Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

Hii imeendaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah
Daah yaan najiona napoteza hela tu kwa kutafuta madada poa ambao hata shukran hawana wao hela mbele tu.

Nitajikagua kaka hii hali si ya kawaida
Watu hawajui kama wanakusanya mikosi na laana kwa kulala na madada poa..unakusanya souls za kila aina na nying zinakuwa mbaya..utashuka kibiashara hata kiuchumi kwasababu mna exchange damu baina ya watu 2..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ