Me ni CCM nampenda Sana Membe“Binadamu wote ni ndugu zangu, Afrika ni moja”
Kwako Bernard Kamilius Membe
Nimekusikia muda mrefu toka wa wandani wako kua una mkakati wa kuingia magogoni 2020 iwe ndani ya CCM au nje ya CCM!
Binafsi sishangai wala kukukatisha tamaa kwakua umenuwia kuusaka Urais kwa njia halali kabisa yenye misingi ya kisheria.
Pili natambua umeamua kuwania ili Kumsaidia Rais wa sasa na mwenyekiti wako kwakua amekiri hadharani kuwa hii kazi ni ngumu mno kwake na haiwezi... alifika mbali zaidi kwakusema hii kazi alisukumiziwa tuuu.... aliibipu ikampigia hivyo kuleta picha kwamba aliingia huku hajui anakwenda kufanya nini. Hii imeonekana kwakuwa hadi sasa hana focus wala Vision!
Ushauri wangu: kama unataka urais wa nchi hii lazima ufanye patano la agano na Edward Lowassa!! Bila Lowassa 2015 leo hii Magufuli angekua anavua samaki Kwao Chatto!! Ni Lowassa aliyemfanya JK awe Rais 2005 na ni Lowassa aliyemfanya Magufuli awe rais 2015 na wewe ukakosa!! Sina sababu yakuelezea kilichotokea kwakua unafahamu!!
Mwenzako Mzilankende amejipanga!! Sasa anaileta Team Lowassa miguuni pale!! Akina Sophia Simba soon watawekwa kwenye hatamu na akina Ole Millya! Sasa kama hii team haikuungi mkono sahau kabisa urais iwe 2020 au 2025!! Mlifanya makosa sana kuhitilafiana vinginevyo leo ungekuwa kwenye first class!!
Narudia tena uwe wewe.. January Makamba ama Ridhiwani Kikwete bila kuunganisha nguvu na laigwanani katu hamtatwaa madaraka ya juu ktk nchi hii.
Hivyo fanya harakati muunganishe nguvu!! Huku akiwepo Maalim Seif kule Mbowe huku Lowassa nakuhakikishia hata Magu akimweka mtoto wa kumzaa awe mwenyekiti wa NEC na kujaza ndugu zake hatafua dafu kama alivyoshindwa Yahya Jammeh aliyeweka ndugu wote tume ya uchaguzi na akaangushwa vibaya.
NB: Huu ni ushauri halali hasa kwa kuzingatia kila raia ana haki ya kugombea... kuchagua na kuchaguliwa kuwa kiongozi yeyote kwamujibu wa katiba yetu.
MUNGU IBARIKI AFRIKA!
Anayeongelewa ni yule yule aliyekuwa waziri awamu ya nne au ni mwingine? Tusisahau Mungu bado anaipenda TZ. Alituepusha na Membe 2015 japo alikuwa na sapoti ya vigogo lakini Mungu akasema NO. Ingekuwa Mungu anapokea rushwa ni wazi Membe anaweza kuwa rais wa TZ. Mungu hata siku moja hapokei rushwa na bado anaipenda saaana TZ.Baada ya Jana na Leo kufululiza thread za hiki kichwa adimu, aghalabu nyoyo za wadanganyika zimepata faraja, pengine faraja na neema tulizoziishi enzi za baba Ritz zinatarejea.
1. Mmefanana hulka
2. Umakini
3. Upole na kusikiliza maoni ya watu
4. Ubobezi wa kidiplomasia
5. Halafu wote mlianzia mambo ya nje
6. Marafaki wa mataifa
7. Very smart katika maamuzi
Twende na Membe 2020
Membe ndo jibu toshaaDah... Membe kawa Lulu ghafla. Nadhani ni kwa kuwa watu washachoka sana.. They don't wanna wait for another 7 yrs!
Sisi tutampaMembe hana tofauti na Lowassa kwa wizi/ufisadi…..hafai hata kidogo kuwa rais.
Membe lazima ashinde 2020Membe kuwa kama “overnight superstar”, inaonyesha something is not right kwenye utawala huu.
Na atajuta ndani ya ccm zikipigwa kura za uwazi Kati yake na Membe lazima Membe ashindeJPM amewaruga sana wana CCM. Kina Mwigulu na January waunganishe nguvu na Membe. Hata sisi tunataka uchaguzi wa kweli
Mweee huwa anaamkia humuhumuKwa habari hz zinazo trend humu ndani Jiwe atakua ajazipata taarifa za huyu B . Membe ?
Mkuu kuna mambo ya kuyatafakari kwa kina sana,Magufuli hatakiwi ndani ya chama na nje ya chama.Kwa taarifa yako na hili bandiko lako refu JK alimtaka Membe na kwa sababu ya hiyo nguvu ya Lowassa ndani ya ccm ndio iliyopelekea Magufuli kuitwaa hiyo nafasi. Usitake kumpa JK sifa asiyokuwa nayo. Na huyu Magu na vile hawezi siasa za ushawishi ndio atapigwa chini kirahisi. Huu ndio mwisho wa kikundi cha utekaji na kupiga risasi wengine.
Membe oyeeeeeBaada ya Jana na Leo kufululiza thread za hiki kichwa adimu, aghalabu nyoyo za wadanganyika zimepata faraja, pengine faraja na neema tulizoziishi enzi za baba Ritz zinatarejea.
1. Mmefanana hulka
2. Umakini
3. Upole na kusikiliza maoni ya watu
4. Ubobezi wa kidiplomasia
5. Halafu wote mlianzia mambo ya nje
6. Marafaki wa mataifa
7. Very smart katika maamuzi
Twende na Membe 2020
Membe oyeeeee
Nani kasema Magufuli alikuwa kwenye Intelligence?Acha uongo jpm hakuwahi kuwa kwenye intelligence circles