Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Hekima mpe mwenye hekima azidi kuwa na hekima na busara
Wahuni waache waendelee kuozesha vizazi vyao
What goes around comes around
MANENO KUNTU YA MLETA UZI UBARIKIWE
 
Habari.

Ni tofauti na sasa tumekuwa tukiongopewa, nawaomba mwanaccm hii ni fursa yenu. Kukitoa chama kwenye makucha ya uongo na kukipeleka kwenye ukweli.

Maana chama chenu kina kauli " Nitaongea ukweli daima, uongo kwangu mwiko "

Mabeberu wana mbinu nyinyi sana na kwenye mikataba yao hutumia lugha ya kiingereza, sasa kama rais hatakuwa hayupo vizuri kwenye lugha tutabingwa za uzo.

Nawatakia mabadiliko mema mwanaccm.

mr mkiki.
 
Hivi kumbe Membe ni Darkari wa Falsafa?😂😂😂😂
 
Beberu ?
Nina imagine yale makelele yake anapokuwa kwenye mishemishe zake!
 
Wewe nakuona kama vile unaota ndoto ya mchana. Kama ni urais, basi mumushauri huyo Membe ajiandae kugombea 2025 na siyo 2020. Lowasa naye alijiandaa kabla ya 2015, Kilichomtokea nadhani wote tulishuhudia, sembuse Membe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…