Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania



Mkuu Genta jiandae na hilo kundi lako kufanya mapinduzi. Tumechoka kuongozwa kibabe kwa kuhubiriwa maendeleo ambayo hayana maajabu yoyote. Hatumfagilii Membe lakini kama ataweza kutuondolea hili bazazi la demokrasia tutamuunga mkono kinafiki. Sioni tofauti yoyote ya huyo Membe mwizi na huyu anayeratibu chaguzi za mabavu na kuendesha hujuma za wazi kwa yoyote asiyekubaliana na mitazamo yake.

Ameingia madarakani kwa njia ya demokrasia ni lazima aheshimu mfumo huo, vinginevyo apindue nchi aongoze kijeshi. Nitakuunga mkono ukiingia msituni kupindua huo utawala wa Membe ila uruhusu tumchague tumtakaye kwa njia ya demokrasia na yeye aitii demokrasia.
 
Nna mwaka sasa nazungushwa malipo yangu ya kupanda cheo..ila naambiwa nipige kazi moyo wa kufany kaz ntaupata wap
 
MEMBE= PRESIDENTIAL MATERIAL.

JIWE=PRESIDENTIAL RUBBISH.

MEMBE > JIWE

Hence MEMBE FOR PRESIDENCY 2020.

#CCMTwendeniNaMEMBE2020
#MEMBEkwaUSHINDIwaUHAKIKA.

Mwambie Kwanza katika ' Kumsambaratisha ' na Kumuharibu kama siyo Kumtesa ' Kisaikolojia ' nitaanza na Yule ' Mamsampu ' wake aliyempangia Kawe nyumba jirani na inayotazamana na Kanisa la KKKT Kawe. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Ni kitu gani huyu wa sasa alimchomzidi nacho Membe kwa maoni yako?
...kwa hiyo kwasababu huyu anavurunda basi ni sahihi kumuingiza MTU atayevurunda zaidi mwingine ?!
 
Sasa mkuu badala ya kujibu swali nilokuuliza, ambalo pengine huna jibu lake ndiyo maana umekimbilia kwenye personalities again.
...hizo personalities nilizokimbilia ni zipi mkuu
 
Membe hana impact yoyote ile ndani ya CCM au nje ya CCM, Magufuli ataendelea kuwa Rais mpaka 2025.
 
Ajaye 2025 ni supa sub, na itapgwa sana mipira ya chini kuelekea 2035,pasipo kutanua sana uwanja, litakuwa soka safi "hybrid soccer", Mh Membe sidhan
 

Ni kweli kama Membe akiwa Rais siwafichi naingia ' Msituni ' rasmi na najua nitapata Ushirikiano wa nani au nchi gani ila nina uhakika kama akidumu sana basi itakuwa ni Wiki mbili tu au Mwezi ila ' nitamsumbua ' na ' nitamtesa ' mno kisha najua nitammudu na nikisha ikamata Tanzania yote bila hata Kinyongo naitisha Uchaguzi wa Haki na Halali na Mshindi yoyote atakayepatikana nitamkabidhi nchi yenu mara moja ili aongoze Kiustaarabu na Kidemokrasia kisha ' Mwanamume ' narudi zangu Nyumbani Kwangu ninakokupenda JamiiForums naendelea kuangalia ' Mpuuzi ' mwingine atakayeleta ' Fyoko Fyoko ' nimuendee tena Msituni.
 
Wapinzani ni wepesi sana kutongozeka! Kiufupi nyie hata mambo yanayo wapotezea muda na kuwapumbaza hamuwezi kuyajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…