Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Acheni kutupigia kelele za Membe,ni walewale tu.
Si nyie mliokuwa mnatuaminisha kwamba mkulu ndiye mfano halisi wa Nyerere? Tena mkaenda mbali zaidi hadi kumuita ‘mpakwa mafuta’?
Shida ya nchi hii sio mwananchi namba moja bali mifumo iliyopo,katiba na sisi wananchi wenyewe hatujielewi tunataka nini na hatuna utayari kwa hata hayo machache tunayojitanabaisha kuyataka.
Ila lazima nikiri kwamba bora ya Membe kuliko...
Si nyie mliokuwa mnatuaminisha kwamba mkulu ndiye mfano halisi wa Nyerere? Tena mkaenda mbali zaidi hadi kumuita ‘mpakwa mafuta’?
Shida ya nchi hii sio mwananchi namba moja bali mifumo iliyopo,katiba na sisi wananchi wenyewe hatujielewi tunataka nini na hatuna utayari kwa hata hayo machache tunayojitanabaisha kuyataka.
Ila lazima nikiri kwamba bora ya Membe kuliko...