii hoja, uraia pacha wetu jameni ndio huu!.
Haya sasa ndugu zetu wana Diaspora, mliopoteza uraia wa Tanzania, mnapewa uraia pacha, kwa kutambuliwa rasmi kupitia special status kwa kuomba tena kurejeshewa uraia wako wa Tanzania uliopoteza, kwa kusajiliwa na kupewa Kadi ya Diaspora Tanzanite Card, ambayo itakupa haki zote za Utanzania ulizopoteza, ikiwemo kumiliki mali, ila sijajua kama na haki ya kupiga kura pia mtapewa, maana kuna mijitu mioga kama kunguru!.
Mambo yenu ni haya.... yameishatua Bungeni na kusomwa kwa mara ya kwanza, sasa serikali inapokea maoni ya wadau, kikao kijacho cha Bunge, hii ngoma, inasomwa kwa mara ya pili na kupitishwa, hivyo huu ndio uraia pacha wetu.
PART V
AMENDMENT OF THE IMMIGRATION ACT,(CAP. 54)
16. This Part shall be read as one with the ImmigrationAct, hereinafter referred to as the “principal Act”
17. The principal Act is amended in section 3, by adding the appropriate alphabetical order the following new definitions:
““Diaspora Tanzanite Card” or “Card” means avalid card issued under this Act to aTanzania non-citizen diaspora afterbeing granted a special status;
“special status” means the status granted to aTanzania non-citizen diaspora under thisAct-
(a) for the purpose of entry, stay or exit out of the United Republic; and
(b) for such other purposes as may be provided under any other written laws; and “Tanzania non-citizen diaspora” means a person who was formerly a citizen of the UnitedRepublic other than a citizen by naturalisation or whose either parent, grandparent or such other descendant isor was a citizen of the United Republic;”.
18. The principal Act is amended in section 28(1) by adding immediately after paragraph (d) the following:
(e) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card; or
(f) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card enrollment notification issued to the applicant prior to issuance of the Diaspora Tanzanite Card.”.
19. The principal Act is amended by adding immediately after section 36 the following: “Grant of special status to Tanzanian on-citizen diaspora
36A.-(1) A person who intends to be granted special status shall apply to the Commissioner General in the manner prescribed in the regulations:
Provided that, where such person is a child, the application shall be made by his parent or guardian.
(2) A person shall be eligible to apply for a special status if such person
(a) is a Tanzania non-citizen diaspora;
(b) observes national ethos, traditions, customs an cultural values;
(c) is not a fugitive offender or has not been convicted of an offence of or related to money laundering, economic and organised crimes or other transnational crimes;
(d) holds a valid passport or travel document;
(e) is of good moral standing; and
(f) complies with such other requirement as may be prescribed in the regulations made under this Act.
(3) The Commissioner General shall, upon being satisfied with the fulfillment of the requirements under subsection (1), grant special status and issue a Diaspora Tanzanite Card to the applicant.
Validity of Card
Dependant of Tanzania non-citizen diaspora
36B. A Card issued in terms of this Act shall be valid for a period of ten years and may be renewed.
36C.-(1) Subject to the conditions prescribed in the regulations, the Commissioner General may, on application made on that behalf by the person who has been granted a special status, issue a dependant pass to dependants of the holder of the Card.
(2) The provisions of section 39of this Act shall apply mutatis mutandis in respect of the expiration of a dependant pass.
(3) For the purpose of this section, “dependant” means spouse or child of the Tanzania non-citizen diaspora:
Provided that, the dependant is not Tanzania non-citizen diaspora.
36D. A person who has been granted a special status shall-
(a) observe the Constitution of the United Republic and other written laws;
(b) observe the requirements of a special status as set out under this Act; and
(c) be of good moral standing.
36E.-(1) The CommissionerGeneral may revoke a special status if he is satisfied that-
(a) a person granted a special status has breached any conditions of the special status;
Conditions of special status Cap. 2
Revocation of special status
(b) the special status was obtained by means of fraud, false representation or concealment of any material fact;
(c) a person has shown him self by act or speech to be disloyal or dis - affectionate towards the United Republic;
(d) a person has unlawfully traded or communicated with an enemy to the United Republic or has been engaged in or association with any business that is carried on in such a manner as to assist the enemy;
(e) a person is engaged in any act which is against the morals of the United Republic;
(f) it is not conducive to the public good that, that person should continue to hold the special status; or
(g) a person engages in politics contrary to the laws governing political affairs in the United Republic.
(2) Revocation of special status in terms of subsection (1) shall constitute the automatic invalidation of the Card, and the holder shall be under obligation to return the Card to the issuer thereof.
(3) A person whose special status has been revoked, may, within one month from the date of revocation, apply to the Commissioner General for any other immigration status as provided for in the Act.”.
20. The principal Act is amended in section 45(1) by-10
Amendment of section 48
(a) adding the word “Card” immediately after the word“certificate” wherever it appears in that sub section; and
(b) adding the word “Card” immediately after the wordVisa appearing in paragraph (o).
21. The principal Act is amended in section 48(1) by-(a) adding immediately after paragraph
My Take.
- Najitahidi sana kutafuta maneno malaini kuhusu mhimili wetu wa mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba, sheria na kanuni, Serikali inatunga muswada wa sheria batili kinyume na katiba, Bungelinatunga sheria batili, na mahakama umekaa kimya!.
- Mtu akipata uraia wa tanzania kwa kuzaliwa, uraia huu hauwezi kuondoka milele!. Sambamba na mtu akiwa raia wa Tanzania kwa damu ya wazazi wake, uraia huu hauwezi kufutika milele!. hivyo sheria yetu ya uraia iko kinyume na katiba!.
- Mtu ambaye ni Mtanzania aliyepoteza utanzania wake kwasababu ya uraia wa nchi nyingine, hakupaswa kupewa special status, tulipaswa kuruhusu uraia pacha, kisha Watanzania wote wenye uraia mwingine, kurejeshewa uraia wao wa Tanzania, na hiyo special status ndio iwe ya ule uraia wa nchi nyingine!.
- Mpaka sasa bado najiuliza, hiki kigugumizi cha nini kwenye hoja ya uraia pacha?.
- Ushauri wangu kwa Diaspora, if you can't get what you want, just take what you get, shukuru kwa hiki kidogo ulichopata, kisha endelea kudai kikubwa!. Mtu kuzaliwa Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, na mtu kuwa na damu ya Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, haki zetu bado zinafanywa ni hisani!.
Paskali.
Wengine tushavurugwa hatutaki uraia pacha wala special status.Wanabodi
Ni juzi Ijumaa niliuliza humu Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga, leo nakutana na hii hoja, uraia pacha wetu jameni ndio huu!.
Haya sasa ndugu zetu wana Diaspora, mliopoteza uraia wa Tanzania, mnapewa uraia pacha, kwa kutambuliwa rasmi kupitia special status kwa kuomba tena kurejeshewa uraia wako wa Tanzania uliopoteza, kwa kusajiliwa na kupewa Kadi ya Diaspora Tanzanite Card, ambayo itakupa haki zote za Utanzania ulizopoteza, ikiwemo kumiliki mali, ila sijajua kama na haki ya kupiga kura pia mtapewa, maana kuna mijitu mioga kama kunguru!.
Mambo yenu ni haya.... yameishatua Bungeni na kusomwa kwa mara ya kwanza, sasa serikali inapokea maoni ya wadau, kikao kijacho cha Bunge, hii ngoma, inasomwa kwa mara ya pili na kupitishwa, hivyo huu ndio uraia pacha wetu.
PART V
AMENDMENT OF THE IMMIGRATION ACT,(CAP. 54)
16. This Part shall be read as one with the ImmigrationAct, hereinafter referred to as the “principal Act”
17. The principal Act is amended in section 3, by adding the appropriate alphabetical order the following new definitions:
““Diaspora Tanzanite Card” or “Card” means avalid card issued under this Act to aTanzania non-citizen diaspora afterbeing granted a special status;
“special status” means the status granted to aTanzania non-citizen diaspora under thisAct-
(a) for the purpose of entry, stay or exit out of the United Republic; and
(b) for such other purposes as may be provided under any other written laws; and “Tanzania non-citizen diaspora” means a person who was formerly a citizen of the UnitedRepublic other than a citizen by naturalisation or whose either parent, grandparent or such other descendant isor was a citizen of the United Republic;”.
18. The principal Act is amended in section 28(1) by adding immediately after paragraph (d) the following:
(e) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card; or
(f) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card enrollment notification issued to the applicant prior to issuance of the Diaspora Tanzanite Card.”.
19. The principal Act is amended by adding immediately after section 36 the following: “Grant of special status to Tanzanian on-citizen diaspora
36A.-(1) A person who intends to be granted special status shall apply to the Commissioner General in the manner prescribed in the regulations:
Provided that, where such person is a child, the application shall be made by his parent or guardian.
(2) A person shall be eligible to apply for a special status if such person
(a) is a Tanzania non-citizen diaspora;
(b) observes national ethos, traditions, customs an cultural values;
(c) is not a fugitive offender or has not been convicted of an offence of or related to money laundering, economic and organised crimes or other transnational crimes;
(d) holds a valid passport or travel document;
(e) is of good moral standing; and
(f) complies with such other requirement as may be prescribed in the regulations made under this Act.
(3) The Commissioner General shall, upon being satisfied with the fulfillment of the requirements under subsection (1), grant special status and issue a Diaspora Tanzanite Card to the applicant.
Validity of Card
Dependant of Tanzania non-citizen diaspora
36B. A Card issued in terms of this Act shall be valid for a period of ten years and may be renewed.
36C.-(1) Subject to the conditions prescribed in the regulations, the Commissioner General may, on application made on that behalf by the person who has been granted a special status, issue a dependant pass to dependants of the holder of the Card.
(2) The provisions of section 39of this Act shall apply mutatis mutandis in respect of the expiration of a dependant pass.
(3) For the purpose of this section, “dependant” means spouse or child of the Tanzania non-citizen diaspora:
Provided that, the dependant is not Tanzania non-citizen diaspora.
36D. A person who has been granted a special status shall-
(a) observe the Constitution of the United Republic and other written laws;
(b) observe the requirements of a special status as set out under this Act; and
(c) be of good moral standing.
36E.-(1) The CommissionerGeneral may revoke a special status if he is satisfied that-
(a) a person granted a special status has breached any conditions of the special status;
Conditions of special status Cap. 2
Revocation of special status
(b) the special status was obtained by means of fraud, false representation or concealment of any material fact;
(c) a person has shown him self by act or speech to be disloyal or dis - affectionate towards the United Republic;
(d) a person has unlawfully traded or communicated with an enemy to the United Republic or has been engaged in or association with any business that is carried on in such a manner as to assist the enemy;
(e) a person is engaged in any act which is against the morals of the United Republic;
(f) it is not conducive to the public good that, that person should continue to hold the special status; or
(g) a person engages in politics contrary to the laws governing political affairs in the United Republic.
(2) Revocation of special status in terms of subsection (1) shall constitute the automatic invalidation of the Card, and the holder shall be under obligation to return the Card to the issuer thereof.
(3) A person whose special status has been revoked, may, within one month from the date of revocation, apply to the Commissioner General for any other immigration status as provided for in the Act.”.
20. The principal Act is amended in section 45(1) by-10
Amendment of section 48
(a) adding the word “Card” immediately after the word“certificate” wherever it appears in that sub section; and
(b) adding the word “Card” immediately after the wordVisa appearing in paragraph (o).
21. The principal Act is amended in section 48(1) by-(a) adding immediately after paragraph
My Take.
- Najitahidi sana kutafuta maneno malaini kuhusu mhimili wetu wa mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba, sheria na kanuni, Serikali inatunga muswada wa sheria batili kinyume na katiba, Bungelinatunga sheria batili, na mahakama umekaa kimya!.
- Mtu akipata uraia wa tanzania kwa kuzaliwa, uraia huu hauwezi kuondoka milele!. Sambamba na mtu akiwa raia wa Tanzania kwa damu ya wazazi wake, uraia huu hauwezi kufutika milele!. hivyo sheria yetu ya uraia iko kinyume na katiba!.
- Mtu ambaye ni Mtanzania aliyepoteza utanzania wake kwasababu ya uraia wa nchi nyingine, hakupaswa kupewa special status, tulipaswa kuruhusu uraia pacha, kisha Watanzania wote wenye uraia mwingine, kurejeshewa uraia wao wa Tanzania, na hiyo special status ndio iwe ya ule uraia wa nchi nyingine!.
- Mpaka sasa bado najiuliza, hiki kigugumizi cha nini kwenye hoja ya uraia pacha?.
- Ushauri wangu kwa Diaspora, if you can't get what you want, just take what you get, shukuru kwa hiki kidogo ulichopata, kisha endelea kudai kikubwa!. Mtu kuzaliwa Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, na mtu kuwa na damu ya Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, haki zetu bado zinafanywa ni hisani!.
Paskali.
Kaka Paskali za masiku,Wanabodi
Ni juzi Ijumaa niliuliza humu Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga, leo nakutana na hii hoja, uraia pacha wetu jameni ndio huu!.
Haya sasa ndugu zetu wana Diaspora, mliopoteza uraia wa Tanzania, mnapewa uraia pacha, kwa kutambuliwa rasmi kupitia special status kwa kuomba tena kurejeshewa uraia wako wa Tanzania uliopoteza, kwa kusajiliwa na kupewa Kadi ya Diaspora Tanzanite Card, ambayo itakupa haki zote za Utanzania ulizopoteza, ikiwemo kumiliki mali, ila sijajua kama na haki ya kupiga kura pia mtapewa, maana kuna mijitu mioga kama kunguru!.
Mambo yenu ni haya.... yameishatua Bungeni na kusomwa kwa mara ya kwanza, sasa serikali inapokea maoni ya wadau, kikao kijacho cha Bunge, hii ngoma, inasomwa kwa mara ya pili na kupitishwa, hivyo huu ndio uraia pacha wetu.
PART V
AMENDMENT OF THE IMMIGRATION ACT,(CAP. 54)
16. This Part shall be read as one with the ImmigrationAct, hereinafter referred to as the “principal Act”
17. The principal Act is amended in section 3, by adding the appropriate alphabetical order the following new definitions:
““Diaspora Tanzanite Card” or “Card” means avalid card issued under this Act to aTanzania non-citizen diaspora afterbeing granted a special status;
“special status” means the status granted to aTanzania non-citizen diaspora under thisAct-
(a) for the purpose of entry, stay or exit out of the United Republic; and
(b) for such other purposes as may be provided under any other written laws; and “Tanzania non-citizen diaspora” means a person who was formerly a citizen of the UnitedRepublic other than a citizen by naturalisation or whose either parent, grandparent or such other descendant isor was a citizen of the United Republic;”.
18. The principal Act is amended in section 28(1) by adding immediately after paragraph (d) the following:
(e) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card; or
(f) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card enrollment notification issued to the applicant prior to issuance of the Diaspora Tanzanite Card.”.
19. The principal Act is amended by adding immediately after section 36 the following: “Grant of special status to Tanzanian on-citizen diaspora
36A.-(1) A person who intends to be granted special status shall apply to the Commissioner General in the manner prescribed in the regulations:
Provided that, where such person is a child, the application shall be made by his parent or guardian.
(2) A person shall be eligible to apply for a special status if such person
(a) is a Tanzania non-citizen diaspora;
(b) observes national ethos, traditions, customs an cultural values;
(c) is not a fugitive offender or has not been convicted of an offence of or related to money laundering, economic and organised crimes or other transnational crimes;
(d) holds a valid passport or travel document;
(e) is of good moral standing; and
(f) complies with such other requirement as may be prescribed in the regulations made under this Act.
(3) The Commissioner General shall, upon being satisfied with the fulfillment of the requirements under subsection (1), grant special status and issue a Diaspora Tanzanite Card to the applicant.
Validity of Card
Dependant of Tanzania non-citizen diaspora
36B. A Card issued in terms of this Act shall be valid for a period of ten years and may be renewed.
36C.-(1) Subject to the conditions prescribed in the regulations, the Commissioner General may, on application made on that behalf by the person who has been granted a special status, issue a dependant pass to dependants of the holder of the Card.
(2) The provisions of section 39of this Act shall apply mutatis mutandis in respect of the expiration of a dependant pass.
(3) For the purpose of this section, “dependant” means spouse or child of the Tanzania non-citizen diaspora:
Provided that, the dependant is not Tanzania non-citizen diaspora.
36D. A person who has been granted a special status shall-
(a) observe the Constitution of the United Republic and other written laws;
(b) observe the requirements of a special status as set out under this Act; and
(c) be of good moral standing.
36E.-(1) The CommissionerGeneral may revoke a special status if he is satisfied that-
(a) a person granted a special status has breached any conditions of the special status;
Conditions of special status Cap. 2
Revocation of special status
(b) the special status was obtained by means of fraud, false representation or concealment of any material fact;
(c) a person has shown him self by act or speech to be disloyal or dis - affectionate towards the United Republic;
(d) a person has unlawfully traded or communicated with an enemy to the United Republic or has been engaged in or association with any business that is carried on in such a manner as to assist the enemy;
(e) a person is engaged in any act which is against the morals of the United Republic;
(f) it is not conducive to the public good that, that person should continue to hold the special status; or
(g) a person engages in politics contrary to the laws governing political affairs in the United Republic.
(2) Revocation of special status in terms of subsection (1) shall constitute the automatic invalidation of the Card, and the holder shall be under obligation to return the Card to the issuer thereof.
(3) A person whose special status has been revoked, may, within one month from the date of revocation, apply to the Commissioner General for any other immigration status as provided for in the Act.”.
20. The principal Act is amended in section 45(1) by-10
Amendment of section 48
(a) adding the word “Card” immediately after the word“certificate” wherever it appears in that sub section; and
(b) adding the word “Card” immediately after the wordVisa appearing in paragraph (o).
21. The principal Act is amended in section 48(1) by-(a) adding immediately after paragraph
My Take.
- Najitahidi sana kutafuta maneno malaini kuhusu mhimili wetu wa mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba, sheria na kanuni, Serikali inatunga muswada wa sheria batili kinyume na katiba, Bungelinatunga sheria batili, na mahakama umekaa kimya!.
- Mtu akipata uraia wa tanzania kwa kuzaliwa, uraia huu hauwezi kuondoka milele!. Sambamba na mtu akiwa raia wa Tanzania kwa damu ya wazazi wake, uraia huu hauwezi kufutika milele!. hivyo sheria yetu ya uraia iko kinyume na katiba!.
- Mtu ambaye ni Mtanzania aliyepoteza utanzania wake kwasababu ya uraia wa nchi nyingine, hakupaswa kupewa special status, tulipaswa kuruhusu uraia pacha, kisha Watanzania wote wenye uraia mwingine, kurejeshewa uraia wao wa Tanzania, na hiyo special status ndio iwe ya ule uraia wa nchi nyingine!.
- Mpaka sasa bado najiuliza, hiki kigugumizi cha nini kwenye hoja ya uraia pacha?.
- Ushauri wangu kwa Diaspora, if you can't get what you want, just take what you get, shukuru kwa hiki kidogo ulichopata, kisha endelea kudai kikubwa!. Mtu kuzaliwa Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, na mtu kuwa na damu ya Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, haki zetu bado zinafanywa ni hisani!.
Paskali.
Hakuna haja ya Mtu ailyepoteza Uraia wake kw akuchukuw aUrai wanchi nyingi apewe ( Special Status ya Diaspora Tanzanite Card) Ushauri Wangu Waruhusu kabisa uraia Pacha M-Tanzania anaweza kuwa na Uraia wa nchi yake na nchi nyingine anayoipendakuwa Raia. Serikali yetu inachoogopa nini M-Tanzania kuwa na Uraia Pacha? Wakati Nchi kubw aduniani ka Marekani na uingereza Wana Uraia Pacha? Au jirani yetu Kenya pia anaruhusu Uraia pacha iweje Serikali yetu kwanini iogope M-Tanzania kuwa na Uraia Pacha?mimi ninashangaa kweli bado tupo nyuma Kimaendeleo Wenzetu wanafikiria mambo makubw aya maendeleo sisi bado tupo Bungeni tunajadili Uraia Pacha? Nchi yetu itachukuwa Miaka 1000 ijayo kuwa na maendeleo ya ukweli tupo nyuma kwa kila kitu. Tujifunze kw amajirani wetu walioruhus Uraia Pachajamani mbona tumekuwa wajinga namna hiyo?Wanabodi
Ni juzi Ijumaa niliuliza humu Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga, leo nakutana na hii hoja, uraia pacha wetu jameni ndio huu!.
Haya sasa ndugu zetu wana Diaspora, mliopoteza uraia wa Tanzania, mnapewa uraia pacha, kwa kutambuliwa rasmi kupitia special status kwa kuomba tena kurejeshewa uraia wako wa Tanzania uliopoteza, kwa kusajiliwa na kupewa Kadi ya Diaspora Tanzanite Card, ambayo itakupa haki zote za Utanzania ulizopoteza, ikiwemo kumiliki mali, ila sijajua kama na haki ya kupiga kura pia mtapewa, maana kuna mijitu mioga kama kunguru!.
Mambo yenu ni haya.... yameishatua Bungeni na kusomwa kwa mara ya kwanza, sasa serikali inapokea maoni ya wadau, kikao kijacho cha Bunge, hii ngoma, inasomwa kwa mara ya pili na kupitishwa, hivyo huu ndio uraia pacha wetu.
PART V
AMENDMENT OF THE IMMIGRATION ACT,(CAP. 54)
16. This Part shall be read as one with the ImmigrationAct, hereinafter referred to as the “principal Act”
17. The principal Act is amended in section 3, by adding the appropriate alphabetical order the following new definitions:
““Diaspora Tanzanite Card” or “Card” means avalid card issued under this Act to aTanzania non-citizen diaspora afterbeing granted a special status;
“special status” means the status granted to aTanzania non-citizen diaspora under thisAct-
(a) for the purpose of entry, stay or exit out of the United Republic; and
(b) for such other purposes as may be provided under any other written laws; and “Tanzania non-citizen diaspora” means a person who was formerly a citizen of the UnitedRepublic other than a citizen by naturalisation or whose either parent, grandparent or such other descendant isor was a citizen of the United Republic;”.
18. The principal Act is amended in section 28(1) by adding immediately after paragraph (d) the following:
(e) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card; or
(f) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card enrollment notification issued to the applicant prior to issuance of the Diaspora Tanzanite Card.”.
19. The principal Act is amended by adding immediately after section 36 the following: “Grant of special status to Tanzanian on-citizen diaspora
36A.-(1) A person who intends to be granted special status shall apply to the Commissioner General in the manner prescribed in the regulations:
Provided that, where such person is a child, the application shall be made by his parent or guardian.
(2) A person shall be eligible to apply for a special status if such person
(a) is a Tanzania non-citizen diaspora;
(b) observes national ethos, traditions, customs an cultural values;
(c) is not a fugitive offender or has not been convicted of an offence of or related to money laundering, economic and organised crimes or other transnational crimes;
(d) holds a valid passport or travel document;
(e) is of good moral standing; and
(f) complies with such other requirement as may be prescribed in the regulations made under this Act.
(3) The Commissioner General shall, upon being satisfied with the fulfillment of the requirements under subsection (1), grant special status and issue a Diaspora Tanzanite Card to the applicant.
Validity of Card
Dependant of Tanzania non-citizen diaspora
36B. A Card issued in terms of this Act shall be valid for a period of ten years and may be renewed.
36C.-(1) Subject to the conditions prescribed in the regulations, the Commissioner General may, on application made on that behalf by the person who has been granted a special status, issue a dependant pass to dependants of the holder of the Card.
(2) The provisions of section 39of this Act shall apply mutatis mutandis in respect of the expiration of a dependant pass.
(3) For the purpose of this section, “dependant” means spouse or child of the Tanzania non-citizen diaspora:
Provided that, the dependant is not Tanzania non-citizen diaspora.
36D. A person who has been granted a special status shall-
(a) observe the Constitution of the United Republic and other written laws;
(b) observe the requirements of a special status as set out under this Act; and
(c) be of good moral standing.
36E.-(1) The CommissionerGeneral may revoke a special status if he is satisfied that-
(a) a person granted a special status has breached any conditions of the special status;
Conditions of special status Cap. 2
Revocation of special status
(b) the special status was obtained by means of fraud, false representation or concealment of any material fact;
(c) a person has shown him self by act or speech to be disloyal or dis - affectionate towards the United Republic;
(d) a person has unlawfully traded or communicated with an enemy to the United Republic or has been engaged in or association with any business that is carried on in such a manner as to assist the enemy;
(e) a person is engaged in any act which is against the morals of the United Republic;
(f) it is not conducive to the public good that, that person should continue to hold the special status; or
(g) a person engages in politics contrary to the laws governing political affairs in the United Republic.
(2) Revocation of special status in terms of subsection (1) shall constitute the automatic invalidation of the Card, and the holder shall be under obligation to return the Card to the issuer thereof.
(3) A person whose special status has been revoked, may, within one month from the date of revocation, apply to the Commissioner General for any other immigration status as provided for in the Act.”.
20. The principal Act is amended in section 45(1) by-10
Amendment of section 48
(a) adding the word “Card” immediately after the word“certificate” wherever it appears in that sub section; and
(b) adding the word “Card” immediately after the wordVisa appearing in paragraph (o).
21. The principal Act is amended in section 48(1) by-(a) adding immediately after paragraph
My Take.
- Najitahidi sana kutafuta maneno malaini kuhusu mhimili wetu wa mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba, sheria na kanuni, Serikali inatunga muswada wa sheria batili kinyume na katiba, Bungelinatunga sheria batili, na mahakama umekaa kimya!.
- Mtu akipata uraia wa tanzania kwa kuzaliwa, uraia huu hauwezi kuondoka milele!. Sambamba na mtu akiwa raia wa Tanzania kwa damu ya wazazi wake, uraia huu hauwezi kufutika milele!. hivyo sheria yetu ya uraia iko kinyume na katiba!.
- Mtu ambaye ni Mtanzania aliyepoteza utanzania wake kwasababu ya uraia wa nchi nyingine, hakupaswa kupewa special status, tulipaswa kuruhusu uraia pacha, kisha Watanzania wote wenye uraia mwingine, kurejeshewa uraia wao wa Tanzania, na hiyo special status ndio iwe ya ule uraia wa nchi nyingine!.
- Mpaka sasa bado najiuliza, hiki kigugumizi cha nini kwenye hoja ya uraia pacha?.
- Ushauri wangu kwa Diaspora, if you can't get what you want, just take what you get, shukuru kwa hiki kidogo ulichopata, kisha endelea kudai kikubwa!. Mtu kuzaliwa Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, na mtu kuwa na damu ya Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, haki zetu bado zinafanywa ni hisani!.
Paskali.
Brothers, hebu pendeni nyumbani basi! Kwa nini mnapachukia nyumbani kiasi hiki? Sera mbovu? Umasikini?Wengine tushavurugwa hatutaki uraia pacha wala special status.
Na Bongo tutarudi kwenye misiba mikubwa ya familia tu.
Pascal huu ni ujinga na upumbavu uliopita kiasi wanaopendekeza hawa. Hivi wana akili sawasaa kweli? Kwa haraka haraka ngoja nikuambie;
Sasa ningeona hawa waliopendekeza special status kuwa na akili kiasi kama wangesema special status ni permanent, na parent akiwa na special status automatically watoto wanakuwa nayo. Hii nchi imejaa vichwa maji katika jina la viongozi. Waondoe hili wazo lao la special status, hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali ujinga kama huu ili eti awekeze mtaji mkubwa nchini.
- Special status tofauti na uraia pacha ina expire kila baada ya miaka kumi. Usipo renew unakuwa huna special status na mali zako ulizowekeza nchini kuwa hatarini kupotea
- Special status hairithiwi. Yaani nawekeza hata Dola bilioni moja, ikitokea nikafa watoto wangu hawana haki ya kurithi mali kwa sababu special status inakuwa granted kwa mtu mmoja. Tofauti na hili, nikia na uraia pacha, uraia wa Tanzania na USA, watoto wangu nao wanakuwa na uraia huo
- Vipengele vya kukunyang'anya special status ni vyepesi mno! Kw mfano, unaongea na enemy of Tanzania. Hebu watuonyeshe list ya enemy of Tanzania ndio tujue nani tusiwasiliane nae kama tuna special status. Katika ubinafsi na roho mbaya na corruption ya Watanzania wengi, ku-revoke special status satus siku zote itakuwa ni rahisi sana. Usipomsifia raisi inaweza kuwa revoked
- Kwa mfano, mtu anaweza ku-revoke on basis of is of "good moral standing". Kuna sheria kuhusu moral standing? Kwa mfano, kuwa mlevi, kuwa fuska, kuvaa nguo fupi, skin tight, nk, kuna watu wataona ni bad morals. Sasa unaweza kunyanganywa special status kwa sababu mtu anasema wewe mlevi, wewe fuska. Sasa hiyo clause imeandikwa na mwanasheria kweli? Sio mwanasiasa au mtu anaedhani kunywa pombe, kuvaa mini skirt ni dhambi? Kuwa na bad morals is not necessarily ku-commit crime, na the aspect of morals can be very subjective
La sivyo njoo Tanzania na special status yako uwekeze halafu uliwe!
Ukitoka Sweden na passport ya Sweden inamaanisha ukifika Tanzania, pale immigration ukaonyesha passport ya Tanzania itakuwa haina visa wala muhuri wowote wa Sweden.Wanachofanya Wajanja. Hata siku moja usitumie passport ya nchi nyingine kuingia TZ Tumia ya TZ tu.
Ukiwa na passport ya Sweden, unaondoka huko na passport ya Sweden. Ukifika Dar unaificha na kuchomoa ya TZ. Unaingia TZ kwa passport ya TZ.
Wakati wa kuondoka pale kwenye ndege wakati wa ku check in unatoa passport ya Sweden. Ukishamaliza unaiweka ndani. Unaenda immigration desk na passport ya TZ na kuweka vidole vyako na kuondoka.
Sio kazi ya Uhamiaji kujua unakoenda una visa au la. Hiyo ni Kazi ya watu wa ndege.
Kwa taarifa yako watoto wengi wa viongozi ndio wanafanya hivyo Kwahiyo hawawezi kubadili utaratibu.
Ikija serikali isiyo ya wahuni wata kubali uraia pacha.
Nimekupa majibu, tunga maswali yako.
Kama umekana uraia wa nchi yako si ubaki na nchi uliyoipenda. Umalaya wa uraia nao si mzuri kubaki njia moja ni muhimu.Wanabodi
Ni juzi Ijumaa niliuliza humu Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga, leo nakutana na hii hoja, uraia pacha wetu jameni ndio huu!.
Haya sasa ndugu zetu wana Diaspora, mliopoteza uraia wa Tanzania, mnapewa uraia pacha, kwa kutambuliwa rasmi kupitia special status kwa kuomba tena kurejeshewa uraia wako wa Tanzania uliopoteza, kwa kusajiliwa na kupewa Kadi ya Diaspora Tanzanite Card, ambayo itakupa haki zote za Utanzania ulizopoteza, ikiwemo kumiliki mali, ila sijajua kama na haki ya kupiga kura pia mtapewa, maana kuna mijitu mioga kama kunguru!.
Mambo yenu ni haya.... yameishatua Bungeni na kusomwa kwa mara ya kwanza, sasa serikali inapokea maoni ya wadau, kikao kijacho cha Bunge, hii ngoma, inasomwa kwa mara ya pili na kupitishwa, hivyo huu ndio uraia pacha wetu.
PART V
AMENDMENT OF THE IMMIGRATION ACT,(CAP. 54)
16. This Part shall be read as one with the ImmigrationAct, hereinafter referred to as the “principal Act”
17. The principal Act is amended in section 3, by adding the appropriate alphabetical order the following new definitions:
““Diaspora Tanzanite Card” or “Card” means avalid card issued under this Act to aTanzania non-citizen diaspora afterbeing granted a special status;
“special status” means the status granted to aTanzania non-citizen diaspora under thisAct-
(a) for the purpose of entry, stay or exit out of the United Republic; and
(b) for such other purposes as may be provided under any other written laws; and “Tanzania non-citizen diaspora” means a person who was formerly a citizen of the UnitedRepublic other than a citizen by naturalisation or whose either parent, grandparent or such other descendant isor was a citizen of the United Republic;”.
18. The principal Act is amended in section 28(1) by adding immediately after paragraph (d) the following:
(e) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card; or
(f) he is in possession of a valid DiasporaTanzanite Card enrollment notification issued to the applicant prior to issuance of the Diaspora Tanzanite Card.”.
19. The principal Act is amended by adding immediately after section 36 the following: “Grant of special status to Tanzanian on-citizen diaspora
36A.-(1) A person who intends to be granted special status shall apply to the Commissioner General in the manner prescribed in the regulations:
Provided that, where such person is a child, the application shall be made by his parent or guardian.
(2) A person shall be eligible to apply for a special status if such person
(a) is a Tanzania non-citizen diaspora;
(b) observes national ethos, traditions, customs an cultural values;
(c) is not a fugitive offender or has not been convicted of an offence of or related to money laundering, economic and organised crimes or other transnational crimes;
(d) holds a valid passport or travel document;
(e) is of good moral standing; and
(f) complies with such other requirement as may be prescribed in the regulations made under this Act.
(3) The Commissioner General shall, upon being satisfied with the fulfillment of the requirements under subsection (1), grant special status and issue a Diaspora Tanzanite Card to the applicant.
Validity of Card
Dependant of Tanzania non-citizen diaspora
36B. A Card issued in terms of this Act shall be valid for a period of ten years and may be renewed.
36C.-(1) Subject to the conditions prescribed in the regulations, the Commissioner General may, on application made on that behalf by the person who has been granted a special status, issue a dependant pass to dependants of the holder of the Card.
(2) The provisions of section 39of this Act shall apply mutatis mutandis in respect of the expiration of a dependant pass.
(3) For the purpose of this section, “dependant” means spouse or child of the Tanzania non-citizen diaspora:
Provided that, the dependant is not Tanzania non-citizen diaspora.
36D. A person who has been granted a special status shall-
(a) observe the Constitution of the United Republic and other written laws;
(b) observe the requirements of a special status as set out under this Act; and
(c) be of good moral standing.
36E.-(1) The CommissionerGeneral may revoke a special status if he is satisfied that-
(a) a person granted a special status has breached any conditions of the special status;
Conditions of special status Cap. 2
Revocation of special status
(b) the special status was obtained by means of fraud, false representation or concealment of any material fact;
(c) a person has shown him self by act or speech to be disloyal or dis - affectionate towards the United Republic;
(d) a person has unlawfully traded or communicated with an enemy to the United Republic or has been engaged in or association with any business that is carried on in such a manner as to assist the enemy;
(e) a person is engaged in any act which is against the morals of the United Republic;
(f) it is not conducive to the public good that, that person should continue to hold the special status; or
(g) a person engages in politics contrary to the laws governing political affairs in the United Republic.
(2) Revocation of special status in terms of subsection (1) shall constitute the automatic invalidation of the Card, and the holder shall be under obligation to return the Card to the issuer thereof.
(3) A person whose special status has been revoked, may, within one month from the date of revocation, apply to the Commissioner General for any other immigration status as provided for in the Act.”.
20. The principal Act is amended in section 45(1) by-10
Amendment of section 48
(a) adding the word “Card” immediately after the word“certificate” wherever it appears in that sub section; and
(b) adding the word “Card” immediately after the wordVisa appearing in paragraph (o).
21. The principal Act is amended in section 48(1) by-(a) adding immediately after paragraph
My Take.
- Najitahidi sana kutafuta maneno malaini kuhusu mhimili wetu wa mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba, sheria na kanuni, Serikali inatunga muswada wa sheria batili kinyume na katiba, Bungelinatunga sheria batili, na mahakama umekaa kimya!.
- Mtu akipata uraia wa tanzania kwa kuzaliwa, uraia huu hauwezi kuondoka milele!. Sambamba na mtu akiwa raia wa Tanzania kwa damu ya wazazi wake, uraia huu hauwezi kufutika milele!. hivyo sheria yetu ya uraia iko kinyume na katiba!.
- Mtu ambaye ni Mtanzania aliyepoteza utanzania wake kwasababu ya uraia wa nchi nyingine, hakupaswa kupewa special status, tulipaswa kuruhusu uraia pacha, kisha Watanzania wote wenye uraia mwingine, kurejeshewa uraia wao wa Tanzania, na hiyo special status ndio iwe ya ule uraia wa nchi nyingine!.
- Mpaka sasa bado najiuliza, hiki kigugumizi cha nini kwenye hoja ya uraia pacha?.
- Ushauri wangu kwa Diaspora, if you can't get what you want, just take what you get, shukuru kwa hiki kidogo ulichopata, kisha endelea kudai kikubwa!. Mtu kuzaliwa Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, na mtu kuwa na damu ya Tanzania ni haki ambayo haiwezi kuondolewa, haki zetu bado zinafanywa ni hisani!.
Paskali.
Kwa akili kama hizi no wonder nchi yetu ni masikini hivi.Kama umekana uraia wa nchi yako si ubaki na nchi uliyoipenda. Umalaya wa uraia nao si mzuri kubaki njia moja ni muhimu.
Tanzania itajengwa na watanzania na si na watu wasioweza kuamua uraia wa nchi zao. Kama hutaki kuwa raia wa Tanzania si ukae huko unakopenda, acha kuwa kigeugeu. Mwisho malaya hao wa uraia watakuja kutaka hata uongozi wakati hata msimamo wa uraia hana amebaki kutangatanga.Kwa akili kama hizi no wonder nchi yetu ni masikini hivi.