Uraia Pacha, Wanadiaspora Mshukuruni Rais, sasa mnatambuliwa rasmi kwa Special Status ya Diaspora Tanzanite Card, una enjoy baadhi ya Haki za Uraia!

Uraia Pacha, Wanadiaspora Mshukuruni Rais, sasa mnatambuliwa rasmi kwa Special Status ya Diaspora Tanzanite Card, una enjoy baadhi ya Haki za Uraia!

Watanzania ni watu wa ajabu sani ukiangalia kiundani Hali swala wengi wanaliangalia Kwa mitazamo ya kisiasa zaidi lkn serekali Hali swala hawatk kuliingia Moja Kwa wanajua baada ya kupitishwa tu kunachangamoto zitajitokeza Kwa hatua ya kwanza wanaangalia kujiridhisha ndani ya kipindi Fulani lazima kutahitaji marekebisho kwann tuwe na haraka juu ya jambo hilii serekali tuipongeze Kwa hatua za mwazo tusibir kipindi Cha mpito Kuna vitu tujajifunza
 
Pascal huu ni ujinga na upumbavu uliopita kiasi wanaopendekeza hawa. Hivi wana akili sawasaa kweli? Kwa haraka haraka ngoja nikuambie;
  • Special status tofauti na uraia pacha ina expire kila baada ya miaka kumi. Usipo renew unakuwa huna special status na mali zako ulizowekeza nchini kuwa hatarini kupotea
  • Special status hairithiwi. Yaani nawekeza hata Dola bilioni moja, ikitokea nikafa watoto wangu hawana haki ya kurithi mali kwa sababu special status inakuwa granted kwa mtu mmoja. Tofauti na hili, nikia na uraia pacha, uraia wa Tanzania na USA, watoto wangu nao wanakuwa na uraia huo
  • Vipengele vya kukunyang'anya special status ni vyepesi mno! Kw mfano, unaongea na enemy of Tanzania. Hebu watuonyeshe list ya enemy of Tanzania ndio tujue nani tusiwasiliane nae kama tuna special status. Katika ubinafsi na roho mbaya na corruption ya Watanzania wengi, ku-revoke special status satus siku zote itakuwa ni rahisi sana. Usipomsifia raisi inaweza kuwa revoked
  • Kwa mfano, mtu anaweza ku-revoke on basis of is of "good moral standing". Kuna sheria kuhusu moral standing? Kwa mfano, kuwa mlevi, kuwa fuska, kuvaa nguo fupi, skin tight, nk, kuna watu wataona ni bad morals. Sasa unaweza kunyanganywa special status kwa sababu mtu anasema wewe mlevi, wewe fuska. Sasa hiyo clause imeandikwa na mwanasheria kweli? Sio mwanasiasa au mtu anaedhani kunywa pombe, kuvaa mini skirt ni dhambi? Kuwa na bad morals is not necessarily ku-commit crime, na the aspect of morals can be very subjective
Sasa ningeona hawa waliopendekeza special status kuwa na akili kiasi kama wangesema special status ni permanent, na parent akiwa na special status automatically watoto wanakuwa nayo. Hii nchi imejaa vichwa maji katika jina la viongozi. Waondoe hili wazo lao la special status, hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali ujinga kama huu ili eti awekeze mtaji mkubwa nchini.

La sivyo njoo Tanzania na special status yako uwekeze halafu uliwe!
It start like a leaf then boom
 
Tanzania itajengwa na watanzania na si na watu wasioweza kuamua uraia wa nchi zao. Kama hutaki kuwa raia wa Tanzania si ukae huko unakopenda, acha kuwa kigeugeu. Mwisho malaya hao wa uraia watakuja kutaka hata uongozi wakati hata msimamo wa uraia hana amebaki kutangatanga.

Japo unaonekana kiazi lkn unahitaji msaada wa kueleweshwa, yaani watu walioenda nje ni kama mchaga kutoka Moshi kwenda kwenu Bariadi, akachume then mchaga mwenzake unaamuaje kwamba Moshi sio kwao tena? We Mungu? Kuchukua uraia ni kurahishisha mapito yake huko alipo lakini haiwezekani akaacha kuwa loyal kwa ardhi ya baba na mama yake, ndio maana mnasafirisha hata huko! Hii sio rocket science japo wabongo tuna low IQ

Yani tushindwe kutengeneza ndege na simu, hata kuamua mtu kwao ni wapi nayo tunashindwa? Nashindwa kuelewa kabisa level yetu ya ufahamu kama inafanana na binadamu wengine kabisa.
 
Wanachofanya Wajanja. Hata siku moja usitumie passport ya nchi nyingine kuingia TZ Tumia ya TZ tu.

Ukiwa na passport ya Sweden, unaondoka huko na passport ya Sweden. Ukifika Dar unaificha na kuchomoa ya TZ. Unaingia TZ kwa passport ya TZ.

Wakati wa kuondoka pale kwenye ndege wakati wa ku check in unatoa passport ya Sweden. Ukishamaliza unaiweka ndani. Unaenda immigration desk na passport ya TZ na kuweka vidole vyako na kuondoka.

Sio kazi ya Uhamiaji kujua unakoenda una visa au la. Hiyo ni Kazi ya watu wa ndege.

Kwa taarifa yako watoto wengi wa viongozi ndio wanafanya hivyo Kwahiyo hawawezi kubadili utaratibu.

Ikija serikali isiyo ya wahuni wata kubali uraia pacha.

Nimekupa majibu, tunga maswali yako.
Utandawazi bro watakunasa
 
hebu eleza faida za uraia pacha, binafsi sizioni
Na wewe eleza hasara za uraia pacha, binafsi sizioni?
Na usilete upupu wa usalama wa taifa wakati kiinchi kinapumulia machine na kutegemea misaada ya wazungu
 
Hao watoto wako warudi Tanzania wapewe uraia wa kuandikishwa na waukane huo uraia wa Nchi nyingine. Uraia wa Nchi mbili utatuletea shida kwa Nchi masikini.
Akili za mbuzi hizi
Zinataleta shida gani kilaza wewe
 
Na wewe eleza hasara za uraia pacha, binafsi sizioni?
Na usilete upupu wa usalama wa taifa wakati kiinchi kinapumulia machine na kutegemea misaada ya wazungu
kama jambo halina faida lanini sasa? siwezi elezea hasara za jambo ambalo halina faida
 
Wewe hujielewi. Kwanini usikae huko unakopenda? Hiyo unayoshabikia ni sawa na kukubali kushirikiana Mkeo na Mwanaume mwingine.
Majibu ya kitoto sana, na hii ni taswira ya akili za wabongo, nchi imejaa wajinga wengi sana hii
 
kama jambo halina faida lanini sasa? siwezi elezea hasara za jambo ambalo halina faida
Nyinyi wa tokea 2007 ndio mnalalama humu kila siku JF imevurugwa na members wapya
Halafu unashindwa hata kujieleza kwenye swali dogo sana kama hili unazungungusha maneno!
 
Sasa mbona unaitamani si ubaki kwa wajanja? Yaani tukaribishe utakatishaji fedha katika Nchi kuwaumiza wananchi wetu wenye kipato kidogo?
 
Brothers, hebu pendeni nyumbani basi! Kwa nini mnapachukia nyumbani kiasi hiki? Sera mbovu? Umasikini?
Safi saana
Mimi nawaelewa Watanzania wanaoishi Ughaibuni bila ya kuomba uraia wa huko. Marekani unachukua Green Card na Canada unachukua Permanent Residence. Utaishi huko hata maia 30 na paspoti yako ya Tanzania bila ya kusumbuliwa. Utafanya kazi, utasoma kwa bei nafuu, utasafiri, utamiliki mali bila ya wasiwasi nk
Nani anabisha?
 
Wanachofanya Wajanja. Hata siku moja usitumie passport ya nchi nyingine kuingia TZ Tumia ya TZ tu.

Ukiwa na passport ya Sweden, unaondoka huko na passport ya Sweden. Ukifika Dar unaificha na kuchomoa ya TZ. Unaingia TZ kwa passport ya TZ.

Wakati wa kuondoka pale kwenye ndege wakati wa ku check in unatoa passport ya Sweden. Ukishamaliza unaiweka ndani. Unaenda immigration desk na passport ya TZ na kuweka vidole vyako na kuondoka.

Sio kazi ya Uhamiaji kujua unakoenda una visa au la. Hiyo ni Kazi ya watu wa ndege.

Kwa taarifa yako watoto wengi wa viongozi ndio wanafanya hivyo Kwahiyo hawawezi kubadili utaratibu.

Ikija serikali isiyo ya wahuni wata kubali uraia pacha.

Nimekupa majibu, tunga maswali yako.
Umesahau. Baada ya kampuni ya ndege na uhamiaji pia kuna usalama au security check. Hapa kuna maofisa wetu mahiri ambao wana haki, uwezo na sababu ya kukusachi na kuona umebeba nini. Hiyo pasipoti yako ya Sweden uliyoficha itapigwa x ray au itapapaswa na kugundilikana. Utawaambia nini hawa maofisa wa Tz?
Kuna wajanja wenzako pale JNIA wametozwa madola zaidi ya 4000 bila risiti!!
 
Hahaha wamshukuru mtu mwenye uraia pacha? Rais Samia SH, ni mzanzibari, na Wazanzibari wanakadi ya MZANZIBARI MKAZI, watanganyika hicho kibari hawapewi hata kama wanaishi Zanzibar. Lakini Mzanzibari anapewa NIDA. Huo kama siyo URAIA Pacha nini?
 
Paschal Mayala unamdanganya nani? Hebu soma makala yako uliyoandika juzi kwenye gazeti la mwananchi kuhusiana na jus soli. Najua wewe ni mwanasheria unajua nimaanishacho. Katiba ya Tanzania haimnyang'anyi mtanzania wa kuzaliwa uraia. Kinachofanyika ni uhuni na roho mbaya za watawala wetu ambao wengi wana uraia pacha wa siri ukiachia mbali magabacholi. Kwa mtu anayejua sheria, hadhi maalumu ni utapeli wa CCM sawa na utapeli mwingine kama demokrasia, vyama vingi, uwekezaji, kutetea wanyonge, uchawa na upuuzi mwingine. Kwa walio nje wenye uwezo, tafuteni nchi kama Botswana muwekeze badala ya kuwekeza kwa hawa wasenzi na waviiivu na wezi wanaotaka pesa zenu lakini siyo nyinyi.
 
Unaishi mapori ya mkoa gapi?
Wewe usirithika na Nchi yako ndio uko maporini. Unahangaika na Uraia Pacha haurithiki na Nchi yako kulikoni, kana Uraia huo wakukaribishe kwingine maana Umalaya wa Uraia si mzuri.
 
Pascal huu ni ujinga na upumbavu uliopita kiasi wanaopendekeza hawa. Hivi wana akili sawasaa kweli? Kwa haraka haraka ngoja nikuambie;
  • Special status tofauti na uraia pacha ina expire kila baada ya miaka kumi. Usipo renew unakuwa huna special status na mali zako ulizowekeza nchini kuwa hatarini kupotea
  • Special status hairithiwi. Yaani nawekeza hata Dola bilioni moja, ikitokea nikafa watoto wangu hawana haki ya kurithi mali kwa sababu special status inakuwa granted kwa mtu mmoja. Tofauti na hili, nikia na uraia pacha, uraia wa Tanzania na USA, watoto wangu nao wanakuwa na uraia huo
  • Vipengele vya kukunyang'anya special status ni vyepesi mno! Kw mfano, unaongea na enemy of Tanzania. Hebu watuonyeshe list ya enemy of Tanzania ndio tujue nani tusiwasiliane nae kama tuna special status. Katika ubinafsi na roho mbaya na corruption ya Watanzania wengi, ku-revoke special status satus siku zote itakuwa ni rahisi sana. Usipomsifia raisi inaweza kuwa revoked
  • Kwa mfano, mtu anaweza ku-revoke on basis of is of "good moral standing". Kuna sheria kuhusu moral standing? Kwa mfano, kuwa mlevi, kuwa fuska, kuvaa nguo fupi, skin tight, nk, kuna watu wataona ni bad morals. Sasa unaweza kunyanganywa special status kwa sababu mtu anasema wewe mlevi, wewe fuska. Sasa hiyo clause imeandikwa na mwanasheria kweli? Sio mwanasiasa au mtu anaedhani kunywa pombe, kuvaa mini skirt ni dhambi? Kuwa na bad morals is not necessarily ku-commit crime, na the aspect of morals can be very subjective
Sasa ningeona hawa waliopendekeza special status kuwa na akili kiasi kama wangesema special status ni permanent, na parent akiwa na special status automatically watoto wanakuwa nayo. Hii nchi imejaa vichwa maji katika jina la viongozi. Waondoe hili wazo lao la special status, hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali ujinga kama huu ili eti awekeze mtaji mkubwa nchini.

La sivyo njoo Tanzania na special status yako uwekeze halafu uliwe!
very true, serikaki wanataka kuwaminya vizuri diaspora through that status ya kisenge kisenge itayowabana kwenye couner na kuisujudia serikali kwa uoga wa kupoteza mali watakazowekeza Tz

mpuuzi sana samia[emoji34]
 
Back
Top Bottom