It start like a leaf then boomPascal huu ni ujinga na upumbavu uliopita kiasi wanaopendekeza hawa. Hivi wana akili sawasaa kweli? Kwa haraka haraka ngoja nikuambie;
Sasa ningeona hawa waliopendekeza special status kuwa na akili kiasi kama wangesema special status ni permanent, na parent akiwa na special status automatically watoto wanakuwa nayo. Hii nchi imejaa vichwa maji katika jina la viongozi. Waondoe hili wazo lao la special status, hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali ujinga kama huu ili eti awekeze mtaji mkubwa nchini.
- Special status tofauti na uraia pacha ina expire kila baada ya miaka kumi. Usipo renew unakuwa huna special status na mali zako ulizowekeza nchini kuwa hatarini kupotea
- Special status hairithiwi. Yaani nawekeza hata Dola bilioni moja, ikitokea nikafa watoto wangu hawana haki ya kurithi mali kwa sababu special status inakuwa granted kwa mtu mmoja. Tofauti na hili, nikia na uraia pacha, uraia wa Tanzania na USA, watoto wangu nao wanakuwa na uraia huo
- Vipengele vya kukunyang'anya special status ni vyepesi mno! Kw mfano, unaongea na enemy of Tanzania. Hebu watuonyeshe list ya enemy of Tanzania ndio tujue nani tusiwasiliane nae kama tuna special status. Katika ubinafsi na roho mbaya na corruption ya Watanzania wengi, ku-revoke special status satus siku zote itakuwa ni rahisi sana. Usipomsifia raisi inaweza kuwa revoked
- Kwa mfano, mtu anaweza ku-revoke on basis of is of "good moral standing". Kuna sheria kuhusu moral standing? Kwa mfano, kuwa mlevi, kuwa fuska, kuvaa nguo fupi, skin tight, nk, kuna watu wataona ni bad morals. Sasa unaweza kunyanganywa special status kwa sababu mtu anasema wewe mlevi, wewe fuska. Sasa hiyo clause imeandikwa na mwanasheria kweli? Sio mwanasiasa au mtu anaedhani kunywa pombe, kuvaa mini skirt ni dhambi? Kuwa na bad morals is not necessarily ku-commit crime, na the aspect of morals can be very subjective
La sivyo njoo Tanzania na special status yako uwekeze halafu uliwe!
Tanzania itajengwa na watanzania na si na watu wasioweza kuamua uraia wa nchi zao. Kama hutaki kuwa raia wa Tanzania si ukae huko unakopenda, acha kuwa kigeugeu. Mwisho malaya hao wa uraia watakuja kutaka hata uongozi wakati hata msimamo wa uraia hana amebaki kutangatanga.
Utandawazi bro watakunasaWanachofanya Wajanja. Hata siku moja usitumie passport ya nchi nyingine kuingia TZ Tumia ya TZ tu.
Ukiwa na passport ya Sweden, unaondoka huko na passport ya Sweden. Ukifika Dar unaificha na kuchomoa ya TZ. Unaingia TZ kwa passport ya TZ.
Wakati wa kuondoka pale kwenye ndege wakati wa ku check in unatoa passport ya Sweden. Ukishamaliza unaiweka ndani. Unaenda immigration desk na passport ya TZ na kuweka vidole vyako na kuondoka.
Sio kazi ya Uhamiaji kujua unakoenda una visa au la. Hiyo ni Kazi ya watu wa ndege.
Kwa taarifa yako watoto wengi wa viongozi ndio wanafanya hivyo Kwahiyo hawawezi kubadili utaratibu.
Ikija serikali isiyo ya wahuni wata kubali uraia pacha.
Nimekupa majibu, tunga maswali yako.
Na wewe eleza hasara za uraia pacha, binafsi sizioni?hebu eleza faida za uraia pacha, binafsi sizioni
Akili za mbuzi hiziHao watoto wako warudi Tanzania wapewe uraia wa kuandikishwa na waukane huo uraia wa Nchi nyingine. Uraia wa Nchi mbili utatuletea shida kwa Nchi masikini.
Wewe hujielewi. Kwanini usikae huko unakopenda? Hiyo unayoshabikia ni sawa na kukubali kushirikiana Mkeo na Mwanaume mwingine.Akili za mbuzi hizi
Zinataleta shida gani kilaza wewe
Wewe hujielewi. Kama unaipenda Tanzania njoo ujiandikishe acha kutamani Uraia pacha ni umalaya wa uraia.Kwa hiyo wewe uliye na shida zote hizo ndo hutaki uraia pacha? Wewe ni zwazwa kabisa!
kama jambo halina faida lanini sasa? siwezi elezea hasara za jambo ambalo halina faidaNa wewe eleza hasara za uraia pacha, binafsi sizioni?
Na usilete upupu wa usalama wa taifa wakati kiinchi kinapumulia machine na kutegemea misaada ya wazungu
Majibu ya kitoto sana, na hii ni taswira ya akili za wabongo, nchi imejaa wajinga wengi sana hiiWewe hujielewi. Kwanini usikae huko unakopenda? Hiyo unayoshabikia ni sawa na kukubali kushirikiana Mkeo na Mwanaume mwingine.
Nyinyi wa tokea 2007 ndio mnalalama humu kila siku JF imevurugwa na members wapyakama jambo halina faida lanini sasa? siwezi elezea hasara za jambo ambalo halina faida
Unaishi mapori ya mkoa gapi?Sasa mbona unaitamani si ubaki kwa wajanja? Yaani tukaribishe utakatishaji fedha katika Nchi kuwaumiza wananchi wetu wenye kipato kidogo?
Safi saanaBrothers, hebu pendeni nyumbani basi! Kwa nini mnapachukia nyumbani kiasi hiki? Sera mbovu? Umasikini?
Umesahau. Baada ya kampuni ya ndege na uhamiaji pia kuna usalama au security check. Hapa kuna maofisa wetu mahiri ambao wana haki, uwezo na sababu ya kukusachi na kuona umebeba nini. Hiyo pasipoti yako ya Sweden uliyoficha itapigwa x ray au itapapaswa na kugundilikana. Utawaambia nini hawa maofisa wa Tz?Wanachofanya Wajanja. Hata siku moja usitumie passport ya nchi nyingine kuingia TZ Tumia ya TZ tu.
Ukiwa na passport ya Sweden, unaondoka huko na passport ya Sweden. Ukifika Dar unaificha na kuchomoa ya TZ. Unaingia TZ kwa passport ya TZ.
Wakati wa kuondoka pale kwenye ndege wakati wa ku check in unatoa passport ya Sweden. Ukishamaliza unaiweka ndani. Unaenda immigration desk na passport ya TZ na kuweka vidole vyako na kuondoka.
Sio kazi ya Uhamiaji kujua unakoenda una visa au la. Hiyo ni Kazi ya watu wa ndege.
Kwa taarifa yako watoto wengi wa viongozi ndio wanafanya hivyo Kwahiyo hawawezi kubadili utaratibu.
Ikija serikali isiyo ya wahuni wata kubali uraia pacha.
Nimekupa majibu, tunga maswali yako.
Wewe usirithika na Nchi yako ndio uko maporini. Unahangaika na Uraia Pacha haurithiki na Nchi yako kulikoni, kana Uraia huo wakukaribishe kwingine maana Umalaya wa Uraia si mzuri.Unaishi mapori ya mkoa gapi?
very true, serikaki wanataka kuwaminya vizuri diaspora through that status ya kisenge kisenge itayowabana kwenye couner na kuisujudia serikali kwa uoga wa kupoteza mali watakazowekeza TzPascal huu ni ujinga na upumbavu uliopita kiasi wanaopendekeza hawa. Hivi wana akili sawasaa kweli? Kwa haraka haraka ngoja nikuambie;
Sasa ningeona hawa waliopendekeza special status kuwa na akili kiasi kama wangesema special status ni permanent, na parent akiwa na special status automatically watoto wanakuwa nayo. Hii nchi imejaa vichwa maji katika jina la viongozi. Waondoe hili wazo lao la special status, hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali ujinga kama huu ili eti awekeze mtaji mkubwa nchini.
- Special status tofauti na uraia pacha ina expire kila baada ya miaka kumi. Usipo renew unakuwa huna special status na mali zako ulizowekeza nchini kuwa hatarini kupotea
- Special status hairithiwi. Yaani nawekeza hata Dola bilioni moja, ikitokea nikafa watoto wangu hawana haki ya kurithi mali kwa sababu special status inakuwa granted kwa mtu mmoja. Tofauti na hili, nikia na uraia pacha, uraia wa Tanzania na USA, watoto wangu nao wanakuwa na uraia huo
- Vipengele vya kukunyang'anya special status ni vyepesi mno! Kw mfano, unaongea na enemy of Tanzania. Hebu watuonyeshe list ya enemy of Tanzania ndio tujue nani tusiwasiliane nae kama tuna special status. Katika ubinafsi na roho mbaya na corruption ya Watanzania wengi, ku-revoke special status satus siku zote itakuwa ni rahisi sana. Usipomsifia raisi inaweza kuwa revoked
- Kwa mfano, mtu anaweza ku-revoke on basis of is of "good moral standing". Kuna sheria kuhusu moral standing? Kwa mfano, kuwa mlevi, kuwa fuska, kuvaa nguo fupi, skin tight, nk, kuna watu wataona ni bad morals. Sasa unaweza kunyanganywa special status kwa sababu mtu anasema wewe mlevi, wewe fuska. Sasa hiyo clause imeandikwa na mwanasheria kweli? Sio mwanasiasa au mtu anaedhani kunywa pombe, kuvaa mini skirt ni dhambi? Kuwa na bad morals is not necessarily ku-commit crime, na the aspect of morals can be very subjective
La sivyo njoo Tanzania na special status yako uwekeze halafu uliwe!